Osama bin Laden killed!

Osama bin Laden killed!

Status
Not open for further replies.
Jamaa ni msema chochote,hamkumbuki alipoulizwa kipi kinasababisha umasikini Tz,alijibu 'sijui' mpotezee jamaa hana jipya
 
Mod najua tayari ipo thread inayozungumzia kifo cha Osama lakini nimeona ni vyema nikaianzisha hii ilikuweka msisitizo kwa wanaodhani kifo cha Obama ni mazingaumbwe.Haiwezekani Rais,Makamu wa Rais,Waziri wa mambo ya Nje na Home land security adviser na wakuu wote wakae chumba kimoja kwaajili ya kuudanganya ulimwengu,Osama habari yake imeshamalizwa.
 
soma hii:


hawa jamaa walichomoa hiyo brain ya dadake Bin Laden with permission?
wamerekani wanatabia ya kuchukua vitu kama hivyo then wanavifanyia uchunguzi-kuna baazi ya serial killers wa marekan baada ya kuuliwa walichukuliwa brain zao na kwenda kuzifanyia uchunguzi pasipo kuomba ushaur wa mtu yoyote-kwa hio kwa swala la kuchukua ubongo wa dada yake osama bila kuomba ni swala la kawaida kwao
 
Duh kumbe Osama mwoga alipenda kutoa uhai wa watu wasio na hatia ilipofika zamu yake anamtumia mkewe kama kinga.

Osama used wife as shield

OSAMA Bin Laden was last night revealed to have been shot dead after cowering behind his youngest wife as US Navy Seals swooped on his secret mansion.

The "human shield" - who was wounded herself - had given away his identity by shouting out his name.
He was blasted to death with a bullet between the eyes after two dozen of America's elite Special Forces slid 50ft down ropes from helicopters into his compound.

Video: Inside the Bin Laden compound


GRAPHIC pictures have been released from within the mastermind's hideout
Forty minutes later - in a covert night mission which was the culmination of a four-year intelligence operation - they were whisked away again with the terror chief's corpse.

Their orders had been to take the planet's most wanted fugitive dead or alive. But a US security official said: "The operating assumption was that Bin Laden would put up a fight - which he did."



The al-Qaeda leader was trying to escape by using his wife, Yemeni-born Amal Ahmed al-Sadah, 27, as cover amid a raging gun battle.

He was believed to have been in a bedroom of his fortress-like million-dollar luxury compound north of Pakistan's capital Islamabad.
The Navy Seal who shot him recognised the world's public enemy No1 as Amal gave him away. A second bullet was pumped into his chest for good measure.

SNN0303C--682g_1303243a.jpg


Damaged ... wreckage is strewn across a room in the compound after the Seals' raid

Hours later President Barack Obama went on TV after the corpse was positively identified by DNA, then buried at sea to leave no grave that could become a shrine to evil.

The US leader declared in his dramatic broadcast at 4am our time yesterday that the ten-year hunt for the mastermind of the 9/11 atrocities that killed around 3,000 in New York's Twin Towers was over.

He said: "Justice has been done."

One of Bin Laden's 11 sons - Khalid, who is believed to be in his 20s - died with the 54-year-old monster in his lavish hideout.
Two of the maniac's henchmen, both of whom had acted as his link to the outside world, were also killed in what the President described as a "fierce firefight".

SNN0303E-682-_1303242a.jpg


Coward's bolthole ... blood on floor by bed, and bottles of pills found inside Bin Laden's house

Two wounded women were taken from the compound in an ambulance, along with four children. Bin Laden's daughter Safia was among those arrested.
By then the Navy Seals were long gone - leaving one of their four helicopters behind in flames after blowing it up when it crashed with a fault.

They had practised the daring mission - given the green light by the President on Friday - using a full-scale mock-up of the sprawling compound.

Two Black Hawk helicopters were accompanied by two Chinooks as they took off from the US base at Ghaza in north-west Pakistan at 1.15am local time on Sunday.

SNN0303AN---682_1303217a.jpg


The end ... compound where Bin Laden was finally cornered by US troops and killed

It was one of the Chinooks that crashed on the compound in Abbottabad - a smart city 65 miles north of Islamabad. Two of the copters hovered for a few seconds over the compound as they disgorged their teams of Seals.

Bin Laden's men grabbed rocket launchers to try to fend them off.

