Iteitei Lya Kitee
JF-Expert Member
- Jan 2, 2008
- 586
- 46
Ndo usanii wenyewe huo mkuu,si ni waigizaji?Maana ya uigizaji ni kuwa wanaigiza/nakili kile kilichotokea kwenye hali halisi.
We mbona hoja yako imekua kama imelenga kuwaporomosha?we EATV nini?Af kwa taarifa yako Kenya nao wanakundi lao la REDKYULAS ambao nao wanatumia style hizohizo pia Uganda sema makundi ya wenzetu hawa majirani wameenda shule kidogo ukilinganisha na ze komedi.Hata hivyo hufungwi kutizama ukiona yakuboa then badilisha channel ila ukweli ni kuwa vijana hawa wamepata umaarufu mkubwa tokana na huo usanii wao
We mbona hoja yako imekua kama imelenga kuwaporomosha?we EATV nini?Af kwa taarifa yako Kenya nao wanakundi lao la REDKYULAS ambao nao wanatumia style hizohizo pia Uganda sema makundi ya wenzetu hawa majirani wameenda shule kidogo ukilinganisha na ze komedi.Hata hivyo hufungwi kutizama ukiona yakuboa then badilisha channel ila ukweli ni kuwa vijana hawa wamepata umaarufu mkubwa tokana na huo usanii wao