Osama bin Laden killed!

Osama bin Laden killed!

Status
Not open for further replies.
Si rahisi kuipokonya silaha za nyuklia pakistan.
 
Wadau,
Binafisi kifo cha Osama na kiona kimejaa utata mtupu, kiini macho na vituko tu kama Ze-commedy tu!
1. UTATA WA KWANZA
Utata unaanzia kwenye hii picha wanayosema ni maiti ya Osama.
Angalia hizi picha….

attachment.php

2004 2011



Hii picha ya maiti ina mashaka mengi;
1. Ndevu za osama zilikuwa na mvi nyingi mwaka 2004, kuliko 2011. Inakuwaje? Miaka ikiemda mvi zinapungua ? au alikuwa anapaka PICO mafichoni ??
2. Angalia kwenye paji la uso karibu na macho ya kushoto na kulia utaona uso wa Osama kama umeingia ndani kdogo, tofauti nah ii ya 2011 ambao umepanuka. Je alinenepa?? Sasa kwanini anenepe kwenye paji tu?? Na sion mdomoni na maeneo ya kidevu?
3. USA wanasema alipigwa risasi mbili tu, moja kifuani nyingine kichwani. Je picha mbona haionyeshi jeraha la risasi ya kichwani? Na hawo macho mbona kama yametobolewa na visu, risasi hutoboa hivyo? Mbona picha inovyesha kama maiti ya aliyekufa kwa mateso sio risasi?
Hii ni picha ya kutengeneza kwa kuunganisha sura mbili tofauti (picha ya huyo mtu wa kati aliyekufa (sio Osama) na picha ya Osama ya mwaka 2004). Ni picha fake na iliaanza kusambanzwa kwenye internet toka 29 April 2009.
Source ; Osama bin Laden corpse photo is fake | World news | guardian.co.uk
2. UTATA WA PILI
Wamarekani wanasema wamepigana kwa dakika 45, mpaka kumuua Osama na watu wa4 tu wamekufa lkn hakuna Mmarekani hata aliyedhulika. Helkopta moja ililipuka na kuharibika vibaya.
Hii inatia shaka sana;
1. Kwa vita ya dakika 45 tena ya mtu kama Osama mwenye jeshi kama serikali wanaweza kufa watu wa4 ?
2. Helkopta inaweza kulipuka ktk vita kiasi cha kushindwa kuluka tena, hata mtu mmoja asidhulike?

3. UTATA WA TATU
Mazishi ya Osama pia ni utata mtupu.
Wamarekani wanasema amezikwa taraatibu zote za kiislamu,tena wanasema kazikwa baharini.
Maswali ya utata;
1. Kazikwa kwa taaratibu zote za kiislamu mbona hatujaona hata picha ya mskitii walipofanyia swala,watu walioshiriki mazishi au hata kabuli lake ?
2. Kazikwa kwa taratibu zote za kiislamu, halafu kazkiwa baharini!! Mhh?? Hizo ndo taratibu?? Kwa nini baharini? Hii ni danganya toto!! Hakuna aliyezikwa au kina kitu kinafichwa hapa!!
Wamarekani kwa jinsi tunavyowafahamu kama kweli wangekuwa wamemuua Osama ambaye amewasumbua kwa miaka zaid ya 10, lazima wangetangaza dunia nzima kwa picha na matukio mbali mbali kuhusu tukio hilo. Haiwezekani wamuue na kumzika haraka haraka kimya kimya hivyo (hata kama ni suala la imani) , kwa marekani HAIWEZEKANI wangetawala media zote dunian!

BINAFSI NAAMINI;
WAMEREKANI WAMESHINDWA HII VITA YA KUMTAFUTA OSAMA SASA WAMETAFUTA JINSI YA KUIITIHISHA TU, NDO WAMETENGENEZA HIKI KITUKO ..WAIDANGANYE DUNIA KAMA WAMEMALIZA KWA USHINDI. YAWEZEKANA OSAMA YUPO HAI AU ALIISHAKUFA ZAMANI.
 
wewe upo dunia gani?
Marekani wamesema mpaka sasa haijarelease picha ya dead Osama.
Hiyo picha unayoisemea ilikuwepo photoshop muda mrefu

Picha wamesema wataweka kulingana na hali ya mambo-muislam akifa hawekwi hadharani (America walilaumiwa kuvuja kwa picha za Sadam Husein)
Mazishi ya muislam hayaitaji msikiti kama kitu cha lazima (Dua,osha,shuka nyeupe,ubao)

 
Hiyo ni picha ya mtandaooni sio ya current ya kifo cha Osama. Wamesema watatoa picha baadae.

Anyway aliyepublish hiyo picha kwenye gazeti aliipata wapi? Aliipataje? Au alikuwepo kwenye uwanja wa mapambano? Waliopiga picha ni askari wa Marekani na wamesema hawajatoa picha yoyote mpaka sasa.

Kwa ujumla siungani na fikra zako
 
mimi nazani hata hayo tu uliyoandika maggid yametufungua baadhi yetu so endelea kumwaga vitu kama kuna mtu anaona unakosea sio vibaya akisahihisha ili sisi tujifunze kwayo.sio kukukatisha tamaa.mimi nilitegemea wana jf wangekupa moyo,ushauri,na misaada ya ki mawazo ili ufikishe ujmbe kwetu sisi tusio kuwa na weredi juu ya mambo hayo.


Ajabu sana hao wanaojua wanaishia kusema

Wewe Maggid siku hizi unazeeka vibaya.Mada unazotoa zimekuwa na hoja za kipuuzi sana.Saa nyengine kaa kimya tu kama sisi wenzio au changia mada za wenzako zilizoanzishwa kabla.

bora sie tunachangiaga mada tu. mana ukiwa kihelehele wa kuanzisha threads zilizoandikwa kwa mitindo na mbwembwe halafu hazina maana,ni bora usome za wenzio great thinkers.

Tunategemea Ami na pangalashaba wangetupa mchele kwa maana wamesema aliyosema Maggid ni pumba nashindwa kuelewa nina pangalashaba ni wachoyo wa kutupa maarifa waliyonayo au wanabifu na mleta mada. Kwakuwa wapo hapa ni vema watueleze nini hasa kinachowasibu mpaka wamsakame namna hii............
 
hawa wamarekani wanapenda sana mambo ya conspiracy espeshali pale wanapofanya ugaidi. Osama alikufa kitambo. Lakini hii habari ya sasa wanaizungusha tuu wee pande zote mbili kwa wale waliolala wanakubali tuu na wale walio amka wabishi kama kinasiye tumesikia mengi wanatuletea picha za photoshop online alafu wanakana baadaye walio lala basi wanafurahiya wanaendelea kunenepeshwa tuu na habari hewa kama kuku wa nyama. Kazi kweli kweli, hii ndio inteligence comunity product posible deniability situations.
 
[/B][/COLOR][/SIZE][/FONT]

Duh sijui wale jamaa zangu wa kanda ya ziwa wangetamkaje.




Huwa nasikia kichefuchefu mtu akiweka "L" kwenye "R" tena hili tatizo limekuwa janga kwani hata kwenye magazeti utakuta mtu anaandika Alusha sijui maedita wanafanya nini....
 
Kwa ufupi sana hiyo picha si ya sasa hivi pamoja na kuwa tu si ya sasa hivi haimalizi utata wa kifo cha Osama, but uhalisia wake ni kwamba Osama wamemkamata na wako nae alipigwa risasi na yuko chini ya uangalizi mkali sana huku akitibiwa nadhani ni kwa sababu wanataka kuextract some useful information from him ili waweze kuharibu mitandao yake na kulingana na misimamo ya kiislamu na kwa Osama kama Osama hizo information hawatazipata kamwe watamtesa hadi wamuue but hata toa siri hata moja kwa sababu mtandao wao ni mkubwa sana...
something to note: ni kwamba kuna mfuasi wake ambaye alisema kuwa hajafa...na likatimkia msituni,

But Osama is not dead...
 
Mada ya Maggid hana tatizo iko poa kabisa inaeleweka labda wakosoaji wake tayari wana tafsiri ingine.

Nadhani ni wivu na choyo tu ndio kinachowasumbua hakuna zaidi ya hilo kama wao ni wajuvi zaidi ya Maggid wangemkosoa kwa hoja ili tupate kuelimika ila wanaonyeshawao wenyewe wapo gizani hawajui kitu on top of that wanabwabwaja kwa jambo wasililijua hawa ndio wale wanaoshabikia vitu wa sivyovijua hawana ni wale wale waliokuwa wakipiga kelele kuhusu RA and Co kuwa wawajibishwe ilikuwa kila kukicha ni RA sasa chama chao kimesema watemwe leo hao hao wanawatetea kwa marefu 60 na mapana mia na ishirini utadhani sio wao jana waliokuwa wakichangia na kuanzisha thread za kuwalalamikia hao watu. Anyway ni wenzetu itabidi tujifunze kuishi nao.
 
Wewe Maggid siku hizi unazeeka vibaya.Mada unazotoa zimekuwa na hoja za kipuuzi sana.Saa nyengine kaa kimya tu kama sisi wenzio au changia mada za wenzako zilizoanzishwa kabla.

Ni elimu nzuri kwani haiko biased kwa kundi lolote. Hawa kina Ami ni minyororo tu ya ukoloni wa kidini ndiyo inayowasumbua. Watu kama hawa juwa wana majibu hata kabla ya kujua swali. Nawasamehe anyway
 
kumbe alikuwa muislam...?
wanataka azikwe kiislam mbona watu aliokuwa akiwatuma kujilipua hawakupata nafasi hata ya kuoshwa..? kwani yeye ni bora zaidi kuliko suicide bombers wanaopotelea kwenye majivu ya milipuko..?
 
Kwa ufupi sana hiyo picha si ya sasa hivi pamoja na kuwa tu si ya sasa hivi haimalizi utata wa kifo cha Osama, but uhalisia wake ni kwamba Osama wamemkamata na wako nae alipigwa risasi na yuko chini ya uangalizi mkali sana huku akitibiwa nadhani ni kwa sababu wanataka kuextract some useful information from him ili waweze kuharibu mitandao yake na kulingana na misimamo ya kiislamu na kwa Osama kama Osama hizo information hawatazipata kamwe watamtesa hadi wamuue but hata toa siri hata moja kwa sababu mtandao wao ni mkubwa sana...
something to note: ni kwamba kuna mfuasi wake ambaye alisema kuwa hajafa...na likatimkia msituni,



But Osama is not dead...

uongozi wa marekani hauwezi kuwadanganya wananchi wake manake madhara yake ni makubwa kuliko sababu unazotoa.. !! USA imejaa wasomi na wananchi waelewa..!
 
Operation ya kumuua osama ilipewa jina la GERANIMO.
Huyu geranimo alikua shujaa wa kabila la wahindi wekundu,apache huko marekani karne ya 19.so miaka mia baadae jina hilo latumika kama code name ya osama.
Habari zinalonga kuwa babu yake bush mzee prescot bush na wenzake walifukua kabla la shujaa huyo after world war one kwenye makaburi yalioko Fort sill na kuiba fuvu lake la ili litumike kunywea damu kwenye mitambiko yao-ritual ya skull and bones club
 
Hata Ex-governor Daud Balali wapo wanaosema hajafa kwani maiti yake wala picha zake hazijaonekana hata leo, na alichomwa moto. Wapo wanaosema hadi hii leo kuwa Yesu kristo hakufa, na aliyewekwa msalabani ni mtu mwingine.!!

Kwa hiyo si jambo jipya kuwa na wasiwasi kuwa Osama hajafa. Awe amekufa au yu hai,la muhimu ni kwamba dunia yetu haiitaji mtu kama Osama kwa tafsiri yeyote ile bila kujali anatoka Taifa gani.
 
Nachojaribu kusema ni kwamba kama huyo geranamo aliewasumbua zamani wanatumia fuvu lake kunywea damu ktk mitambiko si ajabu kichwa cha osama kiko washington kwa lengo hilohilo kumbuka hawa jamaa ,wazungu hata mkwawa walichukua fuvu lake.na ndo sababu wamemzika faster kwa sababu it was binladen minus his head.
Ni nadharia tu ila jaribu kwenda SMH.COM
abovetopsecret.com
infowars.com
pia ujue hitler aliuawa tarehe 1 may na hakuna maiti wala kaburi lake naye osama kauawa tarehe 1 may.
Figure it out
 
Usanii mtupu! Hata Tanzania tulidanganywa Balali alikufa, ukweli hakufa yuko anadunda na anatafuna presa aliyo kwiba.
Msiba gani usio kuwa na kusanyiko la waombolezaji?
 
obama stoped operation of the best CIA asset Osama myth sasa yeye ameclen house kwa kuuwa osama hewa unazani bushi atafurahiya. Nazani kunamatukio mabaya sana yatatokea hapa hawa the power that be(TPTB) wanataka kutuingiza tena mjini mchana mchana kama walivyofanya na 911.
 
Si rahisi kuipokonya silaha za nyuklia pakistan.
Kwanini isiwe rahisi na tayari wana siri zote ambazo kabla yawezekana walizikosa.
Pakistan ni aibu tupu tangu kuundwa kwake mpaka hapa ilipofika.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom