Kasie
Platinum Member
- Dec 29, 2013
- 22,805
- 43,230
I’ll go with the flow and say I love you more and most.
Tadadadadada....
I’ll go with the flow and say I love you more and most.
Singida-Dodoma ma ma ma
Mtwara na Kigoma ma ma ma
Jabuuuuu.....
Mtamu ka’ banana na na na na na....
Mahaba Matata ta ta ta ta ta ta.....
Tadidadadaaa
Because you are the Houdini of cheaters
Hahahahaaaa. Heri ya mwaka mpya mheshimiwa!!!!
Ninzur, ila hii km demu anampenda uyo mwingine kuliko mtoa mada.
Demu anaweza MPA JIBU LAKIBABE MTOA MADA ,,tukasikia MTU kajinyonga.
Eg ( Ndio nilikua namtumia Mwanaume wa maisha yangu , amua lolote unalotaka) 🙂 🙂 🙂 utajiona worthless
TUSISAHAU, HAWA VIUMBE WANA UWEZO MKUBWA WAKUKUFANYA UJIONE HUFAI BILA HATA KUKUGUSA .
Labda ulimwambia I love u akasahau kujibuFikiria yamepita zaidi ya masaa 6 toka uwasiliane na mpenzi wako. Kila mtu yuko busy na utafutaji.
Ila ghafla inaingia msg toka kwa mpenzi wako "I LOVE YOU TOO HONEY"
It's obvious hiyo msg ni mwendelezo wa convo but sio na ww. Utaipokeaje? Utajibu vipi?
Analyse
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha kumbe ndivyo mlivyo.Kama ni mimi ndio nimeituma kimakosa nitakavyokomaa kuwa ni yako hutaamini majicho yako.
Nikitumiwa mimi najua tu sio yangu hivyo walaa siijibu na simuulizi chochote. Bali najipanga kutembea 'mbere'.
Suresio kila jambo ni lakufatilia, inatakiwa umjue mpenzi wako na sio habari zake ili mdumu
After knowing that, will you be comfortable?Puuzia ujue hauko peke yako mpo wengi.
Hahahaha Utashuka nae kivipi?nitatuliza akili nimalize mishe zangu kwanza then baadae NITASHUKA NAE JUMLA JUMLA