Oppo simu Bhana!

Oppo simu Bhana!

Samsung anatumia kwa midrange products hawezi tumia mediatek kwa flagship zake s series na note series
Sasa nani kakwambia Oppo anatumia MediaTek kwa flagship. Yani ununue simu ya laki 9 ulazimishe iwe ya Snapdragon wakati sahivi kuna shortage of microchips
 
Mkuu kama hutojali naomba uniwekee bei za oppo, hususan yenye battery nzuri(inayokaa na charge) na yenye storage na ram kubwa.
Braza nenda Instagram search oppo utaona oppo tz na oppo Tanzania angalia bei zao pale .
 
Nakushauri achana na Redmi. Ukitokea Oppo kuja Redmi utakosa vitu vingi tena wewe umekaa na Oppo zaidi ya moja. Nina Redmi ila nitarudi Oppo, system ya Oppo imetulia sana na ina features nzuri zaidi na za kipekee
Oppo wana features gani nzuri zaidi ya xiaomi?

Sent from my M2101K7AG using JamiiForums mobile app
 
Tafuta oppo babu utajutia
OPPO zipo ila sio hzo unazozipost hapa.. wala hakuna hata OPPO moja ulioitaja inasifa za kumshawishi mtu nikiwa na maaana ya kua OPPO zote ulizozitaja hazina tofauti na tecno na infinix trust me
 
Nakushauri achana na Redmi. Ukitokea Oppo kuja Redmi utakosa vitu vingi tena wewe umekaa na Oppo zaidi ya moja. Nina Redmi ila nitarudi Oppo, system ya Oppo imetulia sana na ina features nzuri zaidi na za kipekee
Features zake ndio zimenifanya nikafungua uu Uzi oppo wamejipanga vzur kwanzia charging storage clear cache zake camera zake Ni balaa gaming Ni balaa sijui themes zake hawa jamaa ni wakibabe Sana.
 
Oppo Reno 6
Screenshot_2021-11-08-09-08-02-08.jpg
 
OPPO zipo ila sio hzo unazozipost hapa.. wala hakuna hata OPPO moja ulioitaja inasifa za kumshawishi mtu nikiwa na maaana ya kua OPPO zote ulizozitaja hazina tofauti na tecno na infinix trust me
Utoelewa mpaka ukishika oppo na kukaa nayo Kwa DK 10 tu.
 
OPPO zipo ila sio hzo unazozipost hapa.. wala hakuna hata OPPO moja ulioitaja inasifa za kumshawishi mtu nikiwa na maaana ya kua OPPO zote ulizozitaja hazina tofauti na tecno na infinix trust me

Kwa ufupi nilichogundua Mkuu wanaoongea sana hapo wengi wao ni watumiaji wa Midrange na budget phone hasa hasa huyo mtoa uzi
 
Oppo wana features gani nzuri zaidi ya xiaomi?

Sent from my M2101K7AG using JamiiForums mobile app
Redmi Note almost kila mwezi update, simu iliyo stable inakuaje na update mara kibao. Nilikuwa na Oppo update ni miezi na hicho kinachoongezeka unakiona na kabla ya hapo unakuwa huoni kipi kinakosa. Hapa Redmi kuna vitu ukinambia warekebishe navitaja vingi.

Simu ina ads mpaka kwenye system apps yani uko unaplay mziki kwenye app yao unaona tangazo la Bolt.

Build quality ukiitazama vizuri unaona hii sio simu ya kudumu miaka miwili ikiwa salama. Oppo hawana bugs simu zikiwa newly released, wako makini na ubora. Hizi Redmi zilipotoka zilikuwa na overheating kwa gamers.

Gestures nazo ni kwa uchache ukilinganisha na Oppo.

Hapa ni comparison ya Oppo niliyonunua 440k hivi miaka miwili iliyopita dhidi ya Redmi niliyonunua 700k kasoro mwaka huu
 
Nakushauri achana na Redmi. Ukitokea Oppo kuja Redmi utakosa vitu vingi tena wewe umekaa na Oppo zaidi ya moja. Nina Redmi ila nitarudi Oppo, system ya Oppo imetulia sana na ina features nzuri zaidi na za kipekee
Kama unapenda features za Oppo nenda oneplus, Oppo nyingi hazina Value, kwenye BBK oneplus, Realme na Iqoo wana value Kubwa kushinda Oppo na Vivo.
 
Redmi Note almost kila mwezi update, simu iliyo stable inakuaje na update mara kibao. Nilikuwa na Oppo update ni miezi na hicho kinachoongezeka unakiona na kabla ya hapo unakuwa huoni kipi kinakosa. Hapa Redmi kuna vitu ukinambia warekebishe navitaja vingi.

Simu ina ads mpaka kwenye system apps yani uko unaplay mziki kwenye app yao unaona tangazo la Bolt.

Build quality ukiitazama vizuri unaona hii sio simu ya kudumu miaka miwili ikiwa salama. Oppo hawana bugs simu zikiwa newly released, wako makini na ubora. Hizi Redmi zilipotoka zilikuwa na overheating kwa gamers.

Gestures nazo ni kwa uchache ukilinganisha na Oppo.

Hapa ni comparison ya Oppo niliyonunua 440k hivi miaka miwili iliyopita dhidi ya Redmi niliyonunua 700k kasoro mwaka huu
Mara nyingi watu hununua Xiaomi na kuweka custom rom, Miui ni kama software ya zamani ya Samsung ile TouchWiz, ipo bloated sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom