white wizard
JF-Expert Member
- May 18, 2011
- 8,315
- 13,281
Na kesho nadhani ataonekana na kipala sio tena panki!!!Ningekua mm ndo sabaya ningegoma kwenda...nmeshakula mvua 30 halafu niende tena kufanya nini
Na kesho nadhani ataonekana na kipala sio tena panki!!!Ningekua mm ndo sabaya ningegoma kwenda...nmeshakula mvua 30 halafu niende tena kufanya nini
Nadhani itakuwa hivyo hivyo tu, kwani hiyo nyingine haiwezi kuwa na adhabu zaidi ya miaka 30, hivyo lazima atatumikia hiii tu!!Mimi nilijua atatumikia ile adhabu yenye kifungo kikubwa
Mtu mmoja anipe mawasiliano ya Nyampara wa Sabaya nimpe kazi maalumMaaamaaaayeeeeeee!
Hapumzishwi, watamnyeshea mvua iwe fundisho, kwa wengine, ukipewa cheo usijisahau SANA. Iko siku watakunyang'anya na kukufilimba.
Everyday is Saturday................................
Kile kisengerema kilijisikia sana maa.mae. Acha kinyee kwemye ndoo na bebi wake anyee kwenye naniliu za malegendareMaaamaaaayeeeeeee!
Hapumzishwi, watamnyeshea mvua iwe fundisho, kwa wengine, ukipewa cheo usijisahau SANA. Iko siku watakunyang'anya na kukufilimba.
Everyday is Saturday................................
Samahani ila wewe bado mtoto mdogo sana ila sikulaumu unaendelea kujifunza. Hapo kila mmoja ni 30 yearsNapenda kujuwa wako watatu miaka 30, kila mmoja, au wanagawana miaka10 kila? Na iwapo wanagawana wangekuwa waliohukumiwa kwa kesi hiyo wapo thelathini, inamaana kila mmoja mwaka mmoja! Na kama 60 basi miezi sita?
Halafu hicho kiswahili alichoandika sasa!!!! Duh!!! Kazi ipo!!We chaliiinimecheka sana arifu
Kazi iendeleeMfungwa wa kifungo cha miaka 30 kwa unyang’anyi wa kutumia silaha, Lengai Ole Sabaya na wenzake 6, kesho 18/10/2021, watarejea tena Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha kusikiliza kesi nyingine ya uhujumu uchumi yenye mashtaka ya kuendesha genge la uhalifu, utakatishaji fedha na uhujumu uchumi.
Mwambie agome aone voboko atakavyopigwa mpaka tako lipasukeNingekua mm ndo sabaya ningegoma kwenda...nmeshakula mvua 30 halafu niende tena kufanya nini
Haya mambo hutokea sana hata kwenye nchi zilizoendelea. Tafuta habari za Jeffrey Epstein, Bill Cosby na Harvey Weinstein.Hivi kumbe huwa ni kweli etiee!! Mbabe akishakamatiwa chini ndipo wanyonge wake huinuka ghafla ili walao wapigepo japo kakofi au hata wamtemee mate??? Teh-Teh Teh Khaaaaaaaaa.
Kuna jera na guest🤣🤣
hahahaHilo shtaka la kuendesha genge la uhalifu naona tayari ameshahukumiwa kabla hata kesi haijaanza kusikilizwa, wale wenzake aliohukumiwa nao juzi ndio genge lenyewe na walikuwa wanavamia maeneo ya watu ni ushahidi tu uwekwe sawa, hapo yamebaki mawili, kutakatisha fedha, na uhujumu uchumi.
Ningekua mm ndo sabaya ningegoma kwenda...nmeshakula mvua 30 halafu niende tena kufanya nini
Naona umeanza tabia kama zake! Yakikufika utajua hujui!Huyu kijana Sabaya kweli alikuwa na maadui wengi, mitandao yote watu wanafurahia adhabu aliyopata huyu jamaa najiuliza kawafanyia nini lakini, huo sio ubinadamu kabisa
Mwambie agome aone voboko atakavyopigwa mpaka tako lipasuke
😁😁😁Maaamaaaayeeeeeee!
Hapumzishwi, watamnyeshea mvua iwe fundisho, kwa wengine, ukipewa cheo usijisahau SANA. Iko siku watakunyang'anya na kukufilimba.
Everyday is Saturday................................
Uku nondo kule kuniAnaraha kesi yake iko otomatiki,tayari imeziirika anagenge la uhalifu...manake uhalifu nayo imepita aikatai ndohuo kafanya hilo genge halikuwa lakusali, alivyoufanya niwakudai rushwa na hiyorushwa ni ili kodi isilipwe manake katakatisha fweza!! Kilakitu kinafloo otomaa jombaa kwaiyo anakula tena nyingi... iikesi haina aja ya wakili wasirkali itawapotezea muda wachkue kichaa oote apochuga iokoe muda naela.
Dingilai alomtuma nae nimakuni zinaongezwa arif!! Tukaege kirosafi hii dunia sioetu atii ukipewa ofisi tuliaga apondichi usijiinue kiniaje machalii simnaona hii njeree inaongezewa minondo,huku nondo Kule kuni
Genge Darisalama NDANIHilo shtaka la kuendesha genge la uhalifu naona tayari ameshahukumiwa kabla hata kesi haijaanza kusikilizwa, wale wenzake aliohukumiwa nao juzi ndio genge lenyewe na walikuwa wanavamia maeneo ya watu ni ushahidi tu uwekwe sawa, hapo yamebaki mawili, kutakatisha fedha, na uhujumu uchumi.