Osama bin Laden killed!

Osama bin Laden killed!

Status
Not open for further replies.
nilikuwa naangali hapa Fox News Live Streaming - Streamick.com wameonyesha picha mbili moja mwili wa osama ukiwa unatolewa kweye chumba na wakati anaombewa.......alipigwa risasi ya kichwa upande wa jicho la kushoto kufumuliwa sehemu ya fuvu lake na nyingine ilitua kifuani.......amezikwa north of arabian sea..... picha zingine zitaonyeshwa baadae na video yake wakti rasi obama akiwa pale ground ziro baadae leo.......
 
Wamemuua, hawajampiga picha hata moja halafu wanasema eti wamemzika baharini.
Full changa la macho.



Ni sahihi kwamba wamerekani wamekuwa wakitudanganya kwa kila kitu lakini tujiulize uongo wao kwetu unatuathiri vipi sisi na kifupi osama si adui na wala si rafiki yetu kwa lolote lile watudanganye au waseme ukweli sisi halitupi shida kabisa.......




natafuta ugali wangu wa kila siku namwomba Mungu anipe huo kwa nyama.
 
picha nyingine wakati maiti yake iko ndani ya chumba chake alikopigiwa risasi....aliambia ajisalimishe akagoma akatumia mtoto wake na mke wake kama kinga......baadae akanyanyua bunduki ndipo jiamaa akamuwahi ya kichwa na kifua ..akasafisha mke na mtoto hapo hapo
 
wakati wa operation marehemu osama alipowa code name kama ''geranimo''
 
After Uncertainty, a Moment of Triumph in the Situation Room: ‘We’ve IDed Geronimo’



Read more: After Uncertainty, a Moment of Triumph in the Situation Room: ‘We’ve IDed Geronimo’ | Swampland

5680724572_d4696d593d_z.jpg


Mzee Obama na timu yake wakishuhudia Operation ya kumkong'ota Chinjachinja Osamah.
We angalia Rais makini.Obama alikuwa makini,akutaka kuelezwa na watu wa chini yake.Kashudia mwenyewe na kasema kitu alichosema.Mfano huu wainge na marais wengeni.Kuwa operation yoyote inapofanyika Rais kuwa karibu anaweza kuua watu ambao siyo wahusika.
 
Hahaha mliambiwa Daudi Balali aliyekuwa Gavana wa BOT kuwa amekufa lakini hamkuona mazishi yake wala kaburi lake
 
Two things:
  1. Osama has been killed as announced by President Obama
  2. Taliban said Osama is alive.
Theories:
  1. US may want to end the war in Afganistan and since the main target was Osama, declaring him dead, it is a victory by US and hence they can end the war in the region. Osama may however have been dead long time ago and they are now sure that he is dead and they are sure to announce but have to make the case recent.
  2. US may want to send a message to justify the current actions in Libya so that they can win support to kill Gadaffi.
  3. Obama wants to regain popularity at home and declaring killing Osama, and hence some of the forces will go back home and reduction in unnecessary military spending which do not have much American Interests. There is much American interest in Libya than in Afganistan.
  4. Since Americans knew what they were doing we could have seen footnotes of exactly what has happened and how did the process go. We are told that he was called with four others, who are the four others? Where were they burried and by whom? Why was Osama burried hurriedly and claimed to be in the sea and in Afganistan and not in Pakistan where they captured him dead?
  5. They claimed that Pakistani's forces were not involved? Were they aware of the ambush? The residence is few hundreds meters from the military training site/college. Does it mean that Pakistanis did not know that Osama is there? Or was Pakistanis govt helping to hide Osama?
  6. There are so many questions around the issue that need to be clarified, if the world have to be really sure that it is a holly wood movie!
 
alipigwa risasi ya kichwa jicho la kushoto na kung'oa sehemu ya fuvu la kichwa na risasi ningine ilitua kifuan

