Km unauhakika, meseji yako ya I love you'.... Alikujibu on Time......
MADEMU WANAITANAGA MAJINA HAYO HONEY, SWEET, DEAR.....what if kama alijibu meseji ya demu mwenzake ????
Anyway, nikikazia Hisia zako then iwe ivi ;-
Kaa kimya .,, Leo, kesho, kesho kutwa ,kesho yake tena ..
Kaa kimya !!!........Tu mpaka akuanze !!! .
Alafu nn, mambo km HAYA huwa yanabadilisha moyo. Toka udhat mpaka uchezeaji.
Binafsi nimchunguzi sana, nikishaconfirm kua haikua yangu,,,
Sitomuacha ghafla, naanza kumuonyesha nampenda sanaaaa yaan sana, fulu mazaga mazaga ,indoors and outdoors funny , naendelea kula mzigo ,WAKAT HUO NATAFUTA KADEMU KENGINE ,,baadae nikikata ninakata kama umeme .... Akiuliza, ndo namwambia ' nmeamua kuachana naww sababu umetupanga folen ,ushahidi ni ile meseji. Sikusamehee wala sikusahau ila nilikua nautumia huo muda, kumtafuta tunaeendana na nilipompata mwanamke mzuri wa umbo nasura na akili. Na heshima mwenye kujitambua na nidhamu ya juu. Nikaona nkuache !!!.
Trust me, Madem huwa hawapendi kulinganishwa ..iyo meseji kuna mawili
1-imuumize sanaa ikiwa kwako ndo kunaunafuu.
2/imuumize sababu atajiona kumbe sio mzuri lkn sio mbaya ataendelea najamaa yake .