Ila majani yuko sexy jamani,sijui ni mimi tu?yaaani vile anaongea na ule ununda anasound sooooooo sexy
Sipendagi wanaume weupe ila majani ni
Hata bure nampa dadeq!
Kusambaza video chafu wamelala rumande Jana labda watoke leoWameshikiliwa kwa kosa gani?
Historia ya kjla ni mapepe tokea akiwa shule ya msingi...mambo mengi hajaanza leo wala jana kwanza yule ni juventus tu ila mwili wake uko vizuriTatizo la majani ni kuongea upuuzi kwenye media. Ila tatizo la Paula ni mama yake kasababisha. Kajala hajitambui hata kidogo..sijui nini kimemfanya akaibukia uzeeni.
Huwezi fanya starehe za kipuuzi na binti yako na ukaona sawa kuzirusha mtandaoni. Paula angekuwa anafanya upuuzi peke yake tusingemlaumu kajala...
Ila inaonyesha wazi kuwa mama anafurahia umalaya wa mtoto wake.
Yaani hata hajifunzi kutokana na makosa yake anataka mtoto afate nyayo zake. Kajisemea mange kimambi... Paula ataishia kuwa kama wema sepetu.
Mbona wamama aina hiyo wako wengi mjiniSingo maza wengine matatizo sana. Wanawafundisha watoto umalaya kwa matendo yao. Mtoto anafanya kuiga tu
Kwan binti kazingua school? Nafkr bint anataka school inayohusu modelling fashionnje ya uzuri hana future yoyote.....usinitajie fashion designer kama utataja hiyo nioneshe hata vazi moja alilowaho designing......angerudi shule naimani mama ake na baba ake wasingeshindwa kumtafutia connection ya kazi kwa viongoz
Majani uhoni kama ingekuwa fedhea sana kwako kama bwana angefanikiwa kuwala baby mama wako na binti yako?.
Hana ubavu huo. Alichofanikiwa ni kuonyesha dudu lake.Mbona nasikia Dogo ameshakula wote?
SanaaaLipo vizuri lihb hatareee
Anapatikana wapi?Si umtafute tu umpe
Just hahahahh?🤣🤣haaahaaa just haaahaa
C ndo kasema kamuacha mnacholalamika n nini hasa???Karma -what goes around comes around.
Kama Pfunk alikuwa anamtafuna kajala akiwa teenager na yeye amuache paula wamtafune.
Alfaniiiii unatafutwa.Kama ni mweupe huuziwi wala hupati bure
Hii offer ni kwa Majani tu
We jamaa upande mwingine una logic ila tatizo hoja zako huwa sahihi upande mmoja tu ila wengine wanakosea.Majani anasema mtoto wake alimkataa, ila hasemi ilikuwaje wakafika hali hiyo.
Majani anasema kwenye radio kuwa mtoto wake kazaliwa na mama asiyestahili.
Majani anaitangazia dunia kwamba binti yake amelaanika.
Kwa mtu mwenye hekma na utulivu wa akili utagundua Baba pia ana tatizo kubwa kuliko mama anaetupiwa lawama zote.
Majani alishindwa kusimama kama baba wakati wa makuzi ya Paula leo unakuja kuutangazia umma kwamba damu yako imeshindikana.
Majani umeteleza ni heri ungeendelea kukaa kimya tunge assume una busara.
Ona sasa unalaumu binti yako na mama yake wanapeleka vitu mitandaoni, na wewe unafanya kile kile unatumia media kutoa hukumu kwa damu yako.
Siku Paula akirudi kwenye media kutolea ufafanuzi kauli zako utasema amekukosea heshima wakati umeendelea kumchafua??
Majani unaumizwa na mtoto wako kuvujisha videos, lakini uhoni tatizo la baba yake wa kufikia kumtongoza na kumtumia dudu analoliona mama yake. Majani uhoni kama ingekuwa fedhea sana kwako kama bwana angefanikiwa kuwala baby mama wako na binti yako?
Majani tumia busara kama baba, linapofika suala la binti yako wewe sio majani wewe ni baba. Kamwe baba huwa hasimami kuishambulia damu yake ni heri ungeendelea kukaa kimya.
C ndo kasema kamuacha mnacholalamika n nini hasa???
Huwezi mtupia Majani kama baba, alisimama awezavyo. Hata alishauriana na mama na kukubaliana mtoto asishike simu kipindi anasoma, ila jamaa akitoka Kajala anampatia simu mwenyewe. Bado useme yule dogo alounganishiwa akaanza kumfinga dogo bado hajavunja unga napo Majani anahusika. Lawama zote apewe mama, Majani alipiga kelele sana kipindi mtoto hata sekondari hajaanza ila mama mtu hasikiiMajani anasema mtoto wake alimkataa, ila hasemi ilikuwaje wakafika hali hiyo.
Majani anasema kwenye radio kuwa mtoto wake kazaliwa na mama asiyestahili.
Majani anaitangazia dunia kwamba binti yake amelaanika.
Kwa mtu mwenye hekma na utulivu wa akili utagundua Baba pia ana tatizo kubwa kuliko mama anaetupiwa lawama zote.
Majani alishindwa kusimama kama baba wakati wa makuzi ya Paula leo unakuja kuutangazia umma kwamba damu yako imeshindikana.
Majani umeteleza ni heri ungeendelea kukaa kimya tunge assume una busara.
Ona sasa unalaumu binti yako na mama yake wanapeleka vitu mitandaoni, na wewe unafanya kile kile unatumia media kutoa hukumu kwa damu yako.
Siku Paula akirudi kwenye media kutolea ufafanuzi kauli zako utasema amekukosea heshima wakati umeendelea kumchafua??
Majani unaumizwa na mtoto wako kuvujisha videos, lakini uhoni tatizo la baba yake wa kufikia kumtongoza na kumtumia dudu analoliona mama yake. Majani uhoni kama ingekuwa fedhea sana kwako kama bwana angefanikiwa kuwala baby mama wako na binti yako?
Majani tumia busara kama baba, linapofika suala la binti yako wewe sio majani wewe ni baba. Kamwe baba huwa hasimami kuishambulia damu yake ni heri ungeendelea kukaa kimya.
Duh we mtundu hatariJust hahahahh?🤣🤣
Cha wote Nani? Wivu Tu unawasumbuaYeye ni Baba Wa huyo chawote
Wewe ni nani mpaka umwambie amekosea?