Oppo simu Bhana!

Oppo simu Bhana!

Unaitumia tena bila Shida,tool easy jtag,njia isp pinout,,,nishakutana na oppo kadhaa,,,ni kweli sio nyepesi sana,,,lakin sio zakushindikana ,,,nyingi za katikati hapo zinatoka kwa testing point...uchawi ni knowledge na tools basi

Sent from my M2101K7AG using JamiiForums mobile app
Mkuu mimi ni fundi mwenzio naomba usitaje Tools tunazotumia maana kamata kamata iliyopita jamaa walinichukulia Box zaidi ya saba na Desktop yangu

Ukitaja wanaweza kupita tena wakaanza kuulizia tools tunazotumia

Muhimu wajue tu kwamba hakuna simu inayoshindikana ila wasijue vitendea kazi vinavuohusika
 
Mkuu mimi ni fundi mwenzio naomba usitaje Tools tunazotumia maana kamata kamata iliyopita jamaa walinichukulia Box zaidi ya saba na Desktop yangu

Ukitaja wanaweza kupita tena wakaanza kuulizia tools tunazotumia

Muhimu wajue tu kwamba hakuna simu inayoshindikana ila wasijue vitendea kazi vinavuohusika
Aisee kumbe jamaa walikufanya vbaya? Pole sana mkuu...wacha tukae kimya sasa

Sent from my M2101K7AG using JamiiForums mobile app
 
Oppo Reno 03
Screenshot_2021-11-09-14-38-33-31.jpg


Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu tatizo huyu kijana bado hajawahi amini kua wabongo pia ni kwikwi kuna vichwa viko njema.
Wabongo kwa Modification nimewavulia kofia.

Yani mmbongo kuunda kitu from scratch ndio hawezi ila umpe kitu kilicho kamili akigeuze geuze anavyotaka hapo ndio utampenda 😅 yani!
 
Unafiki tuweke pembeni kunja USO kunjua roho

Simu za OPPO Ni Unyama Sana.

Nmemiliki simu ya oppo Kwa mara ya Kwanza Naona inavitu vzuri cha Kwanza ni uwezo wake wa kiusalama MTU akiiba hawezi kuitumia ni kuitupa Tu.
Bola kusahau mfumo mzima WA simu ilivyoundwa.

Nakushauri kama unatafuta simu nunua OPPO.

Wadau kama mnamaoni tutililike chini.
Ndiyo umeanza kumiliki au kuzijua smartphone bila shaka. Km sivyo usingethubutu kusema ikiibiwa inatupwa tu.

iPhone hazitupwi ni hilo kopo. Acha ushamba.
 
Naunga mkono hoja , hata mm natumia Oppo a9 kiukwel cm za Oppo zipo vzr ukitoa iphone nafikir wao ndio wanafuata alafu kingne kweny upande wa charge wako vzr mno
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom