ZILE PICHA HAZIKUWEKWA KWENYE MTANDAO NA AMERICA bali wale askari wa iraq walioshiriki kunyongaeti picha zinatisha mbona tuliona Sadamu akinyongwa live kwa dakika kazaa
Muislam akifa hawekwi kwenye hadhara
ZILE PICHA HAZIKUWEKWA KWENYE MTANDAO NA AMERICA bali wale askari wa iraq walioshiriki kunyongaeti picha zinatisha mbona tuliona Sadamu akinyongwa live kwa dakika kazaa
uanaona haya ...Bush ni kama tikiti maji ...kichwa kubwa halina akili
personally osama amedai kuhusika na ile milipuko kivipi useme bush.Hawa wamarekani kwa kuigiza hawajambo.walijua tangu august last year alipo bin laden lakini wamesubiri mpaka dunia ilipuke kwa kuuliwa mtoto na ajukuu wa gdaf ndo wakaona waue so kwa kuleta issue ya osama ambayo imezifunika issue za libya ,birthcetificate fake na hata maandalizi ya kuishambulia iran ambao yanafanyika hivi sasa.ukweli inawezekana laden alishakufa long ama kama amekufa hyo juzi ama kajilima risasi mwenyewe nna hakika wangemtaka akiwa hai .ama kama wamemuua basi ni kumziba mdomo kwani kina bush walihusika kuilipua world trade centre kuficha ushahidi wa ufisadi wa trilion dollars.tafuta ktk gøogle...BUSH FAMILY PROJECT HAMMER.
waliowaweka mahabusu ni PAKISTAN na siyo MarekaniUdhalilishaji wa aina hii ndio ambao Mungu haupendi na ambao kwa huo Marekani itapigika kwa laana ya Mungu na wala si silaha.
Hebu fikiria unapokufa mtoto na mke wako badala kufarijiwa wanawekwa rumande ati kuhojiwa.Ikiwa huo si ushenzi na unyama ni nini?
Hawa wamarekani kwa kuigiza hawajambo.walijua tangu august last year alipo bin laden lakini wamesubiri mpaka dunia ilipuke kwa kuuliwa mtoto na ajukuu wa gdaf ndo wakaona waue so kwa kuleta issue ya osama ambayo imezifunika issue za libya ,birthcetificate fake na hata maandalizi ya kuishambulia iran ambao yanafanyika hivi sasa.ukweli inawezekana laden alishakufa long ama kama amekufa hyo juzi ama kajilima risasi mwenyewe nna hakika wangemtaka akiwa hai .ama kama wamemuua basi ni kumziba mdomo kwani kina bush walihusika kuilipua world trade centre kuficha ushahidi wa ufisadi wa trilion dollars.tafuta ktk gøogle...BUSH FAMILY PROJECT HAMMER.
u
Unajua bush was the first american president to have MBA alafu ni fighter pilot, amedanganya tuu ulimwengu kuwa yeye ni zuzu ndo maana akaivamia tu iraki na hakuna aliyepiga kelele.
Osama bin Laden's daughter has claimed her father was captured alive before being shot dead by US special forces.
SOURCE:skynews 11:21am
personally osama amedai kuhusika na ile milipuko kivipi useme bush.
Mtoto wa Ghadafi kitu gani kwani baba yake kaua wangapi mpaka marekani iamue kuua so kwa uzushi wa osama?
Hakujihami, Hakuwa na silaha. Walimpiga risasi mke wake ambaye alimtumia kama kinga. Walishindwaje kumkamata akiwa hai mtu ambae hana silaha?.....
its a fallacy for bin laden's supporters that he is alive-but always the truth prevail-And yet still some people claim that osama is alive and kicking. So who is telling the truth: his daughter who is admitting he is dead or his supporters who insist he is alive?