wewe jamaa umehangaika kuandika maelezo meeengi na kupoteza nguvu zako nyingi . majibu ya maswali yako yote marekani walishayajibu
kwa kukusaidia tu ni kuwa
- marekani bado hawajarelease picha za osama
-walimtupa baharini baada ya saudi arabia kukataaa kuuchukua mwili wa osama n akitu kilichopelekea wauzike baharini ni kuwa wameogopa kaburi la osama likiwa nci kavu watu wanaweza kulifanya kuwa kivutio na kuanza kulitukuza kaburi lake
-kabla ya kuzikwa taratibu zote za kidini zilifuatwa na wamesema watarelease video/clip jini dua ilivyofanya kama kuna watu wataihitaji