Asprin
Platinum Member
- Mar 8, 2008
- 68,273
- 96,400
Lugha mbovu ndo ipi?? Kwani Ko imetoholewa kwenye lugha ipi??Mazoea ya kutumia lugha mbovu...
Lugha mbovu ndo ipi?? Kwani Ko imetoholewa kwenye lugha ipi??Mazoea ya kutumia lugha mbovu...
Nini jamani!?we paprika we
Zinaweza ongezeka kwani????
Au ndo mana nna nguvu nyingi???sababu nimeanza kula mika mingi sana
Wanatuzingua haooKwani hadi kwa wanawake mi najua kwa wanaume tu
UmeonaeeeWanatuzingua haoo
Noma kula pweza???![]()
![]()
![]()
Paprika noma sana
Tunakiharibu kiswahili... Nimemaanisha matumizi ya kiswahili kibovu.Lugha mbovu ndo ipi?? Kwani Ko imetoholewa kwenye lugha ipi??
Acha uongo bwana!!! Mi nilidhani ulaji wa maharage!!!Hongera kwa kuwa na nguvu nyingi, kitoweo cha pweza kimekuongezea nguvu nyingi lol! 🙂🙂


Kwani hadi kwa wanawake mi najua kwa wanaume tu
Nilitegemea kama ni kiswahili basi kwahiyo ingekuwa kh lakini ko imeniacha hoiTunakiharibu kiswahili... Nimemaanisha matumizi ya kiswahili kibovu.
Acha uongo bwana!!! Mi nilidhani ulaji wa maharage!!!![]()
Ahsante kwa ufafanuzi. Huwa naona watu wengi wakiandika hivyo sikuwa najua maana yake.
Ko = Kwahiyo.
Hatari sana sheikh!!