Out of nowhere, you receive this msg from your bae

Out of nowhere, you receive this msg from your bae

Hapo njia rahisi ya kuconfirm kama alikuwa anachat na girl mwenzake ni kuona mtiririko wa chats zao na muda.


Ila kwa upande wa wanawake, hiyo msg ikiingia out of nowhere kutoka kwa bae, yani sijui uje na utetezi gani uelewe as for men hatuna mtindo wa kuitana hivyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Uta confirm vipi wakat atakuwa ameshafuta kwenye simu yake wewe una kipande tu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ilikuaje?
Nilitaka kuhack whatsp ya duu mmoja hivi kipindi hicho. Na ukiacha Web, hiyo App ndio easiest way bila kushika cm yake. Baada ya kufanya mambo yangu nikasahau kuuninstall hiyo App alaf sijui ikawaje akaona mchezo wote.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna mawili
1. Msg sio yako ni ya mtu mwingine
2. Kuna sehemu kapita katika jaribu moja kalikwepa so ili kukimbusha kuwa tayar yupo na mtu ndo anakuja kwako kama kikumbushio chake kuwa anaupendo juu yako

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom