Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,631
- 38,749
,[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] acha kuruka kiunzi..hapo umeulizwa relation status yako[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unaongelea nini?
,[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] acha kuruka kiunzi..hapo umeulizwa relation status yako[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unaongelea nini?
Hahaha bado sijampata wakuoaNdio unamuoa Mzigua90?
Na navyoskia biriani ni tamuu.... ngoja nishushe kilaji nikianza kampeni niwe nashuka tu.Tena hako kadanganye mpaka kakulishe biriani la Tabata....
Haha we mzee unahatari sanaTena hako kadanganye mpaka kakulishe biriani la Tabata....
astaghfirullahNa navyoskia biriani ni tamuu.... ngoja nishushe kilaji nikianza kampeni niwe nashuka tu.
Tatizo lugha zenu vijana ngumu sana[emoji23][emoji23][emoji23],[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] acha kuruka kiunzi..hapo umeulizwa relation status yako
Unajua nini Hawachi mie napokufuata unajua kabisa interest yangu ni mambo mawili, mahusiano ama kuvuana chupi. Sasa katika hayo mawili kuna moja ni jepesi kueleweka kuliko jingine kulingana na aina ya mwanamke hasa hilo la kuvuana chupi ambalo ndio main point.Endeleeni kucheka na ujanja wenu
Naomba avatar upandishe mpaka juu[emoji23][emoji23][emoji23]Mi nasubiri ukiwa single nitume maombi
Eeh mkuu, yeye awe mpole tu achekishie show!Hahah ni yeye tu na wasiwasi wake
We unaonekana unanyota ya kuwa na mahusiano na waume za wanawake wenzio, jiangalie usije ukaolewa kwa jamaa aliyeowaWanaume mna dhambi nyie acha tu, chuoni nilidate mume wa mtu for a year bila kujua, kuja kujua bila hata aibu analia kabisa eti nisimuache, i was like WTF[emoji134][emoji134][emoji134]
Kuna kipindi napo nusura nidate mume wa mtu, ila nafsi ilisita sana ikabidi nifanye uchungizi kwanza, ilinichukua miezi kama 7 kuja kugundua he is married. Utetezi wake "eti nilijua vile unawachukulia vibaya wanaume waliooa alafu wanaotoka nje ya ndoa zao hivyo usingenikubali na ungenidharau" yaani ndio nikamdharau maradufu.
Akili zao sojui kama ziko sawa na huwa zinawaza nini[emoji134][emoji134][emoji134]
Hahaha sawa sawa, unaonekana akili yako inacharge tofauti na nilivyokuwa nakuelewa awaliKwangu Mimi kunizidi siyo lazima, na akinizidi asinizidi zaidi ya miaka mitatu.
Si unajua vijana mambo mengi...,,zoea tu[emoji3]Tatizo lugha zenu vijana ngumu sana[emoji23][emoji23][emoji23]
Sawa dada nimekusikia sitakulwa tenaAkishakudanganya hana malengo marefu na wewe! Lengo ni moja tuu, akukule tuu!
Hakuna kitu kibaya kama kumjeruhi mtu moyo kwa faida yako! Mwambie ukweli, akiamua kuwa na wewe awe na wewe akiwa anaujua ukweli!
HahahahNawe uka fall kabisa into those cheap lies, kweli kila mjanja ana mjanja wake walahi [emoji23][emoji23][emoji23] na hakuna mwanamke mwepesi kudanganyika kama aliyependa
Kwa hiyo kama anataka nimpe anakuja na uwongo utakao niumiza hisia baadae.Acha bwana.
Sasa si unamwonea huruma jamani unampa?
Taabu sana.Si unajua vijana mambo mengi...,,zoea tu[emoji3]
Hahaha hahaha hahahaSawa dada nimekusikia sitakulwa tena