Osama bin Laden killed!

Osama bin Laden killed!

Status
Not open for further replies.
uongozi wa marekani hauwezi kuwadanganya wananchi wake manake madhara yake ni makubwa kuliko sababu unazotoa.. !! USA imejaa wasomi na wananchi waelewa..!

Nakupa nafasi ya kufikiria tena sio kama unavyofikiria....by the way nilikuwa sijui kama wasomi hawadanganywi na nilikuwa sijui kama msomi nae anadanganya pia ...🙂
 
kweli kabisa mkuu,osama kauwawa maana navyomjua mimi angekuwa hai angesha jitokeza kwenye kwenye tv akikanusha kuuwawa
unamaanisha hizo video ambazo zilikuwa zina pewa al jazira na CIA zilikuwa hazina validity yoyote
 
uongozi wa marekani hauwezi kuwadanganya wananchi wake manake madhara yake ni makubwa kuliko sababu unazotoa.. !! USA imejaa wasomi na wananchi waelewa..!

wamarekani wanadanganywa kila siku kwanza serikali yao ina vyama viliwi tuu na watu ni walewale wapenda vita kila kukicha. kwa statistics aloni sioni jinsi gani baba awe raisi alafu chini ya miaka kumi mtoto naye awe kwenye nchi ya democrasia. Hiyo ikuonyeshe ni utata mtupu humo kwenye hiyo serikali ya marekani
 
Another reason why this story stink,20 or more heavily armed Navy SEAL-40MINUTES fight and only three people dead.?who was shooting for 40 minutes,at whom and why there where no local alarm raised or military backup since military academy was only few minutes away and the area is populated by retired army generals.where was the bodyguards of bin laden.something missing in this story
 
In other words these, pictures give the clue that Osama was guarded by the Pakistani Army?
There is no way that the Pakistan Army or the ISI(Pakistani Intelligence ) coul NOT have known that Osama was right uder their noses, thats what is worrying.Could they be accomplices to the murders in Tanzania and Kenya in 1998?
 
Another reason why this story stink,20 or more heavily armed Navy SEAL-40MINUTES fight and only three people dead.?who was shooting for 40 minutes,at whom and why there where no local alarm raised or military backup since military academy was only few minutes away and the area is populated by retired army generals.where was the bodyguards of bin laden.something missing in this story

Halafu kuna Gegedu moja linasema Serikari ya marekani haiwezi kudanganya!!! USA imejaa wasomi...THINK BIG
 
Mimi naamini Osama kafa na Mungu amrehemu.Atutolee 100 wengine wa aina yake ili vita isikome pale. Kwa upande mwengine napinga kisa cha kufa kwake,wakati huo huo napenda mchezo unaonasibishwa na alivyokufa.
Kwanini nikapenda alivyokufa?,ni kwa vile wamemfufua kwanza ndipo wakamuua.
 
  • US officials say that after the raid the body was flown to Afghanistan where DNA tests were carried out.
  • Officials the tests showed a "virtually 100%" match with the DNA of Bin Laden's relatives.
  • Afterwards the body was being buried at sea. US officials said this was to avoid his grave becoming a shrine.
The US is well aware of the pressure to provide proof of death. Indeed US media have said that one of the reasons President Obama decided on a commando operation to kill Bin Laden rather than a bombing raid was to have positive identification of the body
source:BBC
 
Nafikiri mungu hawezi kutunyima vyote, hiki ndio kipaji pekee tulichonacho Watanzania. BISHANA MPAKA UFE. Usichokijuwa tu ni kwamba alikuwa anahifadhiwa na serikali ya Pakistan, kwa sababu ya upumbavu ule ule wa huyu ni mwislamu mwenzetu.

Well said.
 
  • US officials say that after the raid the body was flown to Afghanistan where DNA tests were carried out.
  • Officials the tests showed a "virtually 100%" match with the DNA of Bin Laden's relatives.
  • Afterwards the body was being buried at sea. US officials said this was to avoid his grave becoming a shrine.
The US is well aware of the pressure to provide proof of death. Indeed US media have said that one of the reasons President Obama decided on a commando operation to kill Bin Laden rather than a bombing raid was to have positive identification of the body
source:BBC
unamaanisha mwili ambao hawatupatia picha sasa kama walitaka kupata positive identification alipokufa basi si wangewaita nduguzake watoe hiyo positive identification si hivyo ndo wanavyofanyaga mtu akifa. hata sadamu husen mbona walifanya hivyo na mapicha wakeka live. hawa wanataka tuwapatie mda nadhani bado wanatengeneza mwili bandia waosama kama watatoo hiyo proof.
 
Osama's Daughter Watched Father Killed by US Forces
By Tokunbo Adedoja
04 May 2011
Osama-Bin-Laden02.jpg

Osama Bin Laden

One of Osama bin Laden's daughters saw her father being shot dead by United States forces, and was one of about 10 relatives of the Al Qaeda leader in custody pending interrogation, a senior Pakistani intelligence official told Reuters Tuesday.

The official, who declined to be named, said the daughter, aged 12 or 13, was one of the persons who had confirmed that the mastermind of September 11, 2001 attacks had been killed by US commandos in a raid early on Sunday.

The relatives – one of bin Laden's wives and up to eight children – will be interrogated and then probably turned over to their countries of origin, and not the US, in accordance with Pakistani law, the official said.
The official said the wife and children were left behind after an American transport helicopter, possibly an MH-60 Sea Hawk, was abandoned because of mechanical problems.

He said there was not enough room for the group on the other helicopters, which were transporting bin Laden's body, other male captives and the commandos.
Other developments in the bin Laden affair are:



 
"Uongozi wa marekani hauwezi kudanganya wananchi wake?" Hebu jikumbushe ya G.Bush alivyowadanganya wamarekani na ulimwengu nzima kua Sadam Husein ana silaha za maangamizi. Jee huo haukua uongo ?
Ukweli ni kwamba Uongozi wa marekani ni hodari mno wa kupanga na kueneza uongo. Kwa mfano jana tuliambiwa Osama aliuwawa baada ya mapambano ya silaha . Leo wanasema Osama hakua na silaha. Na sijui kesho watakuja na stori gani!
 


Uamuzi ni wako, aidha kukubali au kukataa yaliyojiri nyumbani kwa Bin Ladden.
 
Last edited by a moderator:
Swali lingine how the person die with the same smile. Hapo USA wamechakachua na pia pindi magazeti ya wingereza yalipotoa picha hizo za kifo cha Osama wakaambiwa watoa maramoja so kunakitu gani kimefichika?
 
eti picha zinatisha mbona tuliona Sadamu akinyongwa live kwa dakika kazaa
 
40 minutes fighting and no neighbour to step outside to see what the hell was going on? Even pakistan cant get their story straight.first they were part of the operation and now t hey are saying they were left out.so which is which?
How come people arent cöncern with the origin time line? I could have sworn i heard on cnn that bin laden has been dead for a week now all of a sudden no further mention of that piece of infor.
Also how do you perform DNA test
within six hour,let alöne a week?and bury the body within those hours.did they perfom test aboare the helcopter?where are the superstar who shot him,why arent we seeing him on TV getting interview?
This obama and his gaggle of sociapaths cant even tell a plausible fairytale.
 
Hivi hapa Bongo makachero wetu wanawajua watu wote wanaoishi kuizunguka kambi ya Lugalo?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom