OMBI: Serikali idhibiti bei kwenye vifaa vya kujikinga na kupambana dhidi ya Virusi vya Corona

Ishomile Wawili,
Hayo unasema yapo sawa kiasi! Tatizo ni kwamba huwezi jua kama umeambukizwa mpaka baada ya siku 11! Na huwezi jua jirani yako kama ameambukizwa mppaka aanze onyesha dalili siku 11 baadae!

Cha kutisha zaidi, hata kabla hujajua kama umeambukizwa kwa kuanza kuhisi dalili bado unaweza ambukiza wengine! Kwa hiyo uvaaji wa mask siyo kitu cha beza hata kama unahisi upo fit, ili kujilinda na kuwalinda wengine!

Kwa bahati mbaya hawa jamaa nao ndio wanakamatia hapohapi kwa kupandisha bei!
 
Hizo mask mnavaa za nini? Mbona mnakuwa wajinga sana!

Yaani sijui ni ulimbukeni? au ni ujinga tu uliosababishwa na madhara ya shule za kata!?

Hakuna mtu anayehitaji kuvaa mask! Just be clean and wash your hands with water! Inatosha.
Hapana, kwenye msongamano wa watu, mask ni muhimu kuliko maelezo! Lakini kama upo nyumbani tu au ofisini tu na hautumii usafiri wa jumuia(public transport), sawa hauhitaji! Lakini kama ni kinyume cha hayo basi unahitaji sana tu ujikinge kwa mask!

Nafikiri badara ya kununua mask, tununueni lesso/ vitambaa vya mkononi, kunja kwa ulefu uweke malinda, weka rubber band pembeni, kunjia kwenye rubber band pembeni, kisha piga pin!

Utakuwa na mask unayoweza ifua na kuipiga pasi! Sanitizer, nenda kachukue jik uchanganye na maji kwa uwiano wa....!
 
Watanzania ni watu wa ajabu sana janga kama hili unakuta MTU ndiyo anataka atajirike....huu ni unyama,Jana jamaa YANGU kaenda huko posta DSM anataka kununua box LA musk hizi za kujikinga kuuliza bei anaambiwa kwa sasa musk moja inauzwa shilingi 8000/=,wakati mwanzo ziliuzwa 500/= yaani ni shida sana hapa ubinaadamu hakuna kabisa.

Unapandisha bei ya bidhaa wakati hilo janga linaweza likakutafuna hiyo faida kubwa sijui utailia akhera,serikali iweke mkazo kwenye hili LA sivyo itakuwa ni maafa ya kutisha.
Umeona eeh! Kwa bei ya 8000 kwa disposable mask 1 maana yake anatafuta faida ya laki saba na 50 elfu (750,000/=) kwa box moja lenye mask 100! Eeeh hii kweli kufa kufaaana!
 
Dam55,
Mie nafikiri mafundi cherehani wachangamkie fursa! Wakachue majola ya blue na kijani wakate na kutengeneza mask! Wakachue raba band washonee mask 'reusable'! Hata wakiuza kwa 500 bado watapata faida ya kufa mtu!
 
Hero,
Acheni kukuza jambo hili sana ni miezi miwili iyopita nimewai pata mafua,kikohozi na homa Kali pamoja na dawa za mafua pia nilitumia mseto bila kupima nikidhan labda malaria wapi,ndipo nikachukua limau,chumvi kidogo ,tangawizi na kitunguu swahum Mkuu in 24 hrs nilikua fresh mungu shaidi.

Ingekua ni wakati huu wa tatizo lililopo ,aki ya mungu ningetengwa kusubili vipimo
So nilipo dalili kuu la hii kitu mpaka bado najiuliza
 
Acheni kukuza jambo hili sana ni miezi miwili iyopita nimewai pata mafua,kikohozi na homa Kali pamoja na dawa za mafua pia nilitumia mseto bila kupima nikidhan labda malaria wapi,ndipo nikachukua limau,chumvi kidogo ,tangawizi na kitunguu swahum Mkuu in 24 hrs nilikua fresh mungu shaidi
Ingekua ni wakati huu wa tatizo lililopo ,aki ya mungu ningetengwa kusubili vipimo
So nilipo dalili kuu la hii kitu mpaka bado najiuliza
Sawa, wengi watakuwa walishaugua covid19 na kupona bila kujua!
 
Hapana, kwenye msongamano wa watu, mask ni muhimu kuliko maelezo! Lakini kama upo nyumbani tu au ofisini tu na hautumii usafiri wa jumuia(public transport), sawa hauhitaji! Lakini kama ni kinyume cha hayo basi unahitaji sana tu ujikinge kwa mask! Nafikiri badara ya kununua mask, tununueni lesso/ vitambaa vya mkononi, kunja kwa ulefu uweke malinda, weka rubber band pembeni, kunjia kwenye rubber band pembeni, kisha piga pin! Utakuwa na mask unayoweza ifua na kuipiga pasi! Sanitizer, nenda kachukue jik uchanganye na maji kwa uwiano wa....!
Hakuna corona yoyote. Ni kiherehere tu ndicho kimewajaa.
 
CalvinPower,
hao wamiliki wa hizo kilimanjaro, MARENGA na rafiki ni walanguzi wa siku nyingi, wanaudha bidhaa nyingi zilizokwisha muda wake , wanakwepa kodina TRA wakitaka ushahidi na namna inavyokwepa tutawapa.walau HIGH WAY ya Mzee kimaryo ndio wapo fair, let see kama serikali itachukua hatua
 
Hakuna mamlaka husika ya kushughulikia hii kadhia? DC ataingia maduka mangapi.
 
Back
Top Bottom