TUTUO
JF-Expert Member
- Dec 3, 2013
- 3,251
- 2,035
Sasa samaki x2 bila doo mtaendaje?Labda ni kwa sababu kwangu mapenzi ni zaidi ya money.
Sasa samaki x2 bila doo mtaendaje?Labda ni kwa sababu kwangu mapenzi ni zaidi ya money.
Haha yeah hela ndio kilainishi cha makali hapo, zikiwepo unaweza ukapewa kwa kigezo hiko tu. Hujamvutia kabisa but atleast you aren't broke!!!Hahaha yani ni either uwe na pesa au umekutana na ex wako...ndo kidogo unaweza kufikiriwa
Hata kama.
Basi bhana ndio ikawa ivoAmna basi tu kuna raha ukiwa unamtia demu asie na njaa af akawa anakupa penzi kama lote
Hahaaa!kaaah!Hahah umenikumbusha kuna bro wangu bhana ameoa anawatoto wawili akapata kimada kingine nje uko bhana siku moja akamuaga mke wake anaenda mahali ilikuwa jioni jioni akawasha zake gari huyo kumbe alikuwa anaenda kutambulishwa ukweni kwa kimada bhana hahaha kimada kikajua kimepata bwana kumne chenyewe ndio kimepatikana na mimba akapewa kumbe kimada mtaa anaokaa bro ndio baba ake anakaa huko ila yeye anakaa sehemu nyingine na bimkubwa wake sasa wanazengo wakayapata wacha wampigie mke wa bro (shemeji) wakamuweka chini wakamueleza kila kitu na alivyomtata sasa weee moto uliwaka na mzee wa kimada nae akaelezwa ukweli alaf mzee wa kimada ni mtu mkubwa aiseeee moto ukawa sehem zote [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]bro nyumban hakukaliki mtaani ndio usiseme [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]bro kakimbia nyumba maana mzee wakimada anamsaka alaf bro mjinga sana kumbe alidanganya kwa kimada wake kuwa mke wake ni shemeji yake yani mke wa kaka ake ambaye yuko mbele uko na wale watoto wake eet ni watotot wa kaka ake [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]aisee nilivyopewa hiii story baada ya kumuonea huruma nilicheka sana
Rafiki sasa hivi kuna usafiri rahisi kabisa wa basi kutoka Zanzibar kuja Dar!Lioneeeee[emoji57][emoji57][emoji57]
Jamani jamani.. nimejiona mimi hapo ambavyo Leo ingekua msiba kwanguSo Mzigua90 can you call this fair and square? Nimeamua kuvunja ukimya nasubiria jibu lake, nimeamua kuokoka na kua kijana mwemaView attachment 1087049
Jamani jamani.. nimejiona mimi hapo ambavyo Leo ingekua msiba kwangu
Ataumia ila atasahau taratibuUnaona, mda mwingine unaweza kuepusha mambo kama haya kwa kukaa kimyaView attachment 1087112
So mtusamehe kwa kweli
[emoji23][emoji23][emoji23]noma sanaHahaaa!kaaah!
Njoo basi nitembelee, si unajua dar vibaka walichonifanya[emoji13][emoji13][emoji13]Rafiki sasa hivi kuna usafiri rahisi kabisa wa basi kutoka Zanzibar kuja Dar!View attachment 1087033
Duuhh[emoji3][emoji16][emoji16][emoji23][emoji16]yuko wapi sasa hv kaka ako?!![emoji23][emoji23][emoji23]noma sana
Yuko kwake mkuuDuuhh[emoji3][emoji16][emoji16][emoji23][emoji16]yuko wapi sasa hv kaka ako?!!
Yuko kwake mkuu