Mwanapropaganda
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 4,235
- 2,512
- Thread starter
- #81
huyu msagane anakera sana.
Aisee! atakuwa ameupata ujumbe.
huyu msagane anakera sana.
huyu msagane anakera sana.
huyu msagane anakera sana.
Hahahahaaaa muraa unanikumbusha home pot nyamwaga,.
Mura Tarime one hata mimi nipo Nyamwaga kwa sasa.
Ndo mana nina wax wax na iq yako.
xaxa mbona unaandika kixengexenge ndio maana nina wax wax na iq yako
Mura poti, tankyerya abhasaree bha huko, me niko huku bhongoko.
Sijazungumzia kugegeda hapo hiyo n ishu nyingine kabisa hiyo n.hulka yao kwanza mapenz hawajui kaz kuchimba biti tu halafu unaonekana kama mkurya
muda wote uko humu,maku unaosha muda gani nyakibhono!?
Poti ni iyake!!!!
muda wote uko humu,maku unaosha muda gani nyakibhono!?
Nilikuwa nabishana na mkurya, akaniuliza, kwanza umeoa?siwapendi wakurya maana1.sura hawana
2.hela hawana
3.mapenzi hawajui
4.WAO MIKWARA TU dammmmnnnnn
muda wote uko humu,maku unaosha muda gani nyakibhono!?
Nilikuwa nabishana na mkurya, akaniuliza, kwanza umeoa?
Nikasema sijaoa.
Akanifukuza na kutaka kunipiga eti "rione rinaongea mbere za wanaume, kumbe harijaoa".
Kitu Usichokijuwa ni bora ukae kimya wasiotahiri ni wajaluo, Wakurya wanatawaliwa tena bila ganzi na kwa wale wanaoishi ufukweni mwa Ziwa Victoria kama hujatahiriwa huruhusiwi kuoga upande wa wanaume na hata kama ulipotahiriwa ulilia pia marufuku kuoga upande wa wanaume.
La Kairo Hotel Mwanza ni mali ya mkurya mbunge Airo.
Matajili wa Mwanza ukiacha wenyewe Wasukuma ni Wakurya kama hao kina Chambiri na Gachuma.
Dili za mkoa wa Mwanza kwa kiasi kikubwa zimeshikwa na Wakurya na ndio maana hata Mbunge wa Nyamagana Ezekiel Wenje ni mkurya.
Mkoa wowote wenye border huwezi kusema watu hawana pesa, nenda Tarime au Shirati leo ukashuhudie bila kuwa na kalenda huwezi kujuwa leo ni jumangapi wala tarehe ngapi watu wanakula good time muda wote.
Mwisho Wakurya na mkoa mzima wa Mara kiujumla ni watu wamekwenda shule kiuhakika.
Si sahihi kwa mtu ambaye hajafika Moshi wala haijui Moshi aseme wachaga ni majambazi na Wamachame hawafai kuolewa wana tabia za kuuwa waume zao. Hizi ni kauli zinazoweza kutolewa na mtu mjinga tu na ambaye amekimbia shule.
Wakhatabahu.
Kuna watu hapa wana tabia za kasuku hata kwa mambo wasiyoyajuwa, ni bora kuuliza uelimishwe.
Hawa si ndo wanaokatana mapanga daily?
Una uhakika wa hilo unalolisema, je hiyo ilikua ni miaka ghani walikua hawatahiliwi??, umewezaje ku prove kama wewe sio mjaluo??
Hivi lackairo ( LAMECK AIRO OKAMBO), si ni mbunge wa Rorya na Kwao ni UTEGI, na ni MJALUO??, by the way nafikiri origin ni shirati.
Sometimes na we Jaribu kutoa vidole vyako hivyoo kwenye keyboard, sio kila kitu unajua..... Kilaza!