Neighbour Mohammed Haroon Rasheed said: "I heard a thundering sound followed by heavy firing. It suddenly stopped. Then more thundering - then a big blast."

A US official said of the crashed helicopter: "The aircraft was destroyed by the crew - and the assault force and crew members boarded the remaining aircraft to exit the compound."


02_05_2011--682-_1303385a.jpg


Destroyed ... crashed helicopter

President Obama had gathered his generals in the White House "Situation Room" to listen to every second of the operation - also watching live footage from the troops' helmet cameras.

He had considered sending B2 Stealth bombers to obliterate the compound - but ruled that out to avoid civilian casualties among the 22 people known to be there.

The raid was originally planned for Saturday night but the weather forced it to be pushed back 24 hours. CIA chief Leon Panetta was entrusted with overseeing the mission.

His conference room at the CIA's HQ in Virginia was turned into a command centre - and erupted in cheers as Bin Laden was confirmed dead.

SNN0303CAR--682g_1303394a.jpg


Toy ... kid's car in complex

The President's counter-terrorism adviser John Brennan said Bin Laden's wife was "used as a shield - whether or not Bin Laden or the son or whatever put her there or she put herself there".

He added: "It was an effort to shield Bin Laden from incoming fire." Amal - the mother of one of his children - married the terror chief when she was just 17.

Mr Brennan hailed the death of Bin Laden as "decapitating the head of the snake known as al-Qaeda". Jubilant Americans flocked to the White House and took to New York's streets to celebrate.

SNN0302TWIN--682_1303240a.jpg


Atrocity ... jet blasts the World Trade Center
Getty

CIA boss Panetta declared: "We have rid the world of the most infamous terrorist of our time." But he warned "terrorists almost certainly will attempt to avenge".

Last night images from inside Bin Laden's blood-spattered lair were released. He may have been living there for up to six years - while many believed he was either dead or skulking in caves.

Pakistan was not told of the raid until afterwards amid incredulity that the country was unaware of Bin Laden's purpose-built base - close to Pakistan's equivalent of Sandhurst. A neighbour said: "It was like a fort."

Early today Mr Obama was given a standing ovation at a White House dinner. He saluted the "heroes" who had killed Bin Laden.
Earlier he said: "The world's a safer place. It is a better place because of the death of Osama Bin Laden."
 
Through it all, bin Laden vowed repeatedly that he was willing to die in his fight to drive the Israelis from Jerusalem and Americans from Saudi Arabia and Iraq.

"America can't get me alive," bin Laden was quoted as saying in an interview with a Pakistani journalist conducted shortly after the U.S. invasion of Afghanistan.

And while his bluster proved prophetic, in the end it was not bin Laden who would get the last word.

"On nights like this one," Obama said in announcing bin Laden's death to the world, "we can say to those families who have lost loved ones to al-Qaida's terror: Justice has been done."


Battlefield: Afghanistan
 
wamerekani wanatabia ya kuchukua vitu kama hivyo then wanavifanyia uchunguzi-kuna baazi ya serial killers wa marekan baada ya kuuliwa walichukuliwa brain zao na kwenda kuzifanyia uchunguzi pasipo kuomba ushaur wa mtu yoyote-kwa hio kwa swala la kuchukua ubongo wa dada yake osama bila kuomba ni swala la kawaida kwao

source unayo? watu huku wanapenda kuongea bila source. Tujaribu kuachana na huu utamaduni!
Anyway...serial killer ni raia wa marekani. Dadake Bin Laden alikuwa raia wa marekani? kuna tofauti kidogo hapo!!
 
Hahaha haya sasa! To me this is one of the most believable stories.
 
Wakitoa picha na video kama walivyofanya kwa saddam na watoto wake baadhi yetu tutalalamika kuwa wamemdharirisha marehemu, wasipotoa tunawaita waongo wazushi sasa tunataka nini?
 
