Prisonerx
JF-Expert Member
- Jun 30, 2020
- 681
- 1,782
Jibu Lipo wazi kabisa...Haya Tusubiri nafasi ya kumi (10) aneyefatia Je atatokea Songea au Visiwani?...... Yajayo yanafurahisha. Mpo Tayari!!!!!?
Jibu Lipo wazi kabisa...Haya Tusubiri nafasi ya kumi (10) aneyefatia Je atatokea Songea au Visiwani?...... Yajayo yanafurahisha. Mpo Tayari!!!!!?
Mada zangu ni beyond your thinking capacity,huwezi kuzielewa.Ni mtu mwenye IQ kubwa tu ndiye anayeweza kunielewa.I am not mainstream.Kati ya watu wanaoandika junks hapa JF wewe ndio wa kwanza. Unaandika mada za kufikirika ambazo ziko Hollywood kwenye movie, hapa watu wanataja historia wewe hutaki ila ukitoka utaenda kuanzisha mada kama SIRI YA COVID-19, UKIMWI NI UZUSHI, FREEMASONY. Yani uko YouTube channels uchwara za kibongo
Itoshe kusema waislam ndio wengi Tena huenda wanaongozaHata wa sasa ni Muislamu "Diwani Athumani" Pia Jenerali Imram Kombe alikuwa muislamu pia..
Huyo diwani ni mpagani au?Mbona hakuna mkuu wa usalama wa Taifa muislam?
Hawa ndio wanaijua idara hasa.Tunaomba orodha ya makamu wa wakurugenzi hao pia yani DDGI Ambae namfahamu ni mmoja tu Jack Zoka aliyehudumu chini ya RO
Unavunjika moyo vipi tena! Umesahau kiapo?Hata kama alishakuwa Afisa Mwandamizi kumbuka hajakulia ndani ya Idara, changamoto za idara na kukiendesha chombo kwake itakuwa ni changamoto tofouti na wale Maafisa waandamizi ambao wamo ndani ya Idara. Kuna maamuzi anaweza fanya kumbe anakosea pakubwa sana hivyo ni vyema hawa ma DG watoke ndani ya mfumo kuliko kuwatoa nje ya mfumo kuna watu wanavunjika mioyo kwelikweli.
Aongeze hapo Mh. Msalika Makungu alihudumu enzi za Former DGIS Mchungaji Modestus Kipilimba.Hawa ndio wanaijua idara hasa.
MuhimuTunaomba orodha ya makamu wa wakurugenzi hao pia yani DDGI Ambae namfahamu ni mmoja tu Jack Zoka aliyehudumu chini ya RO
PoleHata kama alishakuwa Afisa Mwandamizi kumbuka hajakulia ndani ya Idara, changamoto za idara na kukiendesha chombo kwake itakuwa ni changamoto tofouti na wale Maafisa waandamizi ambao wamo ndani ya Idara. Kuna maamuzi anaweza fanya kumbe anakosea pakubwa sana hivyo ni vyema hawa ma DG watoke ndani ya mfumo kuliko kuwatoa nje ya mfumo kuna watu wanavunjika mioyo kwelikweli.
Sikukurupuka kuuliza swali nipo kaziniHuyo diwani ni mpagani au?
ChogoloTunaomba orodha ya makamu wa wakurugenzi hao pia yani DDGI Ambae namfahamu ni mmoja tu Jack Zoka aliyehudumu chini ya RO
Chongolo na tiss wapi na wapiChogolo
Hahahahahii mada watu wanaipenda sana kwakweli....!
Mchungaji, mwanajeshi, mpiga kinanda na mwanakwaya, jaji, na vyeo vingine vya heshima.Jaji agostino ramadhani nae alikuwa mchungaji pia