Out of nowhere, you receive this msg from your bae

Out of nowhere, you receive this msg from your bae

Hahahahaha siwez ogopa mkuu..case km hii ni sensitive mnoo.

Ila ktk kudeal nayo ndo Nitaja na Solutions mbalimbali .

Huwa naogopa solution ambayo haiwez tatua tatizo moja Kwa moja.
....IMAGINE WEE UNAMPENDA 100‰ UMEWEKEZA SANA KWAKE,, alafu unamuuliza kisha anakuambia 'Ndio nilikua namtumia Mwanaume Wangu nimpendaye''......Bro wanaojiua sio mafala 😀 😀
Na pia
Ukimuuliza Direct tena Kwa simu hivi ,uwezekano wa kutoa jibu lisokua LA kweli ni mkubwa .

So ni ama, Ajihukumu (Kwa ukimya wako) .... Kukutana naye laivu laivu kisha weka sura ya ununda. Au basi km hauna naye mipango nikuzuga tu nijambo lakawaida kisha endelea nayako.
 
Mimi natoa solution sasa kwa yule ambaye amemtumia mpenzi wake sms kama hiyo na ilitakiwa iende kwingine.

Hakikisha muda wote unang'ang'ania kua yeye ndiye kaanza na hilo ni jibu lako.

Download fake sms app, na install.

Ifungue nenda hadi sehemu ya kuandika sms utaandika 'I love you' kisha utaseti muda ili ionekane hiyo sms imeingia kabla ya kwako kwenda.

Utaenda eneo la contacts, utachagua jina lake na kulijaza.

Kisha send.

Fake sms itakuprompt uichague as default, kubali. Sms itaingia, kisha itakuprompt uirudishe sms as default.

Sms uliyoiedit itakua ya kwanza na ya kwako ya 'I love you too honey' itaonekana ni jibu la ile uliyoedit.

Screenshot mtumie. Halafu anza wewe kua mkali kwamba alikua anamtumia nani hadi ashangae wewe kujibu.
 
Mimi natoa solution sasa kwa yule ambaye amemtumia mpenzi wake sms kama hiyo na ilitakiwa iende kwingine.

Hakikisha muda wote unang'ang'ania kua yeye ndiye kaanza na hilo ni jibu lako.

Download fake sms app, na install.

Ifungue nenda hadi sehemu ya kuandika sms utaandika 'I love you' kisha utaseti muda ili ionekane hiyo sms imeingia kabla ya kwako kwenda.

Utaenda eneo la contacts, utachagua jina lake na kulijaza.

Kisha send.

Fake sms itakuprompt uichague as default, kubali. Sms itaingia, kisha itakuprompt uirudishe sms as default.

Sms uliyoiedit itakua ya kwanza na ya kwako ya 'I love you too honey' itaonekana ni jibu la ile uliyoedit.

Screenshot mtumie. Halafu anza wewe kua mkali kwamba alikua anamtumia nani hadi ashangae wewe kujibu.
Process ndefu yote na nini..wizi mbaya
 
Hahahahaha siwez ogopa mkuu..case km hii ni sensitive mnoo.

Ila ktk kudeal nayo ndo Nitaja na Solutions mbalimbali .

Huwa naogopa solution ambayo haiwez tatua tatizo moja Kwa moja.
....IMAGINE WEE UNAMPENDA 100‰ UMEWEKEZA SANA KWAKE,, alafu unamuuliza kisha anakuambia 'Ndio nilikua namtumia Mwanaume Wangu nimpendaye''......Bro wanaojiua sio mafala 😀 😀
Na pia
Ukimuuliza Direct tena Kwa simu hivi ,uwezekano wa kutoa jibu lisokua LA kweli ni mkubwa .

So ni ama, Ajihukumu (Kwa ukimya wako) .... Kukutana naye laivu laivu kisha weka sura ya ununda. Au basi km hauna naye mipango nikuzuga tu nijambo lakawaida kisha endelea nayako.
Kuna wengine hata face to face huwa wanabisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi natoa solution sasa kwa yule ambaye amemtumia mpenzi wake sms kama hiyo na ilitakiwa iende kwingine.

Hakikisha muda wote unang'ang'ania kua yeye ndiye kaanza na hilo ni jibu lako.

Download fake sms app, na install.

Ifungue nenda hadi sehemu ya kuandika sms utaandika 'I love you' kisha utaseti muda ili ionekane hiyo sms imeingia kabla ya kwako kwenda.

Utaenda eneo la contacts, utachagua jina lake na kulijaza.

Kisha send.

Fake sms itakuprompt uichague as default, kubali. Sms itaingia, kisha itakuprompt uirudishe sms as default.

Sms uliyoiedit itakua ya kwanza na ya kwako ya 'I love you too honey' itaonekana ni jibu la ile uliyoedit.

Screenshot mtumie. Halafu anza wewe kua mkali kwamba alikua anamtumia nani hadi ashangae wewe kujibu.
Wazee wa majanga hamuishiwi mbinu. Hiyo App ya fake sms ishawahi kuniletea msala.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom