Kilimanjaro nani na naniWahehe hujawaona? Kimsingi kati ya Wakurugenzi 9; Mkoa wa Iringa ulitoa theluthi. Mzena, Kitine na Mahiga. Iringa(3), Kilimanjaro (2), Ruvuma(1), Songwe(1), Morogoro(1) na Tanga(1).
AaaayaKombe na Msuya
Msiba wake kule Kate,Nkasi_Rukwa nilikuwepo, Mwezi uliopita nilikutana na mtto wake mmoja ni konda wa hiace tukapiga story nikabaki nimechoka..TISS Ilikuwepo muda mrefu sana inawezekana kulikuwa hakuna sheria, lakini mimi nimeelewa uwapo wa TISS tangu miaka hiyo ya sabini. Kuna ndugu yangu mmoja alikuwa ofisa wa TISS wakati wa Nyerere, na alikuwa anaishi maisha kama yuko mbinguni. Kama uliwahi kumfahamu jamaa anaitwa Walingozi, basi huyo ndiye aliyekuwa chuma cha pua wa TISS.
Mwanozni mwa miaka ya themanini ilikuwa ni almanusra tu na mimi ningeinga TISS ila nadhani hawakupenda maisha yangu ya ujana wakati huo kutokana purukushani zangu nyingi sana za wakati huo. Ila Takuru walinifanya kuwa ripota wao kwa kipindi fulani ingawa bila malipo yoyote bali malupululupu tu- ambayo yalikuwa yananitosheleza haja zangu wakati huo.
Kwani ni uongo ndugu zangu????? HahahaRais hataki kuvaa barakoa in the middle of a pandemic wakati ana matatizo ya moyo na mpaka wasaidizi wake wa karibu wanafariki kwa Covid-19.
Anawashushua wanaovaa barakoa, mpaka kanisani, hataki chanjo, hataki watu wapimwe. Hataki isolation.
Kapigwa daflao unamlaumu Msuya?
Hapa ni case ya "Mwana kulitafuta, mwana kulipata" tu.
Msuya anaweza kuwa na matatizo mengi, lakini kifo cha rais Magufuli alijitakia Magufuli mwenyewe kwa uzembe wake na ubishi wake wa kukataa sayansi, licha ya kuwa na Ph.D ya Chemistry, na kuendekeza propaganda za siasa.
Kwa kweli ukiangalia matatizo yake ya moyo, Magufuli hakutakiwa hata kugombea kazi yenye mikiki kama urais, kagombea urais kwa sababu ya uroho wake wa madaraka tu.
Sasa mtu kama huyo ambaye hashauriki wala hapangiwi, akifa, utamlaumu vipi Msuya?
Kondaaaaa?? Nan huyoMsiba wake kule Kate,Nkasi_Rukwa nilikuwepo, Mwezi uliopita nilikutana na mtto wake mmoja ni konda wa hiace tukapiga story nikabaki nimechoka..
Mtoto wa walingozi wa kiume..Kondaaaaa?? Nan huyo
Hiyo code kaliMtoto wa walingozi wa kiume..
Nd naniMtoto wa walingozi wa kiume..
Mkuu tupe kisa hiki kwa elimu tuDSTV kuna mpaka Majambazi wa Silaha ambao huo ujambazi ni sehenu ya Kasi zao
Umewahi kupata kuelezwa namna Hayati Prof Nikas Mahinda aliekuwa Mbunge wa Morogoro alivyovamiwa na kuuawa nyumbani kwake?
Lao hao wanaovaa Barakoa,wangekuwa hawafi,tungesema sawaRais hataki kuvaa barakoa in the middle of a pandemic wakati ana matatizo ya moyo na mpaka wasaidizi wake wa karibu wanafariki kwa Covid-19.
Anawashushua wanaovaa barakoa, mpaka kanisani, hataki chanjo, hataki watu wapimwe. Hataki isolation.
Kapigwa daflao unamlaumu Msuya?
Hapa ni case ya "Mwana kulitafuta, mwana kulipata" tu.
Msuya anaweza kuwa na matatizo mengi, lakini kifo cha rais Magufuli alijitakia Magufuli mwenyewe kwa uzembe wake na ubishi wake wa kukataa sayansi, licha ya kuwa na Ph.D ya Chemistry, na kuendekeza propaganda za siasa.
Kwa kweli ukiangalia matatizo yake ya moyo, Magufuli hakutakiwa hata kugombea kazi yenye mikiki kama urais, kagombea urais kwa sababu ya uroho wake wa madaraka tu.
Sasa mtu kama huyo ambaye hashauriki wala hapangiwi, akifa, utamlaumu vipi Msuya?
Unachosema hapa ni sawa na kusema kwamba, ukiwa unavuka barabara yenye magari mengi sana, usiangalie kulia na kushoto kuhakikisha hakuna magari kabla ya kuvuka.Lao hao wanaovaa Barakoa,wangekuwa hawafi,tungesema sawa
Wanafanya kila namna,ili waweze kumudu maisha.
Bahati mbaya....wanagonga mwamba
Kutovaa Barakoa,isiwe sababu kwenu enye viumbe
Kutokubali chanjo,isiwe sababu
Rais Magufuli,alikuwa sawa sana katika jambo hili
Tusitishane...
Hujanielewa Chief KirangaUnachosema hapa ni sawa na kusema kwamba, ukiwa unavuka barabara yenye magari mengi sana, usiangalie kulia na kushoto kuhakikisha hakuna magari kabla ya kuvuka.
Uvuke tu barabara bila kuangalia pande zote.
Kwa sababu, hata ukiangalia kulia na kushoto kabla ya kuvuka barabara, siku moja utakufa tu.
Sijakuelewa nini, wapi na kwa sababu gani?Hujanielewa Chief Kiranga
Soma tena maelezo yangu,huenda ukanielewa