Orijino Komedi: Kwa faida ya nani?

Sio mtaalamu wa mambo ya utabiri lakini kutokana na hii link ya Manji hapa, in the future- tegemea kuwaona Ze Comedy wakiburuzwa kortini kwa mashtaka ya kumchafulia Mengi jina.
 
Tusisahau kuwa tatizo la msingi ni kipato, iwapo wangekuwa wanapata malipo mazuri wasingekuwa na haja ya kutafuta kituo kingine cha TV na wala mlezi. SNL sio middle class americans.Ze Comedy ni maskini bado.
 
Kama mnahitaji Ze Comedy wawe huru na wabaki EATV basi anzisheni utaratibu wa kuwachangia pesa ili wasitafute mlezi. Maneno matupu hayana manufaa.
 
Tusisahau kuwa tatizo la msingi ni kipato, iwapo wangekuwa wanapata malipo mazuri wasingekuwa na haja ya kutafuta kituo kingine cha TV na wala mlezi. SNL sio middle class americans.Ze Comedy ni maskini bado.

Pamoja na kuwa hatujui mapato yao ni kiasi gani, lakini hawakustahili kujiambatanisha na Manji. Hata hawa kama wana mipango mizuri wanaweza kabisa kuwa na maisha mazuri tu bongo pamoja na kuwa yanaweza yasiwe katika kiwango cha middle class americans. Vichekesho vinastahili viwe huru, na kama uhuru wa kuandaa vipindi vyao unaingilia na mtu au kikundi cha watu basi wanapoteza kundi kubwa la wapenzi wao.
 
Ni muhimu kukumbuka uwa EATV pia wana media policy,hivyo basi uhuru kamili Ze Comedy wanaeweza kuwa nao iwapo tu watakuwa na TV yao.
 
Ni muhimu kukumbuka uwa EATV pia wana media policy,hivyo basi uhuru kamili Ze Comedy wanaeweza kuwa nao iwapo tu watakuwa na TV yao.

Sio swala la TV ni swala la Manji kuwa mlezi wao. Mengi hakuwahi kuwa mlezi wa Ze comedy na kutoa ngawira toka mifukoni mwake ili awahudumie. Walisaini mkataba ambao ulikuwa una maslahi kwa Ze comedy na Mengi, kuna tofauti kubwa na uhusiano wao na Manji kama Mlezi wao.
 
Manji ajitosa Ze Comedy
Shadrack Sagati
Daily News; Saturday,May 31, 2008 @00:05

Kitendo cha wachekeshaji hao kumtangaza Manji kama mlezi wao kinaweza kuzusha hisia mbalimbali miongoni mwa wapenzi wao hasa kutokana na uhasama wa kibiashara uliopo kati ya Manji na Mwenyekiti wa IPP, Reginald Mengi.

...mimi namlaumu huyu mwandishi KWA HERUFI KUBWA!, kuanzia kichwa cha habari mpaka ujumbe wenyewe naona kusudio ake ni kuamsha hisia za wananchi walio wengi kuwa

"Ze Comedy + Manji = kutaka Kumsakama Mengi! "

...Kwa mawazo yangu 'kikundi' kinatengeneza movie/comedy scripts zao, kisha wanazipeleka kwenye vituo kwa mfano; EATV, au TBC ,Channel 10, au DTV hata TVZ... huko wanafanya majadiliano na 'wahariri' wa vipindi, kama hizo scripts zitauzika na kama kutakuwa na possibilities ya kuingia mkataba na kituo, penye maslahi nao mazuri ndipo wanapofunga mkataba, haijalishi hicho kituo ni cha Mengi, Manji au cha serikali...

Ulezi/udhamini wa kikundi ni tofauti na umiliki wa kikundi, ndio maana siamini kwamba Ze Comedy wamekosea kuomba udhamini kwa Manji. Hebu jiulize roughly inawagharimu kiasi gani kila week kutengeneza episode moja ya Ze Comedy? Movie production sio lele mama kama unavyoweza fikiria... panahitajika transport, locations, costumes, achilia mbali film crews etc etc etc...

hayo ni mawazo yangu tu, maybe am wrong!
 
...mimi namlaumu huyu mwandishi KWA HERUFI KUBWA!, kuanzia kichwa cha habari mpaka ujumbe wenyewe naona kusudio ake ni kuamsha hisia za wananchi walio wengi kuwa

"Ze Comedy + Manji = kutaka Kumsakama Mengi! "

...Kwa mawazo yangu 'kikundi' kinatengeneza movie/comedy scripts zao, kisha wanazipeleka kwenye vituo kwa mfano; EATV, au TBC ,Channel 10, au DTV hata TVZ... huko wanafanya majadiliano na 'wahariri' wa vipindi, kama hizo scripts zitauzika na kama kutakuwa na possibilities ya kuingia mkataba na kituo, penye maslahi nao mazuri ndipo wanapofunga mkataba, haijalishi hicho kituo ni cha Mengi, Manji au cha serikali...

