Mnawalipa ninyi kina nani?
Nitashangaa sana kama utakuwa unamaanisha majukumu ya serikali ndio majukumu ya CCM, tofauti na hapo sioni CCM inasaidiwa vp
Hata wakisingizia kwamba alikwenda kwa nauli yake,je majukumu yake alimuachia nani?..............................loading.......................
sio mara ya kwanza kumuona magufuli kwa nikutano ya Raila nadhani wana urafiki maana hata Raila alishakuja kwa magufuli,
- Nimeona Mkurugenzi wa CHADEMA leo akidai maelezo kuhusiana na safari ya hivi karibuni ya Waziri wa CCM Magufuli huko Kenya na kuhusika na mikutano ya kampeni za Urais huko,
- Now kwenye hilo this time CHADEMA wapo on the right side of the coin, CCM itoe maelezo ya kina as to how and why Magufuli didi that, kwa sababu ieleweke kwamba Waziri wa Jamhuri anakuwa On Duty 24 hours akiwakilisha Jamhuri sasa alikwenda huko kuwakilisha Jamhuri au CCM?
- Ni muhimu Serikali ya CCM ikatoa maelezo sasa kabla haijageuka kuwa a big deal ni ishu ndogo sana ila ikiachwa itageuka kuwa kubwa na kutuumiza CCM, so CCM let's get the facts out now!
Es!
- Nimeona Mkurugenzi wa CHADEMA leo akidai maelezo kuhusiana na safari ya hivi karibuni ya Waziri wa CCM Magufuli huko Kenya na kuhusika na mikutano ya kampeni za Urais huko,
- Now kwenye hilo this time CHADEMA wapo on the right side of the coin, CCM itoe maelezo ya kina as to how and why Magufuli didi that, kwa sababu ieleweke kwamba Waziri wa Jamhuri anakuwa On Duty 24 hours akiwakilisha Jamhuri sasa alikwenda huko kuwakilisha Jamhuri au CCM?
- Ni muhimu Serikali ya CCM ikatoa maelezo sasa kabla haijageuka kuwa a big deal ni ishu ndogo sana ila ikiachwa itageuka kuwa kubwa na kutuumiza CCM, so CCM let's get the facts out now!
Es!........
Uvivu wa kufikiri, magufuli hakwenda kuiwakilisha CCM wala serikali, ameenda Kama mtu binafsi Huyu wenje Hana la kuongea tamko limekaa kimajungu majungu, yeye ndiye anatakiwa kuthibitisha iwapo magufuli alisema anaiwakilisha CCM au serikali. CHADEMA wa jipange kushughulika na issues waachane na individuals vinginevyo wanapoteza mwelekeo kwa sasa na kuchezeshwa Kama Joyce wowo sindimba ya CCM........
Uvivu wa kufikiri, magufuli hakwenda kuiwakilisha CCM wala serikali, ameenda Kama mtu binafsi Huyu wenje Hana la kuongea tamko limekaa kimajungu majungu, yeye ndiye anatakiwa kuthibitisha iwapo magufuli alisema anaiwakilisha CCM au serikali. CHADEMA wa jipange kushughulika na issues waachane na individuals vinginevyo wanapoteza mwelekeo kwa sasa na kuchezeshwa Kama Joyce wowo sindimba ya CCM........
- Hapana CCM hapa tuna kesi ya kujibu, Magufuli amekwenda huko kwa mgongo upi? Waziri wa Jamhuri, Mjumbe wa CCM, au Mtu binafsi, CCM ni lazima ithibitishe kwamba Magufuli amekwenda huko kwa nauli yake mwenyewe, hakulipiwa na Serikali wala CCM, na kwamba akiwa huko hakulipiwa anything na Serikali yetu wala ya Kenya, na CCM ni lazima iathibitishe kwamba ni kawaida kwa safari kama hizi kwa MAwaziri wetu kwa kuonyeshwa kuwa zimewahi kufanywa na mawaziri wengine pia!
- So baada ya majibu ya haya maswali kuna mengi ya nyongeza kutokana na majibu yatakayotolewa!!
Es!
Hivi CCM wakati inachagua mgombea wake wa Urais mwaka 2005 haikuwahi kuwatambulisha wawakilishi kutoka DRC, Angola na China? Kama ilifanya hivyo kuna tatizo gani kwa ODM kumtambulisha Magufuli. Halafu si juzi juzi hapa Ruto na Kenyatta walikaribishwa kwa Rais Kikwete. Hivi nongwa iko wapi hapo naomba kueleweshwa.
..........
Ruto na Kenyatta walionana na Rais Kikwete Ikulu katika ziara ya kiserikali kwa niaba ya serikali yao na hawakusimama majukwaani kwenye kampeni tofauti na alichofanya Magufuli. Mkuu hapo huoni tofauti?
Kwa habari ya wawakilishi kutoka DRC, Angola, China, n.k. kusimama kwenye kampeni za CCM sina hakika kama walikuwa viongozi wa kiserikali kutoka kwenye nchi zao zaidi ya kuwa viongozi wa kisiasa. Sidhani kwenye hoja iliyoko mezani angeenda Nape au Kinana ingekuwa issue sana japo pia kidiplomasia sio nzuri.
HATA HIVYO, kama hao wa kutoka DRC, Angola, China wangekuwa viongozi wa kiserikali kama ilivyo kwa Magufuli hii ndiyo hoja ya msingi wanayohoji CHADEMA na mleta mada - UNAHITAJIKA UFAFANUZI - KATUMWA NA NANI? Hili ndilo la msingi.
Uvivu wa kufikiri, magufuli hakwenda kuiwakilisha CCM wala serikali, ameenda Kama mtu binafsi Huyu wenje Hana la kuongea tamko limekaa kimajungu majungu, yeye ndiye anatakiwa kuthibitisha iwapo magufuli alisema anaiwakilisha CCM au serikali. CHADEMA wa jipange kushughulika na issues waachane na individuals vinginevyo wanapoteza mwelekeo kwa sasa na kuchezeshwa Kama Joyce wowo sindimba ya CCM