Over confidence ya wanaume wa kikurya inanivutia

Over confidence ya wanaume wa kikurya inanivutia

hawana Ela walee ni MKWARA TU
mapenzi 0 anakwambia tu kwani reo hunipi????mbona huvui nguo

Hizi ni hadithi za hostel za wanafunzi wa Dar, nenda SAUT Mwanza utapata taarifa.

Swala la mapenzi mimi sijui labda wewe ambae una mpenzi Mkurya ndio unajuwa kama wanaume wengine wanavyosema wanawake wa kichaga kitandani zero ni kama magogo.
 
siwapendi wakurya maana1.sura hawana
2.hela hawana
3.mapenzi hawajui
4.WAO MIKWARA TU dammmmnnnnn

Wee temea mate chini, unaongelea watu ambao huwajui, sogea pale kanda ya ziwa ulizia sio kutamka tu.
 
lakairo sio mkurya. ni mjaluo.

na pia shirati ni rorya kwa wajaluo sio wakurya..


amna ezekiel wenje ni mjaluo sio mkurya.

asilimia kubwa ya matajiri na watu walioelimika sana kutoka mkoa wa mara ni wajaluo sio wakurya.


wakurya kazi yao kwenda sehem za wajaluo huko rorya, utegi na shirati kwenda kuiba mifugo.

wakurya wenye hela ni wachache sana na sana jamaa wamekalia ubabe tu

We mrisya kaa kimya usiongee usichokijua.
 
wakurya kazi yao kwenda sehem za wajaluo huko rorya, utegi na shirati kwenda kuiba mifugo.

Shule yako juu ya wakurya ni ndogo mno. Kama unakula chips na upo Dar, uliza mayai au hao kuku wa nyama kwa kiasi kikubwa kinatoka wapi!!!!! Wanaojua watakwambia. Ama kuhusu utajiri na biashara inaelekea upo enzi za kijerumani za kina Odemba. Tembelea Musoma, Bunda, Tarime, Mwanza kisha fuatilia ni kabila lipi wanamiliki zaidi biashara.

Poleni kwa kuibiwa ngo'mbe (i assume wewe ni mjaluo). Lakini, kumbuka kwa miaka lukuki wamasai walikuwa wanakuja kuiba ngombe hadi maeneo yenu ya ujaluoni. Ni wakurya tuu tulio-put a stop kwa hawa wamasai. Sasa tozo kidogo la ujira wetu kwa kuwalindeni na mifugo yenu dhidi ya wamasai ndiyo "mna-mind" hivi?
 
Twende taratibu niko hapa kukuelimisha wewe na wengine wanaojitia ujuwaji wakati hawajui.

Je umekubali kwamba Rorya na Tarime lilikuwa ni jimbo moja na wilaya moja? Ambapo jimbo na wilaya vyote vikiitwa Tarime?

Pili umeshamuuliza mkeo anayetoka Shirati Abhasuba ni watu gani? Jibu maswali uliza swali.

Abhasubha ni wakurya waliojichanganya na wajaluo na wanaongea kikurya na kijaluo huyo jamaa anaekubishia hajui.
 
La Kairo Hotel Mwanza ni mali ya mkurya mbunge Airo.

Matajili wa Mwanza ukiacha wenyewe Wasukuma ni Wakurya kama hao kina Chambiri na Gachuma.

Dili za mkoa wa Mwanza kwa kiasi kikubwa zimeshikwa na Wakurya na ndio maana hata Mbunge wa Nyamagana Ezekiel Wenje ni mkurya.

Mkoa wowote wenye border huwezi kusema watu hawana pesa, nenda Tarime au Shirati leo ukashuhudie bila kuwa na kalenda huwezi kujuwa leo ni jumangapi wala tarehe ngapi watu wanakula good time muda wote.

Mwisho Wakurya na mkoa mzima wa Mara kiujumla ni watu wamekwenda shule kiuhakika.

Si sahihi kwa mtu ambaye hajafika Moshi wala haijui Moshi aseme wachaga ni majambazi na Wamachame hawafai kuolewa wana tabia za kuuwa waume zao. Hizi ni kauli zinazoweza kutolewa na mtu mjinga tu na ambaye amekimbia shule.

Wakhatabahu.

Mkuu lakairo hotel ni mali ya Lameck airo ni mbuge wa Rorya ni mjaluo na sio mkurya.
 
Abhasubha ni wakurya waliojichanganya na wajaluo na wanaongea kikurya na kijaluo huyo jamaa anaekubishia hajui.

Kuna watu wa ajabu sana humu hawajui kitu halafu wamekalia ubishi tu.

Eti mtu anabisha eti Rorya na Tarime halikuwa jimbo moja kisa eti kaoa Shirati, na anavyoona pale Shirati watu wanacheza disco na bendi za kijaluo anadhani wote ni wajaluo kwa akili yake anadhani kule Twanga Pepeta na Ngwasuma inauza.
 
Wakuu nimekaa na wakurya sehemu mbalimbali, hawa watu wamenivutia kwa confidence waliyonayo. Sio waongeaji lakini wanajiamini sana wanapofanya jambo.
Hawa jamaa kila nilipokuwa nao karibu nilishuhudia wadada wengi wakijipiga vikumbo kwa kuwatamani, hii ilinifanya nijione mdogo sana na kutaka kujua kwanini wako hivyo? kuna watu waliniambia hao jamaa wamezaliwa hivyo, wengine wanasema ni urefu wao maana wengi wao ni warefu. Wakuu naomba kujua kwanini hawa jamaa wako hivyo?


karibu sana
 
Back
Top Bottom