Ulezi/udhamini wa kikundi ni tofauti na umiliki wa kikundi, ndio maana siamini kwamba Ze Comedy wamekosea kuomba udhamini kwa Manji. Hebu jiulize roughly inawagharimu kiasi gani kila week kutengeneza episode moja ya Ze Comedy? Movie production sio lele mama kama unavyoweza fikiria... panahitajika transport, locations, costumes, achilia mbali film crews etc etc etc...

hayo ni mawazo yangu tu, maybe am wrong!

Hauko wrong hata kidogo, uko very right.

Kama tunataka quality katika kazi za hawa jamaa inabidi tuweke siasa pembeni na tuwaache wafanye maamuzi yao kibiashara. Si sahihi kuanza kuwaponda kabla hatujajua hata contents za mkataba wao na Manji, hii ni dalili ya skeptism tu!
 
Hauko wrong hata kidogo, uko very right.

Kama tunataka quality katika kazi za hawa jamaa inabidi tuweke siasa pembeni na tuwaache wafanye maamuzi yao kibiashara. Si sahihi kuanza kuwaponda kabla hatujajua hata contents za mkataba wao na Manji, hii ni dalili ya skeptism tu!

Kwa Tanzania kila kitu kinagusa siasa kama tunapenda au la na huo ndio ukweli wa mambo. Manji ana akili yake alipoamua kuwa mlezi wa Ze comedy. Kishajua atawatumia vipi ili kutaka kile anachokitaka lakini bahati mbaya hawa jamaa wa Ze comedy kutokana na uwezo wao mdogo wa kuchanganua mambo hawakuliona hilo. Tusubiri labda wanaweza wakashtuka na kuwaambia Watanzania baada ya muda kwamba Manji si mlezi wao tena kwa sababu anawaingilia katika maamuzi yao ya kupanga vichekesho vyao au vinginevyo vichekesho hivyo vitaegemea upande mmoja zaidi na Watanzania watawashtukia.
 
Kwa Tanzania kila kitu kinagusa siasa kama tunapenda au la na huo ndio ukweli wa mambo. Manji ana akili yake alipoamua kuwa mlezi wa Ze comedy. Kishajua atawatumia vipi ili kutaka kile anachokitaka lakini bahati mbaya hawa jamaa wa Ze comedy kutokana na uwezo wao mdogo wa kuchanganua mambo hawakuliona hilo. Tusubiri labda wanaweza wakashtuka na kuwaambia Watanzania baada ya muda kwamba Manji si mlezi wao tena kwa sababu anawaingilia katika maamuzi yao ya kupanga vichekesho vyao au vinginevyo vichekesho hivyo vitaegemea upande mmoja zaidi na Watanzania watawashtukia.

Nadhani kwa sasa tuweke cynicism pembeni na tuupe muda uhusiano huu wa Manji na Ze Comedy, ili tuweze kuona utakavyoendelea. Ninachoamini ni kwamba pande zote mbili zinatarajia manufaa ndio maana wamekubaliana. Iwapo matarajio hayo yatatimia au la, only time can tell.
 
Yap! Only time will tell, and the good thing about JF nothing is deleted on this forum, with few exceptions of course.
 
Personally I dont see any problem with manji helping these Guyz.If sum1 thinks manji is using them to seek popularity then I am tempted to believe that mengi uses his tv and radio stations to to do same thing.
Lets be positive and compliment manji 4 wot he has done in relation to this matter.
 
Last edited:
Let’s talk like Idi Amin’s minister of Health (December 5, 1978).
“LET’S WAIT AND SEE”
 
hawa vijana njaa inawasumbua, lakini hawamjui manji, atawatumia kutafuta umaarufu, akishaupata anawaacha njia panda, kama alivyowaacha yanga wakati ule. waha waajemi hawana jema na watu wetu, kwao watu wetu ni madaraja ya kuwavusha kutimiza malengo yao. after all nani angewahamu akina ze comedy kama siyo EATV?

Mkubwa wewe huwezi kubuni kitu ambacho takribani 60% ya watanzania wanapenda halafu anakuja kibushuti mmoja halafu anaaanza kukandia na matusi kibao huku akipata kivuli cha Boss. Hata mimi ningemwaga manyanga.

