Duke Tachez
JF-Expert Member
- Mar 28, 2018
- 5,461
- 4,170
Analipa?Ofisini kwetu kuna mmoja kajitangaza kabisa.
Analipa?Ofisini kwetu kuna mmoja kajitangaza kabisa.
Mkuu inaonekana haya unayayasema yamekutokea tupe habar ilikiwajeHili ndio hasa tatizo kuu, ndoa zimekuwa kama fasheni sahivi! Wanawake hawana utu kabisa. Atavumilia kinafki ukishampa ndoa basi anarudi katika tabia zake mbaya. Ubinafsi, kiburi na umalaya wao ndo hasa umefanya wanaume wengi tukate tamaa nao.
Jitu linaahidi kuwa aminifu kisha ukiwa nalo mbali hata kwa week tu lishaanza ku cheat!
Mambo vip mrembo agataHahaaa..
Pendekezo lang itengwe siku maalum kwa wanaoitaj mume au mke eneo Fulani kila mmoja aeleze sifa za mke/mme iitasaidia kupunguza tatizo...daaah! kumbe duniani tumetofautiana kwa kweli mda ambao wanaume tunamuomba mungu atupe mke wakuo kumbe ndo mda ambao baadhi ya wadada nawao wanaomba mme wa kuwaowa
Wazo nzuri unaweza litumia kupiga pesaPendekezo lang itengwe siku maalum kwa wanaoitaj mume au mke eneo Fulani kila mmoja aeleze sifa za mke/mme iitasaidia kupunguza tatizo...
Mwambie aje nmsaidie kumchumbiaHuwa wanachelewa kujitambua.mfano dada mmoja aliposwa na mwalimu mmoja mstaarabu.akamtosa .mwalimu mimi nimpeleke wapi? Akshoboka na jamaa mmoja wa BoT kumbe yule yeye ni mdunguaji tu.baada ya kumdungua akatupa kule dada na kitoto chake.labda tarehe 9 ya makonda itasaidia
[emoji2][emoji2][emoji23][emoji2][emoji23][emoji2]Pendekezo lang itengwe siku maalum kwa wanaoitaj mume au mke eneo Fulani kila mmoja aeleze sifa za mke/mme iitasaidia kupunguza tatizo...
Wapooo...Uzi huu wadada wamesusa sanaaa bila ya comments yoyote
Kuchagua kupo ila nyie ke mmezidi plus nyodo nyingiMkuu kwani wewe huchagui?
Ana point lakinView attachment 729787aisee
Kumbee
YeahAna point lakin
She got a bigger point.View attachment 729787aisee
Kumbee
Duu hadi kamkubali dereva wewe sijui utakuwa unafanya kazi ganiHatari sana mkuu mm kuna mmoja nilimbembeleza sana kuwa nae alikataa akaja kuolewa na dereva mwisho wa siku yakabuma na mtoto wake anataka kurudi kwangu kuomba huruma yangu futi mia kama bolt