Field Marshall ES Kaa kimya bana, inatakiwa ifike mahali CHADEMA nao wachukuwe nchi, angalau kwa miaka mitano tu tuone kama wataweza au vp, kwani naamini watafanya mambo mengi makubwa ya kimaendeleo kwa kuhofia kunyang'anywa na CCM.
hivyo basi ili CCM ife, USIMUAMSHE ALIYELALA.
hivyo basi ili CCM ife, USIMUAMSHE ALIYELALA.