Ukiangalia vizuri hiyo picha halafu ukatazama picha ya Osama ya miaka kumi iliyopita hiyo inaonekana kuwa ilikuwa ya zamani zaidi. Kwanza mvi za ndevu zimekuwa sio nyingi kuliko kwenye ile picha ya 2001, kitu ambacho ukifikiria sana utaona kuwa kwa sasa angetakiwa awe na mvi nyingi zaidi. Halafu hata picha iliyoonyeshwa inaonyesha kuwa alikuwa kijana zaidi wakati anauawa.
Tunahitaji ukweli zaidi ili isije ikawa sinema za kimarekani!
 
Ni sahihi kwamba wamerekani wamekuwa wakitudanganya kwa kila kitu lakini tujiulize uongo wao kwetu unatuathiri vipi sisi na kifupi osama si adui na wala si rafiki yetu kwa lolote lile watudanganye au waseme ukweli sisi halitupi shida kabisa........
Mkuu uongo wao unatuathiri sana sie wengine sio kwamba kila mara 2ko net au tunaangalia tv,ina maana nitakapockia jambo nitaliweka kichwani na kuendelea kuusheshea ugali wangu,sasa ikiwa habari waliyoitoa ni ya uongo mie nitaamini ni ya ukweli.wakati kuna wengine wakajakuisikia habari hiyo hiyo kivingine ina maana mie lazima nitapingana naye kwasababu mie nilíisikia habari hiyo kivingine
 
Nice captured picture yaani mama clinton full uwoga hapo
 
Wanaodhani hakuna mtu Pakistan ngazi ya juu alijua hii wasome hapa
  1. 1015 GMT: The BBC's Owen Bennett-Jones, in Islamabad, says Pakistani intelligence had knowledge of the compound where Bin Laden was killed as far back as 2003: "An ISI official told me they raided this house in 2003 looking for another al-Qaeda operative, Abu Faraj al-Libbi, who was accused of trying to assassinate former President Pervez Musharraf. So they are saying they did have full knowledge of the house but since then it went off their radar screen and they simply didn't know Bin Laden was there."

  1. 1023: GMT Our correspondent said it was "difficult to believe" Pakistan had no forewarning of the US assault: "We're getting reports from local residents that they were being asked to switch off their lights - by soldiers - an hour before the raid took place. So that would obviously indicate that [Pakistan] did have full knowledge. But despite all that, the ISI are saying they were taken completely by surprise."

  1. 1025: GMT The 12-year-old daughter of Bin Laden is now in Pakistani custody, says the BBC's Owen Bennett-Jones: "There were quite a few women and children in the compound who had their arms tied [during the raid] and they believe they would have been taken away by the US military had the second helicopter not gone down. The daughter who survived said she saw her father shot by the Americans."
source http://www.bbc.co.uk/news/world-middle-east-12307698
 
nipo wajameni, nilikuwa tabora niliposikia hizo hbr eti wameniua, wataniweza wapi hao?
 
ingawa haki haikutendeka dhidi yake kwa kufata sheria na si vizuri kufurahia jambo hilo bali limeleta ahueni dhidi ya ugaidi duniani

JK aache usanii . Kama anaongea mambo ya haki .na yeye ni rais si awasilishe muswada ya kufuta sheria ya ugaidi nchini. Ndo tutajua he mean what he say

Au anataka haki watende wamarekani tu .
Hivi JK alikuwa mwana JWTZ kweli !!!!!!!
 
we angalia rais makini.obama alikuwa makini,akutaka kuelezwa na watu wa chini yake.kashudia mwenyewe na kasema kitu alichosema.mfano huu wainge na marais wengeni.kuwa operation yoyote inapofanyika rais kuwa karibu anaweza kuua watu ambao siyo wahusika.
hahhaha hv ingekuwa nchini kwetu ipo hii jk akaevile, hapo angeshika computer ili naye aonekane wakati hajui kitu!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom