Over confidence ya wanaume wa kikurya inanivutia

Over confidence ya wanaume wa kikurya inanivutia

La Kairo Hotel Mwanza ni mali ya mkurya mbunge Airo.

Matajili wa Mwanza ukiacha wenyewe Wasukuma ni Wakurya kama hao kina Chambiri na Gachuma.

Dili za mkoa wa Mwanza kwa kiasi kikubwa zimeshikwa na Wakurya na ndio maana hata Mbunge wa Nyamagana Ezekiel Wenje ni mkurya.

Mkoa wowote wenye border huwezi kusema watu hawana pesa, nenda Tarime au Shirati leo ukashuhudie bila kuwa na kalenda huwezi kujuwa leo ni jumangapi wala tarehe ngapi watu wanakula good time muda wote.

Mwisho Wakurya na mkoa mzima wa Mara kiujumla ni watu wamekwenda shule kiuhakika.

Si sahihi kwa mtu ambaye hajafika Moshi wala haijui Moshi aseme wachaga ni majambazi na Wamachame hawafai kuolewa wana tabia za kuuwa waume zao. Hizi ni kauli zinazoweza kutolewa na mtu mjinga tu na ambaye amekimbia shule.

Wakhatabahu.

lakairo sio mkurya. ni mjaluo.

na pia shirati ni rorya kwa wajaluo sio wakurya..


amna ezekiel wenje ni mjaluo sio mkurya.

asilimia kubwa ya matajiri na watu walioelimika sana kutoka mkoa wa mara ni wajaluo sio wakurya.


wakurya kazi yao kwenda sehem za wajaluo huko rorya, utegi na shirati kwenda kuiba mifugo.

wakurya wenye hela ni wachache sana na sana jamaa wamekalia ubabe tu
 
Tata umenikumbusha mbali sana siku nilioamka saa tisa usiku kwenda kutahiriwa umbali wa kilomita 15 kwenda na kurudi kwa miguu kilomita 30, na hapo hapo nilitahiriwa na kisu alafu unamwagiwa spirit kikombe kizima!! Achana na hao wanaokunjwa magovi kwa ganzi. Hakuna mkurya mwanaume ambaye hajatahiriwa labda huyo kakulia mkoa mwingine!!

NA AH!....DAAAAAAAM!...mleta uzi asaaaaaante!
 
lakairo sio mkurya. ni mjaluo.

na pia shirati ni rorya kwa wajaluo sio wakurya..


amna ezekiel wenje ni mjaluo sio mkurya.

asilimia kubwa ya matajiri na watu walioelimika sana kutoka mkoa wa mara ni wajaluo sio wakurya.


wakurya kazi yao kwenda sehem za wajaluo huko rorya, utegi na shirati kwenda kuiba mifugo.

wakurya wenye hela ni wachache sana na sana jamaa wamekalia ubabe tu

Haya ndio matatizo ya kujifanya unajuwa wakati hujui Rorya ilikuwa ni jimbo moja la Tarime.

Mabere Marando, Wenje na La Kairo wote wanatoka Rorya, La Kairo kwake ni utegi na hawa wanaitwa Abasubi au wasubi na Mabere Marando na Wenje wanatoka Shirati Gate way to Kenya Kisumu.

Unaposema mkoa wa Mara wasomi ni wajaluo unaijuwa population ya Wajaluo? Unajuwa mkoa wa mara una wilaya na majimbo mangapi? Wazanaki, Waikizu na Wagita unawaweka wapi? Umeshafika Zanaki wewe?
 
Haya ndio matatizo ya kujifanya unajuwa wakati hujui Rorya ilikuwa ni jimbo moja la Tarime.

Mabere Marando, Wenje na La Kairo wote wanatoka Rorya, La Kairo kwake ni utegi na hawa wanaitwa Abasubi au wasubi na Mabere Marando na Wenje wanatoka Shirati Gate way to Kenya Kisumu.

Unaposema mkoa wa Mara wasomi ni wajaluo unaijuwa population ya Wajaluo? Unajuwa mkoa wa mara una wilaya na majimbo mangapi? Wazanaki, Waikizu na Wagita unawaweka wapi? Umeshafika Zanaki wewe?

acha ubishi kaka mimi hapo shirati ndipo mke wangu anapotoka. napajua vizuri sana.

wenje na lakairo ni wajaluo na sio wakurya full stop.

tarime na rorya ni majimbo mawili tofauti na ni wilaya mbili tofauti zenye halmashauri mbili tofauti.

usibishe kitu usichokifaham.

mbunge wa jimbo pa tarime anaitwa nyambari nyangwine na mbunge wa jimbo la rorya anaitwa lameck airo aka lakairo na ndie mwenye lakairo investment.

sasa tangu lini tarime na rorya ikawa jimbo moja?
 
My next vacation spot is Tarime!:cool2:
Mkuu kama mtu akakupeleka Tarime pale mjini alafu asikuambie huwezi amini kama ndio Tarime unayoisikia kwanza ni wilaya ambayo ni busy yaanai kama vile Aboud anavyofanya safari za Dar - Moron ndivyo hivyo hivyo utakuta kuna gari zinafanya safari za Tarime - Mwanza na kinyume chake na kila baada ya nusu saa kitu kinaondoka (na ni bus mpya Youtong zaidi ya 20 zinafanya safari na level seat) na papo vizuri japokuwa ni wilaya (huduma za bank ya CRDB, NBC na NMB zipo), papo kama Njombe au Karatu vile huku mazingira yake yakiwa kijani kabisa
 
  • Thanks
Reactions: kui
acha ubishi kaka mimi hapo shirati ndipo mke wangu anapotoka. napajua vizuri sana.

wenje na lakairo ni wajaluo na sio wakurya full stop.

tarime na rorya ni majimbo mawili tofauti na ni wilaya mbili tofauti zenye halmashauri mbili tofauti.

usibishe kitu usichokifaham.

mbunge wa jimbo pa tarime anaitwa nyambari nyangwine na mbunge wa jimbo la rorya anaitwa lameck airo aka lakairo na ndie mwenye lakairo investment.

sasa tangu lini tarime na rorya ikawa jimbo moja?

