Osama bin Laden killed!

Osama bin Laden killed!

Status
Not open for further replies.
kwa nini nisiwe na source?tafuta mtu anaitwa john wayne gacy,au tafuta documentary yake utapata hio mambo-
swala la kuwa raia au kutokuwa raia nazan halina tatizo-wao wamefanya wanachoona ni right kwao

sasa mbona umeandika bila reference? Au hujui kutoa reference?
Kuna ishu kubwa sana hapo kwenye uraia. Ukitaka kujua jaribu kumfanyia hivyo mmarekani uone.
 
NN wamchukue akiwa hai ili akafungue a can of worms? Hahaha sidhani kama kuna mtu yoyote kwenye serikali ya marekani alikuwa analitaka ilo..
 
Wakitoa picha na video kama walivyofanya kwa saddam na watoto wake baadhi yetu tutalalamika kuwa wamemdharirisha marehemu, wasipotoa tunawaita waongo wazushi sasa tunataka nini?
binadamu ni viumbe wa ajabu sana-kwamwe hawariziki
 
Watoe hizo picha, then we will have no doubts of our belief....
 
NN wamchukue akiwa hai ili akafungue a can of worms? Hahaha sidhani kama kuna mtu yoyote kwenye serikali ya marekani alikuwa analitaka ilo..

What do you mean a can of worms? Huyu si ndo master mastermind mwenye data zote au?
 
Du!!! Tofauti ya taarifa za kiitelejensia ya bongo na USA ni kama kichuguu na mlima evarist. Sisi intelejensia yetu hunasa tu sehemu ambazo maandamo yakiruhusiwa yataleta vurugu lakini kumbe intelejensia ya wenzetu ni tofauti kabisa
 
No matter what happened but no one is to be denied his rights to live under any circumstances. The death of OSAMA BIN LADEN is not to be rejoiced but morned as he is our fellow human being. This is by human rights Articles.
 
sasa mbona umeandika bila reference? Au hujui kutoa reference?
Kuna ishu kubwa sana hapo kwenye uraia. Ukitaka kujua jaribu kumfanyia hivyo mmarekani uone.
mimi kila ninachoandka nina uhakika nacho-sina haja ya kutoa reference-itakuwa ni thesis hii sasa-U.S.A wanalinda raia wao kwa sababu wana uwezo huo-hata wakitaka kuchunguza ubongo wako serikali yako haitaweza kuwazuia japokuwa wwe si raia wao
 
Mkuu ushahidi naamini utatolewa tu, ni suala la muda, all eyes now on washington

Wasije wakatoa kama ule ushahidi wa Colin Powell dhidi ya Iraq kwenye baraza la usalama la Umoja wa Mataifa.....hawa watu bana. Wee acha tu.
 
No matter what happened but no one is to be denied his rights to live under any circumstances. The death of OSAMA BIN LADEN is not to be rejoiced but morned as he is our fellow human being. This is by human rights Articles.
osama was not a human being!!aliamua kuishi kinyama ni lazima afe kinyama!
 
tafuta za huyo majeruhi wa kike aliyepigwa mguuni!teh teh teh!huamini kwamba osama was killed?


Jackbauer nimechoka kujibu ilo suali, nime copy na kupaste jinsi nilibyo jibu thread fulani huko....

The death of millions of people and he goes down via an attack and "boom" he is dead! you call it justice has been met? - don't you think maybe; and if maybe he was prosecuted it would at least been necessary for Osama to feel the pinch? The millions of people who had lost their love ones would'nt they at least have preferred they see the one who has caused them pain and how (Bin Laden) reacts? For the world to see the in depth honor and integrity the US claims to have and that no matter what every man has a right like what they did to Sadam?

From his speech Obama claims;

....Then, last August, after years of painstaking work by our intelligence community, I was briefed on a possible lead to bin Laden. It was far from certain, and it took many months to run this thread to ground. I met repeatedly with my national security team as we developed more information about the possibility that we had located bin Laden hiding within a compound deep inside of Pakistan. And finally, last week, I determined that we had enough intelligence to take action, and authorized an operation to get Osama bin Laden and bring him to justice.
From his speech if they had attacked him unaware of what they were doing why attack him? Why not bring him to the face of the world, for the people in all nations and terrorists all over get the message and see the humiliation of Bin Laden. From Obama's action (for he claims it was his directions and discretion) towards Osama attack - it is evident that US has lost their war against Osama because at the end of the day he is the one who had imposed destruct ions and a hollow pain of losing millions of people on 9/11 yet to be filled....

Their rejoice in that to me is a masquerade, they should just wait to conquer Gadaffi who's day are already numbered for them to rejoice...
 
Nimezikagua hizo picha kwa kina. Ni kweli zimefotoshopiwa. Wamehamisha tu mdomo na ndevu za osama wakapachika kwene hiyo picha nyingine.
 
mimi kila ninachoandka nina uhakika nacho-sina haja ya kutoa reference-itakuwa ni thesis hii sasa-U.S.A wanalinda raia wao kwa sababu wana uwezo huo-hata wakitaka kuchunguza ubongo wako serikali yako haitaweza kuwazuia japokuwa wwe si raia wao

mhh! unadhani references zinatolewa kwenye thesis tu? this issue at hand might be beyond ur abilities. Kwa hiyo nitaachia hapa...
 
mhh! unadhani references zinatolewa kwenye thesis tu? this issue at hand might be beyond ur abilities. Kwa hiyo nitaachia hapa...
teh teh teh-as long u dont know my abilities-siwez kukulaumu-but nakupa onyo-never underestimate mtu kama mmi-na mtu usie mjua
 
Wameuua mwili wake tu lakini hii njemba haikuwemo ndani ya mwili aisee
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom