Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 51,133
- 122,589
Poa. Mzima?Emmy. Mambo
Poa. Mzima?Emmy. Mambo
Swadata sheikhe!!Usijali, kizuri mtu hula na nduguye...
Ntakupa mrejesho...
Kiumbe chochote ktokacho baharn n mal ya mungu hvy akjaalalxhwa kiliwe na jnxia 1 hvyo pweza nayy ajabase kwa wanaume tooohDhamira gani hiyo mkuu
Daah! Naona mi kitanipita kushoto mana kiukweli sijuagi ladha yakeHakuna ubaya kutumia kitoweo ili kiongeze nguvu husika.
Anahakiki kama neema za Allah zimo?Afanye mchakato gani tena yakhee
Mi mzima.Poa. Mzima?
Hahahaaa!Sa nifiche kua na nguvu nyingi jamani!!!
Ewaaa... labda itokee tu sheikh...Swadata sheikhe!!
Mimi hayo ndio mambo yangu. Wengine wale labda itokee tu.
Nangoje mrejesho m-maalimu
Wameshazoea chips hapo kwenye maharage mmh hakuna atakayekulaMtu inabidi aje na hii kitu bwana!!! Ukisema maharage yanaongeza nguvu za kiume basi soko la maharage litatanuka zaidi.
Daah! Naona mi kitanipita kushoto mana kiukweli sijuagi ladha yake
Usije ukala unaweza kubaka siku.Daah! Naona mi kitanipita kushoto mana kiukweli sijuagi ladha yake
Heee! Wacha weeMi mzima.
Hofu kwako ulie mbali na upeo wa macho yangu
Naina umeshtuka kumoyo.Heee! Wacha wee
Itabidi nijaribu aisee. Huwa naishia tu kuangalia watu wakiwazunguka wauzajilol! Jaribisha kidogo kidogo huwezi jua unaweza kuona ni kitoweo kitamu. Kama bado ladha huipendi basi tia ndimu nyingiii hahahahahah 🙂🙂