Oppo simu Bhana!

Oppo simu Bhana!

Nimejikwamua na oppo a15s
IMG-20211115-WA0048.jpg
 
Unafiki tuweke pembeni kunja USO kunjua roho

Simu za OPPO Ni Unyama Sana.

Nmemiliki simu ya oppo Kwa mara ya Kwanza Naona inavitu vzuri cha Kwanza ni uwezo wake wa kiusalama MTU akiiba hawezi kuitumia ni kuitupa Tu.
Bola kusahau mfumo mzima WA simu ilivyoundwa.

Nakushauri kama unatafuta simu nunua OPPO.

Wadau kama mnamaoni tutililike chini.
simu za android kama ijafika kiwango Cha 1m ujue ikichukuliwe basi watu wanaweza fanya Bypass watakavyo ndugu iyo Oppo inaondolewa tu bila shida yoyote bro
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom