P-Funk Majani umeteleza kumshambulia binti yako kwenye radio, wewe ni sehemu ya tatizo

Majani anasema mtoto wake alimkataa, ila hasemi ilikuwaje wakafika hali hiyo.

Majani anasema kwenye radio kuwa mtoto wake kazaliwa na mama asiyestahili.

Majani anaitangazia dunia kwamba binti yake amelaanika.

Kwa mtu mwenye hekma na utulivu wa akili utagundua Baba pia ana tatizo kubwa kuliko mama anaetupiwa lawama zote.

Majani alishindwa kusimama kama baba wakati wa makuzi ya Paula leo unakuja kuutangazia umma kwamba damu yako imeshindikana.

Majani umeteleza ni heri ungeendelea kukaa kimya tunge assume una busara.

Ona sasa unalaumu binti yako na mama yake wanapeleka vitu mitandaoni, na wewe unafanya kile kile unatumia media kutoa hukumu kwa damu yako.

Siku Paula akirudi kwenye media kutolea ufafanuzi kauli zako utasema amekukosea heshima wakati umeendelea kumchafua??

Majani unaumizwa na mtoto wako kuvujisha videos, lakini uhoni tatizo la baba yake wa kufikia kumtongoza na kumtumia dudu analoliona mama yake. Majani uhoni kama ingekuwa fedhea sana kwako kama bwana angefanikiwa kuwala baby mama wako na binti yako?

Majani tumia busara kama baba, linapofika suala la binti yako wewe sio majani wewe ni baba. Kamwe baba huwa hasimami kuishambulia damu yake ni heri ungeendelea kukaa kimya.
Majani tumia busara kama baba, linapofika suala la binti yako wewe sio majani wewe ni baba. Kamwe baba huwa hasimami kuishambulia damu yake ni heri ungeendelea kukaa kimya.
 
Paula ni binti atakayekuja kuwa na maisha mazuri Sana , probably ndo atakuwa nguzo kuu ya P-Funk majani, mwanao ni mwanao tuu, kama Baba lazima usimamie ubaba wako to the end...majani bado ana akili za kitoto...
Kesha mlaani..laana ikishika kitaumana
 
Tuliwaambia nyie Kenge wakati mpo busy kumshambulia Harmonize mnasahau kua anayeharibiwa future yake ni huyo binti,
Binti wa miaka 18 going 19 tayari ushakua na scandals za wamama wa miaka 40 unatarajia nini, huyo huyo binti aliwahi kusema "akinipenda mama yangu inatosha" eeh sasa huo ndio upendo anaoutaka sio upendo wa kubanwa banwa na kukaripiwa,

Kajala alionywa siku nyingi sana acha kumuweka huyo mtoto kwenye social medias kwa maana kumpost lakini alisema "my life, my rules"

Acha walimwengu tuendelee kutazama.
 
Paula ni binti atakayekuja kuwa na maisha mazuri Sana , probably ndo atakuwa nguzo kuu ya P-Funk majani, mwanao ni mwanao tuu, kama Baba lazima usimamie ubaba wako to the end...majani bado ana akili za kitoto...

Maisha mazuri kwa lipi! Kucheza pono?
 
Majani anasema mtoto wake alimkataa, ila hasemi ilikuwaje wakafika hali hiyo.

Majani anasema kwenye radio kuwa mtoto wake kazaliwa na mama asiyestahili.

Majani anaitangazia dunia kwamba binti yake amelaanika.

Kwa mtu mwenye hekma na utulivu wa akili utagundua Baba pia ana tatizo kubwa kuliko mama anaetupiwa lawama zote.

Majani alishindwa kusimama kama baba wakati wa makuzi ya Paula leo unakuja kuutangazia umma kwamba damu yako imeshindikana.

Majani umeteleza ni heri ungeendelea kukaa kimya tunge assume una busara.

Ona sasa unalaumu binti yako na mama yake wanapeleka vitu mitandaoni, na wewe unafanya kile kile unatumia media kutoa hukumu kwa damu yako.

Siku Paula akirudi kwenye media kutolea ufafanuzi kauli zako utasema amekukosea heshima wakati umeendelea kumchafua??

Majani unaumizwa na mtoto wako kuvujisha videos, lakini uhoni tatizo la baba yake wa kufikia kumtongoza na kumtumia dudu analoliona mama yake. Majani uhoni kama ingekuwa fedhea sana kwako kama bwana angefanikiwa kuwala baby mama wako na binti yako?

Majani tumia busara kama baba, linapofika suala la binti yako wewe sio majani wewe ni baba. Kamwe baba huwa hasimami kuishambulia damu yake ni heri ungeendelea kukaa kimya.
Acha Kukurupuka!
 
Back
Top Bottom