KIBUSHUTI ALIONA KIPINDI CHAKE KIMEFUNIKWA SASA AKAONA APIGE JUNGU.
 
Mimi nafikiri hawa wanatafuta maisha sioni sababu ya wao kutokuwa na uhusiano na manji kama watatimiza malengo yao, watu wangapi wanafanya vitu vya ajabu kama kina Tmbwe, Msabaha na wengine kwa kuangalia masirahi ya kiuchumi.

Nafikiri wapewe muda kama wakichemka ni watazamaji ndo wataamua kuendelea kuwaangalia au kuwatosa na kuua umaarufu wao.
 
Kama kweli atawasaidia hilo ni jambo jema tatizo la hawa MAGABACHOLI huwa wanafanya mambo mengi kwa manufaa yao zaidi na wala si kukuza vipaji vya wasanii .
Sasa kama Seki hayo uliyoyasema ni ya kweli basi hilo ni jambo jema kabisa tatizo la ndugu yetu naye wa IPP huwa anapenda dezo nimeshudia namna ambayo amekuwa akichukua watangazaji mbali mbali kutoka RTD na sehemu nyingine na kupola vipindi mbalimbali kama vile KITI MOTO kilchokuwa kinarushwa na DTV na kadha wa kadha
 
Ze comedy ni kikundi cha burudani! Tujaribu kuweka siasa pembeni wakati mwingine.

wasanii kazi yao niku-elimisha na kuiadibisha jamii. kama watu kama manji alifadhili baadhi ya mafisadi kugombea ccm, na kazi ya ze comedy kwa kiasi kikubwa ni kuwarekebisha hawa, unadhani manji atruhusu hawa wasemwe? sasa kama watazuiwa kwenye hili nani atabaki kuangalia utumbo utakaoukuwa unatengenezwa na manji na kurushwa na ze-comedy? sana sana ze-comedy kujiweka kwenye TBC NA MANJI KAZI YAO KUBWA SASA NI KUSIFIA SERIKALI NA MAFISADI WAKE, KUWENI NA SUBIRA HILI LITATHIBITIKA SIKU SI NYINGI.

ndugu zangu mafisadi hawataki siku zote kukosolewa, rostam azizi aliponunua habari corporation ni kuepuka makali ya kalamu ya ndugu zetu wa iliyokuwa kalamu yenye ncha kali kama bastola yaani RAI

TBC+MANJI=? MANJI=NSSF 70BILINI ZA NSSF=ZECOMEDY? MH!!!!!!
 
Pamoja na kuwa hatujui mapato yao ni kiasi gani, lakini hawakustahili kujiambatanisha na Manji. Hata hawa kama wana mipango mizuri wanaweza kabisa kuwa na maisha mazuri tu bongo pamoja na kuwa yanaweza yasiwe katika kiwango cha middle class americans. Vichekesho vinastahili viwe huru, na kama uhuru wa kuandaa vipindi vyao unaingilia na mtu au kikundi cha watu basi wanapoteza kundi kubwa la wapenzi wao.

Ulitaka waambatane na nani? wenyewe wameona ndio anawafaa katika kukuza sanna yao na kupata kipato zaidi
 
The comedy ndiyo wapi hao?
ama ni hawa vijana wa Mengi walioibuliwa toka vumbini na kuketishwa na wakuu wa nchi?lakini TBC1, HAIFIKI RWANDA, kENYA,UGANDA. Sijui ni kwa nini mengi hakuwawahi kuwaziba midomo?, Mmmmm!!!! sasa tutegemeee marumbano, tusubiri.
 
Wazalendo waliobaki ni wachache sana almost negligible, suala la njaa linagusa wengi sana,sina hakika kama kuna mtu anaweza kuacha kuchukua mshiko toka kwa fisadi ktk mazingira ya mashaka kimaisha tuliyo nayo.

siyajui maisha ya hawa vijana zaidi ya kuwaona ktk luninga.Nao wanatamani kujenga nyumba zao na pengine kusaidia jamaa zao huko porini,ikibidi wawasomeshe watoto/wadogo zao shule nzuri.

Mlezi awe Manji au nani sijui,kikubwa malipo yao yana tija? Mtumikie kafiri upate mradi wako.

Vita vya kibiashara kwa vijana hawa si muhimu,umri unakwenda na majukumu yanakuja.Ok huyu mwingine fisadi na je huyo mwingine unajua vitu vyake? Kimsingi napenda vijana wapate cho chote kitu wapunguze ukali wa maisha basi.
 
Back
Top Bottom