Over confidence ya wanaume wa kikurya inanivutia

Over confidence ya wanaume wa kikurya inanivutia

Mwanapropaganda

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2014
Posts
4,235
Reaction score
2,512
Wakuu nimekaa na wakurya sehemu mbalimbali, hawa watu wamenivutia kwa confidence waliyonayo.

Sio waongeaji lakini wanajiamini sana wanapofanya jambo.

Hawa jamaa kila nilipokuwa nao karibu nilishuhudia wadada wengi wakijipiga vikumbo kwa kuwatamani, hii ilinifanya nijione mdogo sana na kutaka kujua kwanini wako hivyo?

kuna watu waliniambia hao jamaa wamezaliwa hivyo, wengine wanasema ni urefu wao maana wengi wao ni warefu.

Wakuu naomba kujua kwanini hawa jamaa wako hivyo?
 
wadada wanawatamani halafu hao hao wanakuja kukung'utwa nao
 
ndio upendo huo. kwani akikupiga ngumi na akikulalia juu wakati wa kukugegeda kuna tofauti gani ? zote si unachoka

Sijazungumzia kugegeda hapo hiyo n ishu nyingine kabisa hiyo n.hulka yao kwanza mapenz hawajui kaz kuchimba biti tu halafu unaonekana kama mkurya
 
Wakurya wapo safi sana...mkurya akikupenda huwa ni forever and ever tena ukifuata yale mnayokubaliana hapo atakupenda sana.

Mwanaume confidence bhana...

Tatizo siyo kwamba wana mikwara ila ni wakati gani mkwara utakuwa vise versa! hapo ndo mabinti wengi wanapata tabu sana...
 
hao si ndio nasikia wanawapiga wake zao.........
Wapo peace sana hao jamaa tatizo lao tu ni hilo tu la kupiga lakini mpaka akukung'ute ni mmemwonyesha dharau za hali ya juu sana na amevumilia yamemfika, jamaa yanajua kujali familia zao ikiwa kuhakikisha zinaishi maisha mazuri achana hawa wa mjini wanapenda kutisha watu kila mkimchokoza anakuambia "mie Mkurya shauri yako lakini wenyewe huwa hawana story ndefu". Alafu sio wanafiki akisema hapana maana yake hapana na akisema ndiyo ni ndiyo kutoka moyoni sio kama wenzangu na mie unakuta unachekacheka kumbe moyoni unalako jambo. Ukifanikiwa kutembelea Tarime utajionea mwenyewe japokuwa jamii ya Watz wengi wanawatambua kama ni wakorofi lakini si kweli kwamba ni wakorofi kivile mpaka uingie kwenye 18 zake
 
wanajua kulea ila wana papara sana kitandani....
 
Back
Top Bottom