P-Funk Majani umeteleza kumshambulia binti yako kwenye radio, wewe ni sehemu ya tatizo

Singo maza wengine matatizo sana. Wanawafundisha watoto umalaya kwa matendo yao. Mtoto anafanya kuiga tu
 
Tatizo la majani ni kuongea upuuzi kwenye media. Ila tatizo la Paula ni mama yake kasababisha. Kajala hajitambui hata kidogo..sijui nini kimemfanya akaibukia uzeeni.
Huwezi fanya starehe za kipuuzi na binti yako na ukaona sawa kuzirusha mtandaoni. Paula angekuwa anafanya upuuzi peke yake tusingemlaumu kajala...
Ila inaonyesha wazi kuwa mama anafurahia umalaya wa mtoto wake.

Yaani hata hajifunzi kutokana na makosa yake anataka mtoto afate nyayo zake. Kajisemea mange kimambi... Paula ataishia kuwa kama wema sepetu.
Historia ya kjla ni mapepe tokea akiwa shule ya msingi...mambo mengi hajaanza leo wala jana kwanza yule ni juventus tu ila mwili wake uko vizuri

Ova
 
nje ya uzuri hana future yoyote.....usinitajie fashion designer kama utataja hiyo nioneshe hata vazi moja alilowaho designing......angerudi shule naimani mama ake na baba ake wasingeshindwa kumtafutia connection ya kazi kwa viongoz
Kwan binti kazingua school? Nafkr bint anataka school inayohusu modelling fashion
 
Kwanini huyo Paula ameweka bendera ya Holland na Tanzania kwenye Instagram profile yake kama anadai Majani siyo baba yake? Kanajiona kazuri utadhani full half-caste kumbe Mbantu tu. Halafu katakuwa kafupi sana. Kama 5 feet 2 inches hivi.
 
Majani anasema mtoto wake alimkataa, ila hasemi ilikuwaje wakafika hali hiyo.

Majani anasema kwenye radio kuwa mtoto wake kazaliwa na mama asiyestahili.

Majani anaitangazia dunia kwamba binti yake amelaanika.

Kwa mtu mwenye hekma na utulivu wa akili utagundua Baba pia ana tatizo kubwa kuliko mama anaetupiwa lawama zote.

Majani alishindwa kusimama kama baba wakati wa makuzi ya Paula leo unakuja kuutangazia umma kwamba damu yako imeshindikana.

Majani umeteleza ni heri ungeendelea kukaa kimya tunge assume una busara.

Ona sasa unalaumu binti yako na mama yake wanapeleka vitu mitandaoni, na wewe unafanya kile kile unatumia media kutoa hukumu kwa damu yako.

Siku Paula akirudi kwenye media kutolea ufafanuzi kauli zako utasema amekukosea heshima wakati umeendelea kumchafua??

Majani unaumizwa na mtoto wako kuvujisha videos, lakini uhoni tatizo la baba yake wa kufikia kumtongoza na kumtumia dudu analoliona mama yake. Majani uhoni kama ingekuwa fedhea sana kwako kama bwana angefanikiwa kuwala baby mama wako na binti yako?

Majani tumia busara kama baba, linapofika suala la binti yako wewe sio majani wewe ni baba. Kamwe baba huwa hasimami kuishambulia damu yake ni heri ungeendelea kukaa kimya.
We jamaa upande mwingine una logic ila tatizo hoja zako huwa sahihi upande mmoja tu ila wengine wanakosea.

Hivi kipindi kile Diamond anaenda kuongea kuhusu kumkana mtoto wa mobetto tena kwenye media uliona yupo sahihi? hukuona kama alimdhalilisha mtoto na mama wa mtoto? mbona hukukemea au hukuwa umejiunga JF?....Jitahidi uwe balanced.

Hivi kipindi diamond anamkataa mtoto tena kwenye nyimbo kabisa (nazani ni kwenye Fresh remix), ulikuwa wapi kuandika uzi wa namna hii?...Hebu kuwa balanced.

Sitaki kujua kama Majani yuko sahihi au sio sahihi..ila huna sifa ya kumkosoa tukifanya reference ya matukio ya nyuma ya Boss wako..Hivi majan kama angefanya ile interview neat fm bado ungekuja na hii thread??
 
Majani anasema mtoto wake alimkataa, ila hasemi ilikuwaje wakafika hali hiyo.

Majani anasema kwenye radio kuwa mtoto wake kazaliwa na mama asiyestahili.

Majani anaitangazia dunia kwamba binti yake amelaanika.

Kwa mtu mwenye hekma na utulivu wa akili utagundua Baba pia ana tatizo kubwa kuliko mama anaetupiwa lawama zote.

Majani alishindwa kusimama kama baba wakati wa makuzi ya Paula leo unakuja kuutangazia umma kwamba damu yako imeshindikana.

Majani umeteleza ni heri ungeendelea kukaa kimya tunge assume una busara.

Ona sasa unalaumu binti yako na mama yake wanapeleka vitu mitandaoni, na wewe unafanya kile kile unatumia media kutoa hukumu kwa damu yako.

Siku Paula akirudi kwenye media kutolea ufafanuzi kauli zako utasema amekukosea heshima wakati umeendelea kumchafua??

Majani unaumizwa na mtoto wako kuvujisha videos, lakini uhoni tatizo la baba yake wa kufikia kumtongoza na kumtumia dudu analoliona mama yake. Majani uhoni kama ingekuwa fedhea sana kwako kama bwana angefanikiwa kuwala baby mama wako na binti yako?

Majani tumia busara kama baba, linapofika suala la binti yako wewe sio majani wewe ni baba. Kamwe baba huwa hasimami kuishambulia damu yake ni heri ungeendelea kukaa kimya.
Huwezi mtupia Majani kama baba, alisimama awezavyo. Hata alishauriana na mama na kukubaliana mtoto asishike simu kipindi anasoma, ila jamaa akitoka Kajala anampatia simu mwenyewe. Bado useme yule dogo alounganishiwa akaanza kumfinga dogo bado hajavunja unga napo Majani anahusika. Lawama zote apewe mama, Majani alipiga kelele sana kipindi mtoto hata sekondari hajaanza ila mama mtu hasikii
 
11 Reactions
Reply
Back
Top Bottom