On Magufuli na Odinga: CHADEMA wapo sawa!

navomfaham magufur hakukurupuka tu-jamaa atakuwa na vifungu vinavomkinga
 
Siamini kama haya yanayofanyika ni ya mtu ninaye muamin kwamba ni makini kama mheshimiwa Magufuli.Lakini hata hivyo naye ameonekana kuchanganya mambo yasiyofanana kwa sabab ya presure za siasa.Yawezekana mbali na utaalam alio nao kuna jambo halielewi pale anapotakiwa kutoa matamko na maeneo husika.Kweli hili la Kenya jinsi alivyo bwana data ametumwa na Rais. Bahati mbaya kila akitumwa anakoroga.Kama mnakumbuka yeye amekuwa sabab ya kuvuliwa ubunge mheshimiwa Kafumu kule Igunga baada ya matamuko yake kwamba wakimchagua mtu mwingine tofauti na chama chake serikali haitajenga barabara au daraja.Kweli nimeamin hekima inapungua katika viongozi wa serikali yetu.:glasses-nerdy:
 
- Leo nimeona taarifa maalum ya Serikali ya Kenya kwamba Magufuli alialikwa rasmi na Odinga na ndiye aliyelipia gaharama zote za Magufuli kule, now kama muanzisha mada I am ok lakini bado Magufuli anahitaji kupewa darasa na CCM kuhusu this kind of unwanted attention kwa chama.

Es
 
Wakati mwingine mkubali CHADEMA ni kiboko

Jengeni hoja nyingine ya kukiamsha chama tawala ili kizidi kutekeleza ilani yake vizuri,kutafuta political credit kwa hili ni weak mno. Kama ni viboko mbona mnaishi nchi kavu na si majini?
 
- Leo nimeona taarifa maalum ya Serikali ya Kenya kwamba Magufuli alialikwa rasmi na Odinga na ndiye aliyelipia gaharama zote za Magufuli kule, now kama muanzisha mada I am ok lakini bado Magufuli anahitaji kupewa darasa na CCM kuhusu this kind of unwanted attention kwa chama.

Es

Tunataka majibu kutoka serikalini na sio kusoma habari za kenya.
Gharama si kitu, kuna maswali mengi ya kujibu.
  • Alikuwa likizo?
  • Alitumwa na nani?
  • Alikabidhi majikumu kabla ya kuondoka?
  • Na je Raila ni chaguo la CCM?
  • Akishindwa itakuwaje, chama kingine hakitapewa support kutoka Tanzania?
  • Kama hakuwa likizo nani alitoa ruhusa maana mshahara wake unaendelea kulipwa kwenye jasho letu kwa matumizi mabaya ya muda.

Penye makosa pakosolewe!
 
Tunataka majibu kutoka serikalini na sio kusoma habari za kenya.
Gharama si kitu, kuna maswali mengi ya kujibu.
  • Alikuwa likizo?
  • Alitumwa na nani?
  • Alikabidhi majikumu kabla ya kuondoka?
  • Na je Raila ni chaguo la CCM?
  • Akishindwa itakuwaje, chama kingine hakitapewa support kutoka Tanzania?
  • Kama hakuwa likizo nani alitoa ruhusa maana mshahara wake unaendelea kulipwa kwenye jasho letu kwa matumizi mabaya ya muda.

Penye makosa pakosolewe!

- Swali langu la msingi lilikuwa nani amelipia safari yake, mengine hayo uko sawa kabisa!!

Es!
 
- Swali langu la msingi lilikuwa nani amelipia safari yake, mengine hayo uko sawa kabisa!!

Es!
Amejilipia mwenyewe kwasababu ni safari binafsi ya kirafiki; malazi na chakula yalikarimiwa na ODM; kwa hiyo ondoa shaka hakuna hata senti moja ya walipa kodi iliyotumika.

Chama
Mongavyeru



Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom