On Magufuli na Odinga: CHADEMA wapo sawa!

On Magufuli na Odinga: CHADEMA wapo sawa!

KENYA'S Vice President Dr Kalonzo Musyoka, has said there is need for Tanzanians to re-elect Dr Jakaya Kikwete for president due to urgent regional and international tasks that only the latter can fulfil.

Addressing a dinner event organized for his honour by Tanzanian and Kenyan business persons in Arusha Friday night, Mr Musyoka said Tanzania, Kenya, Uganda, Rwanda and Burundi are currently working hard to make the East African regional integration happen and Mr Kikwete is an important force in the joint efforts.


"Those who have been following the process would recall that it was not easy to revive the EAC after the original one collapsed in 1977, we remained suspicious of each other and had it not for the wisdom of our former leaders, the late Mwalimu Nyerere, Daniel Arap Moi and former Tanzanian Presidents Ally Hassan Mwinyi and Benjamin Mkapa there would still be no East African Community," said Mr Musyoka.


The Kenyan VP explained that a lot has been achieved so far, including the latest milestone launch of the East African common market but said there were still more crucial tasks ahead to ensure that the community becomes stronger.


The laid ground works would require more joint efforts from the Heads of State in the member countries who had been involved in the first place. Dr Kikwete is the current chairman for the Summit of the East African Heads of States, having been elected during the EAC's 10th Anniversary milestone celebrations last November.


"But I did not come to Arusha to campaign for Mr Kikwete. I am only stating the facts, we have been going very well in the community and we do not want anything to interrupt the promising development. But again even from personal point of view, I still support Dr Jakaya Kikwete for his unquestionable leadership ability as well as for the fact that, as my personal friend, we have long history including that of suffering together," maintained the Kenyan VP.


"I wish I had one single strong vote to reinstate Dr Kikwete I would have cast it in his favour. Tanzanians should also vote for him again if they know what is good for them," said the Kenyan VP.


Mr Kalonzo Musyoka also commented on Tanzania's election campaigns; "Kenyans need to learn something from Tanzania. There is an election going on here but things are so peaceful and serene, it is like nothing is happening, people are taking things easy.


In Kenya right now there is no election but already people have started to argue and conducting heated debates over the issue even though the next polls are coming up in 2012," he said.


He told business people in Arusha that Kenya has thrown open the doors for all Tanzanian professionals to go and work in the country without the need to seek for work permits; "President Mwai Kibaki has reiterated his statement that he wants Tanzanians to go and work in Kenya without qualms or any hindrance and while at that I also take the opportunity to invite business people and investors in Tanzania to also extend operations in Kenya," said the VP.


Earlier, on the chairman for the Confederation of Tanzanian Industries (CTI) in the Northern Zone, Mr Anup Modha told the Kenyan VP that Tanzanian investors were ready and confident enough to grab the Kenyan market.

Pia alichofanya huyu ni uzuzu.Kalonzo Musyoka amekua waziri wa mambo ya nje lakini kwenye diplomasia yuko empty.Ndiyo maana hata katika kipindi chake alishindwa kulinganisha na mawaziri wengine wa mambo ya nje kama Rafaeli Tuju au Moses Wetang'ula.

Hata shuttle Diplomacy accross Africa aliyokua akiifanya alishindwa kwa kuwa hata zile basic elements za Diplomacy zinamshinda.

ababu tunazoziongelea hapa za kidiplomasia ni tata sana na ndiyo maaana ikitokea Mwanasiasa wa Tanzania au nchi nyingine akitafuta hifadhi ya kisiasa nje (political asylum) huwa inakua ngumu kumkatalia au kumkubalia na serikali mwenyeji kwa kuwa wanaogopa incase aende kwingine halafu baadae akafanikiwa kujipanga na kurudi kuipindua nchi yake akawa Rais itakuaje kwa nchi iliyomkatalia?Ama incase,wampokee uhusiano wao na Rais au utawala wa nchi aliyotoka na serikali mwenyeji(host country) itakuaje. Ndiyo maana aliyekuwa Balozi wa Rwanda India,General Nyamwasa alipokimbilia Uganda ilibidi atorokee South Africa.

Hii tabia ya viongozi wa Tanzania kukurupua kwenye masuala ya kimataifa kwa selfish interest na kuchanganya protocal itakuja kututia katika matatizo yasiyo na sababu.

Nilipogombea uenyekiti wa BAVICHA katika tamko langu nilionya juu ya serikali yetu kukurupuka na kuingilia mambo bila kufikiria.Leo hii kama wakenya wataamua kumpigia kura kenyatta na Rutto itatoa ujumbe kwamba wamemkataa Odinga na na serikali ya Tanzania(incase Wizara ya mambo ya nje isipotoa tafsiri sahihi hapa).Hii itakua Diplomatic blow

Pia kwa Matamshi ya Magufuli kwamba Odinga angegombea Ubunge jimbo la Chato basi yeye asingethubutu kuchukua fomu ni kauli ya kipuuzi kwangu hii ni the most stupid statement kutoka kwa mwanasiasa wa ngazi ya juu.Kuongelea ubunge ukiwa katika platform ambayo ni presidential ni diplomatic Insult.

Kauli hii pia inamuweka Magufuli katika hali mbaya incase ana pango wa kugombea Urais.Tayari tutakua na mtu ambaye ni Inferior anayetaka kuja kutuongoza kupambana kiuchumi na Kenya ambaye ni rival wetu kiuchumi hapa Africa Mashariki.Hili litakua ni tusi la kidiploamsia na pia pride yetu katika region inakuwa demoralized.Hiyo itatoa taswira ambayo ni awkward kwa Taifa
 
Uvivu wa kufikiri, magufuli hakwenda kuiwakilisha CCM wala serikali, ameenda Kama mtu binafsi Huyu wenje Hana la kuongea tamko limekaa kimajungu majungu, yeye ndiye anatakiwa kuthibitisha iwapo magufuli alisema anaiwakilisha CCM au serikali. CHADEMA wa jipange kushughulika na issues waachane na individuals vinginevyo wanapoteza mwelekeo kwa sasa na kuchezeshwa Kama Joyce wowo sindimba ya CCM

Nimegundua kuwa kwa bahati mbaya sana hukusikiliza hotuba ya Magufuli kwenye huo mkutano. Mimi nilimsikia angalau kidogo, na mongoni mwa mengi aliyoyasema alisema " .......Watanzania wangependa wewe Raila uwe rais wa Kenya baada ya uchaguzi wa March....." Ndiyo maana CDM wanauliza alitumwa na JK ama CCM. Hamna pa kutokea anapaswa kusema wazi.
 
Tatizo hapa hamjaliona? Tatizo ni Dogo mno. Wenje Mjaluo wa Tanzania ila inasemekana uraia wake una utata na hata yeye aliwahi kukubali yaishe wakati wa kampeni na Mh. Lau Masha, upande wa pili Wenje anatoka Upinzani Kama ODM Huko Kenya Ila Issue hapa Raila Odinga Mjaluo Wenje nae Mjaluo Wote wapo upinzani kwenye Nchi zao Sasa kinachomumiza Moyo Mjaluo Wetu kwanini hakualikwa yeye na Omera mwenzake ili hali wote wapo Upinzani? Ni Hilo tu.Wenje yeye mwenyewe Mkenya Kukosa Mzee R A Mengi kukufadhili wala Ubunge usingepata
 
Tatizo hapa hamjaliona? Tatizo ni Dogo mno. Wenje Mjaluo wa Tanzania ila inasemekana uraia wake una utata na hata yeye aliwahi kukubali yaishe wakati wa kampeni na Mh. Lau Masha, upande wa pili Wenje anatoka Upinzani Kama ODM Huko Kenya Ila Issue hapa Raila Odinga Mjaluo Wenje nae Mjaluo Wote wapo upinzani kwenye Nchi zao Sasa kinachomumiza Moyo Mjaluo Wetu kwanini hakualikwa yeye na Omera mwenzake ili hali wote wapo Upinzani? Ni Hilo tu.Wenje yeye mwenyewe Mkenya Kukosa Mzee R A Mengi kukufadhili wala Ubunge usingepata


Umeamua kukaa 'uchi'adharani mkuu!!!!!??
 
Tatizo hapa hamjaliona? Tatizo ni Dogo mno. Wenje Mjaluo wa Tanzania ila inasemekana uraia wake una utata na hata yeye aliwahi kukubali yaishe wakati wa kampeni na Mh. Lau Masha, upande wa pili Wenje anatoka Upinzani Kama ODM Huko Kenya Ila Issue hapa Raila Odinga Mjaluo Wenje nae Mjaluo Wote wapo upinzani kwenye Nchi zao Sasa kinachomumiza Moyo Mjaluo Wetu kwanini hakualikwa yeye na Omera mwenzake ili hali wote wapo Upinzani? Ni Hilo tu.Wenje yeye mwenyewe Mkenya Kukosa Mzee R A Mengi kukufadhili wala Ubunge usingepata

Kumbeeee ! sikuwa najua Wenje ni Mjaluo but nakumbuka kipindi fulani alimkaribisha Nyadongo mwenzake aje pale Mwanza kufanya fund mobilisation kwa ajili ya ujenzi wa shule za msingi but Odinga hakutokea pengine hasira za Wenje sina hakika- Mh. Wenje pata picha hapa upate mzuka mwingine wa kutoa tamko:

ODM 3.JPG ODM 20.JPG
 

Attachments

  • ODM 2.JPG
    ODM 2.JPG
    1.3 MB · Views: 39
Ukinisoma vizuri, utaelewa tupo pamoja. Soma tena ujumbe wangu.....
Sikonge.. uhusiano wetu Tanzania utakuwaje ikitokea hawa wanaoambiwa kwamba hawawezi kusafiri nje ya nchi wakashinda na Magufuli akaendelea kuwa waziri katika Tanzania?
Huoni kwamba itakuwa ni jambo la ajabu na aibu na la kuhatarisha mahusiano yetu mema ya kimataifa ndani ya EA... Mfano wake ni Obama na Netanyahu na sasa Netanyahu aona aibu zake kumsogelea Obama ukizingatia kwamba alim- support Romney...inafaa hawa akina Magufuli na wengineo kama yule wa Zimbabwe wawe neutral full stop !
 
Mwaka jana Naibu Waziri wa Maendeleo wa Ujerumeni alikuja Tanzania,alichofanya yule waziri mhuni akakutana na wahuni wenzake na kufanya nao kikao hotel moja marangu kilimanjaro baada ya hapo ndio akataka kuonana na Serikali Membe aka mwambia uishie huko huko Chadema! hoja hapa Chadema mwaka huu ndio wametambua protocol za kidiplomasia? Hapa kelele zote ni unafiki tu wa kujikweza,kama hoja ni Magufuli kugombanisha Tanzania na Serikali ya Kenya mbona wao walimleta Naibu Waziri wa Ujerumani Kinyemela,hawakujua kuwa wanaigombanisha Ujerumani na Tanzania? Chadema ulimbukeni na Uchanga wa kisiasa unawasumbua! Afrika hatu hitaji vyama vya Kikabila matatizo ndio kama haya!
Huyu aliyeandika hapa juu naye ni great thinker kweli,
Hakuna sheria inayokataza kiongozi wa serikari nyingine kupewa mwaliko na serikari nyingine. Kiongozi anaweza akaenda nchi ya nje kwa mwaliko wa kiserikari au sio wa kiserikari, anaweza akaenda kama kiongozi, mtalii au mfanya biashara, hata mpelelezi. Kinachohojiwa ni vazi gani alivaa na amefanya nini kule. Magufuli alienda kama nani, waziri wa mambo ya nje? Au katibu wa mahusiano wa ccm?
 
Kweli bila CHADEMA Imara,Tanzania tutaharibu mahusiano yetu kimataifa bila sababu za msingi.Yaani juzi tu hapo Mzee Mkapa (M/kiti mstaafu wa ccm) alikuwa mjumbe wa kuhamasisha na kupatanisha makundi hasimu nchini Kenya lakini leo,Waziri Magufuri (ccm) anampigia upatu mgombea Wa chama fulani? Hata mkisema Magufuri alijituma binafsi haingii akilini labda angekuwa siyo public figure.Hongereni CHADEMA kwa kuwafunza ccm kuhusu siasa za kimataifa kwa maslahi ya usalama wa nchi.
 
Kweli bila CHADEMA Imara,Tanzania tutaharibu mahusiano yetu kimataifa bila sababu za msingi.Yaani juzi tu hapo Mzee Mkapa (M/kiti mstaafu wa ccm) alikuwa mjumbe wa kuhamasisha na kupatanisha makundi hasimu nchini Kenya lakini leo,Waziri Magufuri (ccm) anampigia upatu mgombea Wa chama fulani? Hata mkisema Magufuri alijituma binafsi haingii akilini labda angekuwa siyo public figure.Hongereni CHADEMA kwa kuwafunza ccm kuhusu siasa za kimataifa kwa maslahi ya usalama wa nchi.

Hivi kwa nini CDM hatukwenda/kuwakilishwa uzinduzi kampeni za ODM tunabaki kuunguruma kupitia JF! hii nia ibu ona jamaa picha zake ODM 18.JPG


ODM 6.JPG View attachment 74939 ODM 12.JPG
 

Attachments

  • ODM 5.JPG
    ODM 5.JPG
    911.4 KB · Views: 45
- Nimeona Mkurugenzi wa CHADEMA leo akidai maelezo kuhusiana na safari ya hivi karibuni ya Waziri wa CCM Magufuli huko Kenya na kuhusika na mikutano ya kampeni za Urais huko,

- Now kwenye hilo this time CHADEMA wapo on the right side of the coin, CCM itoe maelezo ya kina as to how and why Magufuli didi that, kwa sababu ieleweke kwamba Waziri wa Jamhuri anakuwa On Duty 24 hours akiwakilisha Jamhuri sasa alikwenda huko kuwakilisha Jamhuri au CCM?

- Ni muhimu Serikali ya CCM ikatoa maelezo sasa kabla haijageuka kuwa a big deal ni ishu ndogo sana ila ikiachwa itageuka kuwa kubwa na kutuumiza CCM, so CCM let's get the facts out now!

Es!

ODM 16.JPG ODM 17.JPG ODM19.JPG ODM 14.JPG View attachment 74948
 
Mimi naona kuna mpango wa siri wa Jumuiya ya kimataifa (Marekani na ulaya hasa) wa kukubaliana na Kibaki ili amuachie madaraka Odinga ili Kibaki aweze kupata kinga ya kutoburutwa the Hague kwa uhalifu wa mauaji ya wakenya kwenye uchaguzi uliopita. Vinginevyo sielewi kwa nini serikali ya Kibaki ikae kimya kwenye suala tata kama hilo.

CCM ni marafiki wakubwa wa Mugabe. Isingewezekana CCM kumruhusu Magufuli kukaa meza moja na Tsvangirai kufanya kampeni za mtazamo mmoja wa kisiasa kwani hiyo ingetoa picha Kwa Zimbabwe kwamba CCM lao moja na Tsvangirai.

Inaonekana CCM wamepata go ahead kutoka kwa Kibaki na pengine kuhitajiwa na mataifa ya magharibi kufanya hivyo ili kumuongezea nguvu Odinga.

Vyovyote vile itakavyokuwa, huu ni mchezo hatari sana kwa nchi yetu kwani tunaweka rehani ka nchi ketu haka masikini kwa kukaingiza kwenye michezo michafu ya siasa za kimataifa.

Kanchi masikini haka viongozi waandamizi wanapata wapi muda wa kwenda kupiga domo kaya kwenye nchi za watu ambazo ni tajiri kuliko sisi?
 
Nimegundua kuwa kwa bahati mbaya sana hukusikiliza hotuba ya Magufuli kwenye huo mkutano. Mimi nilimsikia angalau kidogo, na mongoni mwa mengi aliyoyasema alisema " .......Watanzania wangependa wewe Raila uwe rais wa Kenya baada ya uchaguzi wa March....." Ndiyo maana CDM wanauliza alitumwa na JK ama CCM. Hamna pa kutokea anapaswa kusema wazi.

Dah! Hapo kwenye
red; Ni kweli Magufuli alitamka hivyo? Kumbe alienda kwa niaba ya Taifa na sio safari ya kibinafsi kama baadhi ya magamba wanavyotaka kuzusha ili "kusawazisha" mambo. Kama hayo maneno yalitamkwa na Magufuli - Chadema wako sahihi; maelezo na ufafanuzi wa kina vinahitajika.
 
tena alikwenda na gari ya serikali ya Jamuhuri ya tanzania
 
Uvivu wa kufikiri, magufuli hakwenda kuiwakilisha CCM wala serikali, ameenda Kama mtu binafsi Huyu wenje Hana la kuongea tamko limekaa kimajungu majungu, yeye ndiye anatakiwa kuthibitisha iwapo magufuli alisema anaiwakilisha CCM au serikali. CHADEMA wa jipange kushughulika na issues waachane na individuals vinginevyo wanapoteza mwelekeo kwa sasa na kuchezeshwa Kama Joyce wowo sindimba ya CCM

inaonyesha hukumsikiliza magufuli,"magufuli alitamka serikali ya ccm iko pamoja na ODM , na pia ccm ipo kuhakikisha ina safisha kioo cha mbel ya gari ipite kama anavyofanya raila".haya matamshi hayawezi kuwa ya kimajungu, lazima yahojiwe, na waziri wa mambo ya nje anatakiwa kuzungumzia hili la ukiukwaji wa maazimiao ya un tamko la rome.Punguza propaganda chadema huwa hawakurupuki, waachie wanaojua siasa, kuliko unavyochambua mdau

 
inaonyesha hukumsikiliza magufuli,"magufuli alitamka serikali ya ccm iko pamoja na ODM , na pia ccm ipo kuhakikisha ina safisha kioo cha mbel ya gari ipite kama anavyofanya raila".haya matamshi hayawezi kuwa ya kimajungu, lazima yahojiwe, na waziri wa mambo ya nje anatakiwa kuzungumzia hili la ukiukwaji wa maazimiao ya un tamko la rome.Punguza propaganda chadema huwa hawakurupuki, waachie wanaojua siasa, kuliko unavyochambua mdau

Tafadhali naomba uweke hapa clip ya magufuli akisema kuwa CCM ipo pamoja na ODM, iwapo utathibitisha naomba mimi nipigwe ban ya mwezi na pia wewe ukishindwa upigwe BAN. Mie nilifatilia endosrsement ya RAILA kupitioa citizen TV on line kwa mahali nilipo, sikusikia magufuli akiitaja CCM mahali popote, kama ni ushabiki shabiki ni wewe unayekurupuka na kuchangia usichoelewa.

Magufuli yupo sahihi kwenda popote pale hata RWANDA kuhutubia mkutano wa Kagame, yeye ni mtu huru kama yeyote yule ana haki ya kuwa na rafiki na kumuunga mkono kwa lolote.

Ni unafiki kuamini kuwa tamko likitolewa na chama fulani cha SIASA either siku zote linakuwa sahihi au siku zote linakuwa sio sahihi, hapa ndi mantiki ya kuhoji na kupima kwa weledi inaibuka.
 
Tafadhali naomba uweke hapa clip ya magufuli akisema kuwa CCM ipo pamoja na ODM, iwapo utathibitisha naomba mimi nipigwe ban ya mwezi na pia wewe ukishindwa upigwe BAN. Mie nilifatilia endosrsement ya RAILA kupitioa citizen TV on line kwa mahali nilipo, sikusikia magufuli akiitaja CCM mahali popote, kama ni ushabiki shabiki ni wewe unayekurupuka na kuchangia usichoelewa.

Magufuli yupo sahihi kwenda popote pale hata RWANDA kuhutubia mkutano wa Kagame, yeye ni mtu huru kama yeyote yule ana haki ya kuwa na rafiki na kumuunga mkono kwa lolote.

Ni unafiki kuamini kuwa tamko likitolewa na chama fulani cha SIASA either siku zote linakuwa sahihi au siku zote linakuwa sio sahihi, hapa ndi mantiki ya kuhoji na kupima kwa weledi inaibuka.
hivi ni kipi kinachoshindikana kutoa ufafanuzi?sio dhambi kwa ccm au serikali ya ccm kumsupport raila ila tunataka kujua aliyetoa consent hiyo.kauli za namna hii zaweza kuipeleka nchi vitani ndio maana chadema na wananchi kwa ujumla wanahitaji ufafanuzi.
 
Uvivu wa kufikiri, magufuli hakwenda kuiwakilisha CCM wala serikali, ameenda Kama mtu binafsi Huyu wenje Hana la kuongea tamko limekaa kimajungu majungu, yeye ndiye anatakiwa kuthibitisha iwapo magufuli alisema anaiwakilisha CCM au serikali. CHADEMA wa jipange kushughulika na issues waachane na individuals vinginevyo wanapoteza mwelekeo kwa sasa na kuchezeshwa Kama Joyce wowo sindimba ya CCM

phd gani ambaye si mjuvi wa mambo muhimu ya sheria za nchi yake? Waziri yeyote anapotoa tamko maana yake serikali ndo imesema, hata kenya alienda kwa diplomatic passport hivyo 24 hrs yeye ni serikali na ndio maana mahali popote alipo anakuwa na ulinzi! Jipange hizo Phd zenu na Doctorate za kubumba jipangeni tena sanaaaaaaaaaaaa!
 
Back
Top Bottom