Saikosisi
JF-Expert Member
- May 4, 2007
- 528
- 31
Yaani katika watu ambao nafikiri thinking capacity ni ndogo basi wenztu waislam wanaongoza. Wanapenda sana kudeal na minors, wakati mambo makubwa wanayaona na wanapita hawasemi.
Na TZ tutaregret soon, kwa kuruhusu ujinga na upuuzi kama huu kwa watu wajinga wachache. Enzi hizo walikwua wakikusanyika wanapigwa mabomu ya machozi hawafikii hata kuogea, huyu handsome boy kaja na mambo yake ya kuwapa uhuru wa kuongea randomly wanaanza kuongea yasiyowahusu.
Jamani tusiruhusu haya mambo yatatutokea puani soon.
Mimi nadhani Caroline Danzi una low thinking capacity, biased na mpumbavu! Huwezi ku-generalize mambo hivyo, na mwandishi wa original story vilevile ana bias. Kwa mtizamo mwingine, vipi kama huyu sheikh kweli kapandikizwa na chama kingine- atakuwa ana akili sana kwani ana-divert watu from real issues to 'minor' issues unazosema. Matokeo yake keshachanganya watu hata humu JF!
Please use your head. Usiropoke tu.