mkuu security waliyoiweka oppo ni ngumu mtu kuiflash, na ukitaka kuiflash firm ware unanunua toka kwenye website yao
Oppo gan hiyo mtu akiiba anaitupa mkuu!!? Kama niliweza kutekenya simu yenye Samsung email na pass ikarud kama mpya sembuse hiyo..... Simu peke yenye sifa unayoisemea hapo ni iPhone kwenye icloud tu kwa mtazamo wangu


