Ombi: Unapomtokea Mwanamke Mueleze Ukweli

Ombi: Unapomtokea Mwanamke Mueleze Ukweli

Pambana na hali yakoooo kijana wacha ubazazi tulia na mkeo.....

Kuna mpuuzi mmoja wiki iliyopita alinitokea nilimuuliza una mke!! Akaanza kujiumauma nikamwambia usinichekee sitaki kuchekewa kwenye hili kama una mke sema ....akajibu ndio ninae lakini usimfikirie yeye jali kuhusu Mimi na wewe hiiiiiiiiii nikaona anataka kunitia ujinga nkamwambia hiyo biashara baba hapana we kaa na mkeo tu mambo yasiwe mengi
Sawa mkuu nimekuelewa.
 
Hii tabia unamtokea mtu unamdanganya uko single wakati una mke au mahusiano yenye furaha na amani ni UBINAFSI. Wewe utasema unanipenda kwa dhati ndio maana umeamua kunidanganya huwazi nitakavyoumia siku nikiujua ukweli?

Halafu utetezi wenu ni "Ooh bby nilijua nikikuambia ukweli utanikataa". Unaona kukukataa na kuniumiza moyo wangu Bora uniumize ili utimizie lengo lako?
Kwa dhati kabisa ya moyo wangu nawaomba mseme tu ukweli ili mtu ajue anajiingiza kwenye nini Kuliko unidanganye.

Mimi mwenyewe muhanga wa hili jambo na nilikua head over heals kwa huyu mkaka kumbe moyoni mwenzangu anajua kabisa mimi anapita ana mtu wake. Na baada ya kuujua ukweli akaanza kuniambia hana furaha na huyo mwanamke ananipenda mimi. Ila kwa jinsi nilivyompenda nilishindwa kuvumilia nikamwambia tuachane tu siwezi kukushare maan nilimwambia kama huna furaha achana nae uwe na mimi akashindwa. Niliumia mpaka nikaamsha vidonda vya tumbo siku hiyo namshukuru Mungu nimemove.

Rafiki yangu juzi tu kajua mtu aliempenda kwa mara ya kwanza toka apate akili ni mume wa mtu. Na alimdanganya eti hajaoa ana baby mama tu kumbe huyo baby mama ndio mkewe. Na alishamuuliza mwanzo akasema hana mahusiano ana mtoto tu ila yeye na baby mama hawana mahusiano. Mungu alivyo mwema last weekend wamekaa bar kaja mtu anaomba msamaha kwa jamaa kuwa alishindwa kuhudhuria harusi mbele ya rafiki yangu. Rafiki wa jamaa alivyondoka alimuapia rafiki yangu miungu yote kuwa hana mke na ndoa ilishindikana kufungwa halafu kwa sababu ya kijinga sijui kwanini rafiki yangu akamuamini. Sasa nikasikia tena jamaa kaoa nikamwambia rafiki yangu.
Kufupisha tu jamaa ni kweli ameoa na anaesema ni baby mama ndio mkewe nae utetezi wake hakutaka kusema alivyomuona rafiki yangu kwa kuwa aangemkataa ila anampenda.

Mwingine mpaka Pete kavalishwa na mchumba wa mtu na jamaa anaoa week ijayo anamuacha mwenzie na mtoto na aibu ya kupeleka mchumba ambae alikua na mtu mwingine.

Ukijijua huna mpango na mtu mwambie ukweli mtuepushie maumivu makubwa wengine kupenda kwetu kwa bahati tukipenda tunapenda kweli sasa kukaa na kugundua wewe ni side chick kwa bwana wa mtu inauma sana.

Samahanini kwa gazeti ila nimesisitiza na hivyo visa viwili kukazia maombi yangu kwenu. MTUONEE HURUMA na mioyo yetu.
Unaandika sana huku ukiwa huna point! Kiufupi ninyi msipodanganywa hamtoi papuchi zenu ndo maana pia huwa tunawabaka, wajinga sana nyie!
Mimi kila nnapo tongoza mwanamke kuomba mbunye kwa wanawake ambao wanajua nina mke huwa wananikatalia.. sasa kwa ni nisikudanganye wakati lengo langu ni kushare kiuno chako na changu. Pumabavu sana nyie..bora nikudanganye tu ili mradi nikupate hayo mengine mi hayanihusu.
 
Unaandika sana huku ukiwa huna point! Kiufupi ninyi msipodanganywa hamtoi papuchi zenu ndo maana pia huwa tunawabaka, wajinga sana nyie!
Mimi kila nnapo tongoza mwanamke kuomba mbunye kwa wanawake ambao wanajua nina mke huwa wananikatalia.. sasa kwa ni nisikudanganye wakati lengo langu ni kushare kiuno chako na changu. Pumabavu sana nyie..bora nikudanganye tu ili mradi nikupate hayo mengine mi hayanihusu.
Una akili timamu lakini?
 
Akishakudanganya hana malengo marefu na wewe! Lengo ni moja tuu, akukule tuu!

Hakuna kitu kibaya kama kumjeruhi mtu moyo kwa faida yako! Mwambie ukweli, akiamua kuwa na wewe awe na wewe akiwa anaujua ukweli!
 
Hahahaha kuna kitu kimoja ambacho wanaume Malaya wanacho na wale wasio Malaya hawana na kitu hicho ni very attractive to women..

They are so secure na wanajiamini sana hivo basi wanapenda bila wivu,wanajali bila kuwaza mara mbili mbili na wanapata taste za mbalimbali.

Mimi binafsi nikipata mchepuko wa ngono tu najikuta nampenda sana mwanamke wangu permanent...nikiwa sina kuna kaconfidence flan napoteza... meaning less attractive [emoji38][emoji38][emoji38].

Ukioa wanawake wengi wanakuona attractive ukiongeza na care za mke Tena ndo kabisaaaaaa very smart, charming,secure, confidence,comfortable
Mkuu hii ni kweli, ukioa wanawake wengi utamani kuwa na wewe. Nadhani kuna nguvu ya asili juu ya hili.
 
Back
Top Bottom