Hahahaha kuna kitu kimoja ambacho wanaume Malaya wanacho na wale wasio Malaya hawana na kitu hicho ni very attractive to women..
They are so secure na wanajiamini sana hivo basi wanapenda bila wivu,wanajali bila kuwaza mara mbili mbili na wanapata taste za mbalimbali.
Mimi binafsi nikipata mchepuko wa ngono tu najikuta nampenda sana mwanamke wangu permanent...nikiwa sina kuna kaconfidence flan napoteza... meaning less attractive [emoji38][emoji38][emoji38].
Ukioa wanawake wengi wanakuona attractive ukiongeza na care za mke Tena ndo kabisaaaaaa very smart, charming,secure, confidence,comfortable