In that case, let's use English instead....Kiswahili somo gum sana mkuu
Nilipata D yaani dada mambo ya tamathali za semi
Tabaini
Taklili
Tafsida
Tashtiti
Misemo na ngeli vinanipa shida sana
Mara stiani nknknk
Hii lugha balaa sana Mara vivumishi kisha vivumishi vya sifa, kisha vya majina kwa majina nk
[emoji3][emoji3][emoji3] I never get in love with my kiswahili
In that case, let's use English instead....
Hahah wacha niendele kufunga kwa maombi mpenzi, tutafika tu! Mungu ni mwema siku zoteFisi halafu nilimaanisha. Kukuvulia bado mpenzi
[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]alimjibu kisomi sana.Upuuzi kabisa. Jibu la dada wa taifa lilimnyamazisha lakini. Mwenzie hatumii K
haha tangu lini bakheresa akanuniwa. Shida hazi zoeleki.Aaah wapi... na pesa zako unapewa mkausho kawaida tu