Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 23,521
- 70,349
Another corona overhype
Sijakupinga Ila nimecheka hilo la ulanguzi wa coronaKumbe wanaitwaje!? Kitu cha buku kinauzwa 13,000/=! Kitu y jelo (500) kinauzwa 5,000/=!
Unaitaje hiyo?
Black bandana yangu inanitoshaKitambaa kama bandana kinatosha.
pac ya 20 ni zaidi ya sh 130000Hizo nadhani msd wanauza 16000 pack ya 10
Nimezungumzia surgical mask sio N95pac ya 20 ni zaidi ya sh 130000
by the way hizi barakoa za N 95 waachiwe wataalamu wa afya wanaokutana na wagonjwa