Dawa ya Babu pamoja na kushangiliwa sana pole pole inathibitika kuwa si dawa kitu bali ugonjwa mwengine tu.
Kwa upande mwengine mtu anapokuwa muongo kila anapoendelea kufanya hivyo hatimae husema uongo ukamdhuru mwenyewe.Hii ndio hali katika habari za kifo cha Osama,kumbe itakuwa kifo cha Obama na USA.
Zamani walitudanganya kwamba wametua mwezini,imechukua miaka mingi kuthibitika kuwa haiwezekani kufika mwezini na kurudi kirahisi,iwapo mtu atafika hawezi kurudi na picha yoyote.Utashangaa wale marubani waliotajwa kutua huko daima hawako watu huru.
Taarifa nilizonazo ni kuwa Osama alikuwa kkifungoni mwao zamani eneo hilo hilo la Abottobad.Waangalizi wake walikuwa shirika la kijasusi la Pakistan.Alikuwa akielekezwa cha kuzungumza chini ya mtutu wa bunduki.Ndio maana kitu kisicho kawaida kilikuwa kikifanyika,kwamba OSAMA YUKO MBIONI KUTOA TAMKO JIPYA!
Osama alipofariki kwa maradhi kama binadamu kutokana na uchungu wa maudhi walikaa kimya.Juzi wamemfufua halafu wakamuua ili kampeni za uraisi zishike kasi.
....Mtu wa karibu aliyetoa taarifa kwa America ametoka kule kule kwenye koloni lao la Kuwait.
...Eneo hilo la Pakistan eti wakati shambulio likiendelea kulikuwa na mtu akitoa maelezo kwenye twitter.Huyu ndiye ukurasa wake uliovutia watu 37,000 kwa wakati mmoja.Hata kama alikuwa akiongea ki-urdu huyu ni CIA aliyekuwa mmoja wa washiriki katika mchezo huu.


Your perspective though very questionable is the most logical i have seen so far... in Obama speech on the death of Osama (his name sake minus the b/s) to me seems very exaggerated. Exaggerated as a result of the US principles and the way they always paint themselves as Knights in shinning amour - The destruction's and millions of death Bin Laden had imposed it was necessary for the US to show him live and also bring him to justice; for I believe this would have been the message not only to terrorists but the world at large. It would have portrayed the US fight of terrorism as true in strength, honor and integrity... I am even so dissapointed in Obama sounding so very triumphed in his speech!!! The highlighted red manifests the true meaning of the whole issue... it is all politics..

.....Today, at my direction, the United States launched a targeted operation against that compound in Abbottabad, Pakistan. A small team of Americans carried out the operation with extraordinary courage and capability. No Americans were harmed. They took care to avoid civilian casualties. After a firefight, they killed Osama bin Laden and took custody of his body.
For over two decades, bin Laden has been al Qaeda's leader and symbol, and has continued to plot attacks against our country and our friends and allies. The death of bin Laden marks the most significant achievement to date in our nation's effort to defeat al Qaeda.
Yet his death does not mark the end of our effort. There's no doubt that al Qaeda will continue to pursue attacks against us. We must -- and we will -- remain vigilant at home and abroad...... (Part of Obama's speech on the death of Bin Laden)
 
Wakitoa picha na video kama walivyofanya kwa saddam na watoto wake baadhi yetu tutalalamika kuwa wamemdharirisha marehemu, wasipotoa tunawaita waongo wazushi sasa tunataka nini?

Huwezi kuridhisha kila mtu ila kwenye jambo kama hili tena linalomhusu mtu mwenye utata kama Osama ni vyema kutoa ushahidi wa unachodai. La sivyo ndo unazidi kupaisha ujiko wake. Ni mara ngapi huko nyuma imewahi kusemwa kuwa jamaa kafa? Na mara zote hizo hakuna ushahidi uliotolewa kuonyesha kweli amekufa.

Sasa hawa Wamarekani wamuue hasimu wao nambari wani halafu waubanie ushahidi. Ulimwengu utawaelewa kweli? Asilani! Na sasa wameshachelewa na kadri wanavyozidi kuzibania hizo picha na hiyo video (kama kweli wanavyo kama wanavyodai) na watu nao ndo wanazidi kusita kuamini kuwa kweli kauliwa.

Leo wanatuambia kuwa wamemuua halafu wanategemea sisi tuwaamini tu bila hata ya kuuliza maswali. Wawaambie hivyo watu wasiofikiri ila sie wengine tutauliza na kutilia mashaka hayo madai yao kwa sababu tunawajua ni mabingwa wa propaganda. Na hata hii habari ya kusema kwamba eti Osama wala hakupigana nayo mimi naitilia shaka. Huenda ni propaganda yao ya kumfanya jamaa aonekane fisi licha ya majigambo na mkwara aliokuwa akichimba. Na yote hii huenda ni jitihada ya kuwavunja moyo wale ambao pengine watahamasika kwa kusikia habari za kifo chake.

