Da Vinci XV
JF-Expert Member
- Dec 7, 2019
- 3,871
- 6,468
Hivi Bola au Bora
Oppo gani unatumia mkuu? Mi nina A9 hapa ya 2020 ila kuhusu suala la kuibiwa ni kweli kuifanya simu ya Oppo iliyoibiwa itumike tena ni mtihani mkubwa sana.Unafiki tuweke pembeni kunja USO kunjua roho
Simu za OPPO Ni Unyama Sana.
Nmemiliki simu ya oppo Kwa mara ya Kwanza Naona inavitu vzuri cha Kwanza ni uwezo wake wa kiusalama MTU akiiba hawezi kuitumia ni kuitupa Tu.
Bola kusahau mfumo mzima WA simu ilivyoundwa.
Nakushauri kama unatafuta simu nunua OPPO.
Wadau kama mnamaoni tutililike chini.
Hahaha kweli ni Sawa mtu apande toka itel amiliki tecno na infinix atajiona kaula kumbe hajui kuna simu bora zaidi........ inaonekana alikuwa anatumia simu ya kawaida kabla ya hiyo Oppo
Inategemea na Oppo lakini security yake ni kali sana kuliko hayo masamsung! Oppo kuifanya itumike tena sio mchezo inaweza ikakutoka ata laki 3




Mimi sjaona security kali ya oppo,,,na kadri tools zinavyokua nyingi skuizi,,,,tayar baadhi ya model unatoa lock bila hata testing point... tafuta unlock tool utazibutua oppo vzuri tuInategemea na Oppo lakini security yake ni kali sana kuliko hayo masamsung! Oppo kuifanya itumike tena sio mchezo inaweza ikakutoka ata laki 3
Find my device
Na IMEI huwezi badili jombi
Oppo gani labda? Mi natumia Oppo A9 ya mwaka 2020 embu jaribu kufatilia kama unaweza itumia tena iyo simuMimi sjaona security kali ya oppo,,,na kadri tools zinavyokua nyingi skuizi,,,,tayar baadhi ya model unatoa lock bila hata testing point... tafuta unlock tool utazibutua oppo vzuri tu
Sent from my M2101K7AG using JamiiForums mobile app
Nimetumia smart yangu ya Kwanza HTC .. nikaja Nokia Tecno Samsung but itel na infinix ndio sijagusa kabisa. That's why nkafanya utafiti mkubwa nikagundua oppo ni Baba Yao nikanunua oppo A 54 ya wife nikanunua na oppo A15s ambayo natumia Mimi.Hahaha kweli ni Sawa mtu apande toka itel amiliki tecno na infinix atajiona kaula kumbe hajui kuna simu bora zaidi
Find my device inazimwa tu baada ya kutoa lock....kuna tools zinafanya mambo hujawai ona...mfano unlocktool inapekenyua oppo nyingi vizuri tuFind my device
Na IMEI huwezi badili jombi
Hapo kidogo iPhone na oppo kwenye security zinashabiaanaunge kua ume tumia sim za aina zote sawa sasa ndo mara ya kwanza kutumia oppo tayri uzi
umesha wahi tumia
OnePlus + ?
Redmi ultra/ Series/Notes/Mi mix je ?
Huawei P series?
samsung s/series/note series?
iphones je?
kama ume tumia zote hizo apo juu ndo uje utufungulie uzi kua oppo ni noma
![]()
Kwa upande wa samsung ulitumia midrange pia Akina A series ambao hawana tofauti na tecno.je umewahi kujaribu high end?Nimetumia smart yangu ya Kwanza HTC .. nikaja Nokia Tecno Samsung but itel na infinix ndio sijagusa kabisa. That's why nkafanya utafiti mkubwa nikagundua oppo ni Baba Yao nikanunua oppo A 54 ya wife nikanunua na oppo A15s ambayo natumia Mimi.
Na nilijaribu kuweka King root imekataaUnafiki tuweke pembeni kunja USO kunjua roho
Simu za OPPO Ni Unyama Sana.
Nmemiliki simu ya oppo Kwa mara ya Kwanza Naona inavitu vzuri cha Kwanza ni uwezo wake wa kiusalama MTU akiiba hawezi kuitumia ni kuitupa Tu.
Bola kusahau mfumo mzima WA simu ilivyoundwa.
Nakushauri kama unatafuta simu nunua OPPO.
Wadau kama mnamaoni tutililike chini.
Unaitumia tena bila Shida,tool easy jtag,njia isp pinout,,,nishakutana na oppo kadhaa,,,ni kweli sio nyepesi sana,,,lakin sio zakushindikana ,,,nyingi za katikati hapo zinatoka kwa testing point...uchawi ni knowledge na tools basiOppo gani labda? Mi natumia Oppo A9 ya mwaka 2020 embu jaribu kufatilia kama unaweza itumia tena iyo simu
😂😂😂😂😂😂😂Nitaitafuta maana Nina tecno siielewi selfie 24megapixel baada ya wiki tatu napiga selfie zinakuwa 3megapixel na hata ukijiangalia unaona Huyu sio Mimi mkuu bei ya hiyo oppo.
Sasa oppo a15s ni simu ? Mbona ni lowend moja ya kawaida sana?Nimetumia smart yangu ya Kwanza HTC .. nikaja Nokia Tecno Samsung but itel na infinix ndio sijagusa kabisa. That's why nkafanya utafiti mkubwa nikagundua oppo ni Baba Yao nikanunua oppo A 54 ya wife nikanunua na oppo A15s ambayo natumia Mimi.
Basi wanao weza Ku tekenya oppo wapo wachache Sana bongo at watano hawafikiUnaitumia tena bila Shida,tool easy jtag,njia isp pinout,,,nishakutana na oppo kadhaa,,,ni kweli sio nyepesi sana,,,lakin sio zakushindikana ,,,nyingi za katikati hapo zinatoka kwa testing point...uchawi ni knowledge na tools basi
Sent from my M2101K7AG using JamiiForums mobile app
Ninazo mbili babu nyingne kubwa annatumia wifeSasa oppo a15s ni simu ? Mbona ni lowend moja ya kawaida sana?
Sent from my M2101K7AG using JamiiForums mobile app
Unatumia ila kukamatika Kwake kilaini Sana yaaniOna sasa huku unapoelekea....
Wewe furahia tu simu ila usiseme mtu akiiba hawezi tumia UNAJIDANGANYA
Hapana wapo washkaji wengi tu,,,achana na mafundi wa ushwahiliniBasi wanao weza Ku tekenya oppo wapo wachache Sana bongo at watano hawafiki