Mwisho wao ndio unakaribia hivyo....
Si tu kukaribia mimi naona mwisho wao umeshafika,tusubiri anguko kubwa kwao.
Mwisho wao ndio unakaribia hivyo....
Mimi napenda wanavyo expose pretentiousness kuanzia kwenye mimicking yao ya tone za watangazaji mpaka ku mock kauli na vitendo vya viongozi na vibosile.
ni kweli, watu wamepoteza hamu ya kuwaangalia, wachungaji wengi wamewapiga marufuku. unajua, mfano kama joti anavyoigiza, kuna siku mashoga wakitokea hapa nchini watu hawataona ni kitu cha ajabu kwasababu wamezoea kumwona joti. nakwambia, joti anatumiwa kabisa na shetani kuhamasisha uchafu wa aina hiyo uonekane ni wa kawaida hapa tz. kwanini wasiigize kama wenzao kina FUTUHI kule star tv? kama mwanamke, anaigiza mwanamke, kama mwanamme anaigiza mwanamme. sasa, futuhi ya star tv inachukua umaarufu bila wao kujijua nakwambia, kwasababu wana act kwa adabu at least wanakuwa na heshima ya mtanzania. kina joti wamejaa mambo ya uswahilini, mambo ya taarabu na kuhamasisha kuonyesha wanawake walioshindikana malaya na mambo ya ajbu kama hayo. there is nothing these people wanafaya kwa maslahi ya taifa. naomba Mungu wadondoke tena kwa dondoko kubwa.
Nafikiri wewe UNAMATATIZO, wale wako kwenye fani ya uchekeshaji na mara nyingi hutoa ujumbe mzuri sana jinsi wanasiasa mpaka raisi anapoboronga kwa staili ya vichekesho na ujumbe unafika vizuri.
ile ni kazi yao inayowapa kula, wewe kama hupendi hulazimishwi kuangalia channel maana nakushangaa ETI KUIGIZA KAMA wanawake ni TATIZO. MIMI nimekusameshe maan hujui USEMALO
Hawa jamaa wana asili ya ushoga...na wananiboa hata nimeshaacha kuangalia kipndi hicho.mambo yao ya kisenge na hawana lolote la maana.
Alnadaby;
Yes wanaushoga-shoga na vitabia frani vya kushangaza, but kuna watu wana-enjoy vipindi vyao
Halafu umetumia lugha kali sana mkuu--- yaani jamaa wana mambo ya k***n*e?? Duh
Stupid!!NajuuuuuuTA. kukufahaam!
Hawa jamaa wana asili ya ushoga...na wananiboa hata nimeshaacha kuangalia kipndi hicho.mambo yao ya kisenge na hawana lolote la maana.
Hivi ni kweli kuwa ndani ya kundi hilo kuna watu wawili ni......"tende na Kharua"?
Hawa jamaa hawana lolote zaidi ya kuharibu jamii..... yaani unaweza kuta jitu kubwa tena dume pandikizi la mtu linaropoka eti
Stupid!!
Uongo m'baya bwana mimi naifagilia mizengwe ile mbaya.. jamaa wako juu..
Its comedy, y'all!!
Mengi hakuwagundua ze comedy and it is possible its the other way round! I knew of Mpoki and Joti via VHS tapes a long time before ITV/Channel 5 had a foothold in Tanzania. I knew of Seki from his primary school days acting in maigizo, ngonjera na michezo while a student at Sao Hill in Mufindi. I don't know where Masanja and the rest came from but it does not matter, since the group "Ze Comedy" was formed BEFORE they started appearing on Mengi's TV!
They do have a beef with Mengi because they did bring in a lot of income to the station because advertising during their show was hot cake to Tanzanian standards. Mengi was not paying them enough, or so we hear, despite all their popularity and success. When it came for them to jet, whether by Manji's hand or any other fisadis(by that time the word "fisadi" was not in the everyday vocabulary in bongo), Mengi, because he had the clout and the money, barred them moving on with their name and characters - today we see on TBC1 "Noname 1" "Noname 2", "Noname 3" etc
My suggestion is if you do not like what YOU PERSONALLY see than change the damn channel and watch FUTUHI (which, incidentally, I tried watching them and I really don't know what the hell they are doing, to be honest! I just don't watch them as MY PERSONAL choice) I remember some people said that even the magnificent "Dude" of "Bongo Darisalaam" was bad influence to society - I think he is hilariously great!
"Enzi za Mwalimu" people watched anything they wanted (TV Zanzibar na cinema za Chalii Mnene na Chalii Mwembamba, na Chalii Champlin). Siku hizi "Wizi Mtupu!" Watu wanataka kuforce down other peoples throats their junk opinions! "Najuuuuta kukufahamu"