Hebu fikiria, kama hakuwa na silaha sababu ya kumtandika risasi ilikuwa nini sasa? Hamuoni kama wangemkamata akiwa hai angekuwa mtaji zaidi katika vita dhidi ya ughaidi? Manake wangemchukua wangempeleka wanakojua wenyewe na kuanza kumfanya atoe siri zote. Sasa eti wanamuua halafu wanatuambia wala hakutoa pingamizi lolote….hahaaaaa haya bana.
 
Tuache unafiki na sisi sasa, mbona hatuwashupalii hai al Qaeda watuthibitishie kuwa Osama hajafa? Juzi ameuliwa mtoto wa gaddafi hakuna aliyeomba picha Leo kisa kafanya marekani basi kila mtu na mama yake anataka picha wakati ya kwetu yametushinda.
 
source unayo? watu huku wanapenda kuongea bila source. Tujaribu kuachana na huu utamaduni!
Anyway...serial killer ni raia wa marekani. Dadake Bin Laden alikuwa raia wa marekani? kuna tofauti kidogo hapo!!
kwa nini nisiwe na source?tafuta mtu anaitwa john wayne gacy,au tafuta documentary yake utapata hio mambo-
swala la kuwa raia au kutokuwa raia nazan halina tatizo-wao wamefanya wanachoona ni right kwao
 
Tuache unafiki na sisi sasa, mbona hatuwashupalii hai al Qaeda watuthibitishie kuwa Osama hajafa? Juzi ameuliwa mtoto wa gaddafi hakuna aliyeomba picha Leo kisa kafanya marekani basi kila mtu na mama yake anataka picha wakati ya kwetu yametushinda.

Wamarekani ndo wanadai wamemuua na picha wanazo. Sasa kwa nini hawazitoi? Visingizio walivyovitoa havina mshiko kabisa. Na dogo wa Gadaffi huwezi kabisa kumlinganisha na Osama. Kwanza wangapi dunia hii wanamjua huyo dogo kwa jina lake?

Osama ni "trophy" bana.....
 
The death of millions of people and he goes down via an attack and "boom" he is dead! you call it justice has been met? - don't you think maybe; and if maybe he was prosecuted it would at least been necessary for Osama to feel the pinch? The millions of people who had lost their love ones would'nt they at least have preferred they see the one who has caused them pain and how (Bin Laden) reacts? For the world to see the in depth honor and integrity the US claims to have and that no matter what every man has a right like what they did to Sadam?

From his speech Obama claims;

....Then, last August, after years of painstaking work by our intelligence community, I was briefed on a possible lead to bin Laden. It was far from certain, and it took many months to run this thread to ground. I met repeatedly with my national security team as we developed more information about the possibility that we had located bin Laden hiding within a compound deep inside of Pakistan. And finally, last week, I determined that we had enough intelligence to take action, and authorized an operation to get Osama bin Laden and bring him to justice.
From his speech if they had attacked him unaware of what they were doing why attack him? Why not bring him to the face of the world, for the people in all nations and terrorists all over get the message and see the humiliation of Bin Laden. From Obama's action (for he claims it was his directions and discretion) towards Osama attack - it is evident that US has lost their war against Osama because at the end of the day he is the one who had imposed destruct ions and a hollow pain of losing millions of people on 9/11 yet to be filled....

Their rejoice in that to me is a masquerade, they should just wait to conquer Gadaffi who's day are already numbered for them to rejoice...
 
Wakitoa picha na video kama walivyofanya kwa saddam na watoto wake baadhi yetu tutalalamika kuwa wamemdharirisha marehemu, wasipotoa tunawaita waongo wazushi sasa tunataka nini?

Mkuu hawa jamaa ubwabwa sana. Wanabisha hajafa, sasa badala ya kufanya party kuwa hero wao ni mzima wao wanahangaika hapa kuleta maneno oh siamini kafa, oh naomba picha, oh habari zinachanganya. For what? Si waende wakapambe nyumba zao kwa picha za osama kuliko kupiga domo la siamini siamini siamini siku nzima. Sasa wasipoamini will he rise from the dead? He is gone, dead and buried, finito
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom