bokassa
JF-Expert Member
- May 19, 2007
- 401
- 11
mmeba maono, ulikuwa na lako. Naona jamaa wamekemea maono yako yakashindwa.
Hoja unayo kaka, ila si kwa ze commedy. Wanaoaibisha utamaduni wetu ni mashoga kikwelikweli.
Pengine post yako ingekuwa na heading hii JAMANI MASHOGA WANAAIBISHA TAIFA LETU. Kisha ungetoa mifwano michache ya existance ya ushoga TZ.
Try next time!!!!
Hoja unayo kaka, ila si kwa ze commedy. Wanaoaibisha utamaduni wetu ni mashoga kikwelikweli.
Pengine post yako ingekuwa na heading hii JAMANI MASHOGA WANAAIBISHA TAIFA LETU. Kisha ungetoa mifwano michache ya existance ya ushoga TZ.
Try next time!!!!