Sina muda kubishana na mtu aliyekwenda sehemu kuoa tu halafu anajifanya anajuwa wakati hujui kitu.

Tarime na Rorya ilikuwa ni wilaya moja na jimbo moja na liliitwa jimbo la Tarime, wabunge wa kwanza wa jimbo jipya la Rorya ni Profesa Sarungi kupitia Ccm na Mabere Marando kupitia Nccr Mageuzi na halmashauri wamepata juzijuzi tu mpaka kukawa na mgogoro makao makuu yakae wapi kati ya Shirati na Utegi.

Wewe umekwenda sehemu kuoa tu hujui kitu muulize mkeo Abhasubi ni kina nani ndio atakupa tafsiri.

Usije kujidanganya Mmchame, Mmeru, mkibosho, Mmarangu na Mrombo kwamba ni watu tofauti hawa wote ni wachaga.
 
Sina muda kubishana na mtu aliyekwenda sehemu kuoa tu halafu anajifanya anajuwa wakati hujui kitu.

Tarime na Rorya ilikuwa ni wilaya moja na jimbo moja na liliitwa jimbo la Tarime, wabunge wa kwanza wa jimbo jipya la Rorya ni Profesa Sarungi kupitia Ccm na Mabere Marando kupitia Nccr Mageuzi na halmashauri wamepata juzijuzi tu mpaka kukawa na mgogoro makao makuu yakae wapi kati ya Shirati na Utegi.

Wewe umekwenda sehemu kuoa tu hujui kitu muulize mkeo Abhasubi ni kina nani ndio atakupa tafsiri.

Usije kujidanganya Mmchame, Mmeru, mkibosho, Mmarangu na Mrombo kwamba ni watu tofauti hawa wote ni wachaga.

kwa hiyo unamaanisha mjurya na mjaluo ni kabila moja?
 
Kitu Usichokijuwa ni bora ukae kimya wasiotahiri ni wajaluo, Wakurya wanatawaliwa tena bila ganzi na kwa wale wanaoishi ufukweni mwa Ziwa Victoria kama hujatahiriwa huruhusiwi kuoga upande wa wanaume na hata kama ulipotahiriwa ulilia pia marufuku kuoga upande wa wanaume.

Bora umesema mkuu huyu mkuu aliyesema hawatahiriwi research yake zero kabisa,kwanza wakurya mtu ambae hajaktwa hata kumsalimia kwa kumshika mkono ni kama najis anaitwa mlisya na anadharaulika sana hata awe rais,wakurya kiukwel wana dharau balaa hata kama hana hela full jeuri, kutahiri kwao hadi wanawake wao wanakeketwa sa hii ishu ya kutahiri hai exist kabisa labda jingine.
 
lakairo sio mkurya. ni mjaluo.

na pia shirati ni rorya kwa wajaluo sio wakurya..


amna ezekiel wenje ni mjaluo sio mkurya.

asilimia kubwa ya matajiri na watu walioelimika sana kutoka mkoa wa mara ni wajaluo sio wakurya.


wakurya kazi yao kwenda sehem za wajaluo huko rorya, utegi na shirati kwenda kuiba mifugo.

wakurya wenye hela ni wachache sana na sana jamaa wamekalia ubabe tu


Red & Blue: Ushahidi tafadhali vinginevyo ni umbeya
 
kwa hiyo unamaanisha mjurya na mjaluo ni kabila moja?

Twende taratibu niko hapa kukuelimisha wewe na wengine wanaojitia ujuwaji wakati hawajui.

Je umekubali kwamba Rorya na Tarime lilikuwa ni jimbo moja na wilaya moja? Ambapo jimbo na wilaya vyote vikiitwa Tarime?

Pili umeshamuuliza mkeo anayetoka Shirati Abhasuba ni watu gani? Jibu maswali uliza swali.
 
siwapendi wakurya maana1.sura hawana
2.hela hawana
3.mapenzi hawajui
4.WAO MIKWARA TU dammmmnnnnn
people-like-you-are-the-reason-why-we-have-middle-fingers-insult-quote.png
 
lakairo sio mkurya. ni mjaluo.

na pia shirati ni rorya kwa wajaluo sio wakurya..


amna ezekiel wenje ni mjaluo sio mkurya.

asilimia kubwa ya matajiri na watu walioelimika sana kutoka mkoa wa mara ni wajaluo sio wakurya.


wakurya kazi yao kwenda sehem za wajaluo huko rorya, utegi na shirati kwenda kuiba mifugo.

wakurya wenye hela ni wachache sana na sana jamaa wamekalia ubabe tu

hawana Ela walee ni MKWARA TU
mapenzi 0 anakwambia tu kwani reo hunipi????mbona huvui nguo
 
Mipaka ya nchi yetu ni salama sababu hawa jamaa wako serious na sehemu ya jeshi letu sijui saiv lkini wengi walikuwa wao, usalama wa nchi yetu nao uko sound sababu wazee wa chigoma ni muji nao wana misimamo balaa nackia kule kati wamejaa,hela za nchi yetu cna hakika sana sababu waliosomea wengi na wakapewa hilo jukumu ni wazee wa umeingiza sh. Napi?
 
Back
Top Bottom