Kirumberumbe
JF-Expert Member
- Mar 28, 2017
- 982
- 1,158
Kwa nini mkuu? Usimwombee hilo aisee hata kama mlipishana mahali. Kwani walioko huko jela sio watu??! Kwanza yy ni kijana barubaru bado.Huyu mbwa atafia jela
Kwa nini mkuu? Usimwombee hilo aisee hata kama mlipishana mahali. Kwani walioko huko jela sio watu??! Kwanza yy ni kijana barubaru bado.Huyu mbwa atafia jela
Hujui power ya askari jela mkuu sikia tu waone kama wajinga wakiwa nje ya ngome usisikie ndugu acha kabisaaa.....majambazi wakorofi hutulizwa na kuwa wapole kama wachumba....acha kabisaa.....wakiamua wanapiga wale hadi huwa wanaua....wanapiga vibaya sana...usikie tu...Unapigwa miaka 5 ya kufanya fujo gerezan na kukaidi amri halali.
Halfu utaenda mahakamani kwa lazima
Hivi kumbe huwa ni kweli etiee!! Mbabe akishakamatiwa chini ndipo wanyonge wake huinuka ghafla ili walao wapigepo japo kakofi au hata wamtemee mate???😳 Teh-Teh Teh Khaaaaaaaaa.Kuna uwezekano wa kufunguliwa kesi nyingine nyingi za jinai kwa tuhuma zilizofanyika Hai na Kilimanjaro kwa ujumla.
Kama yanayoandikwa kwenye mitandao ni kweli na walalamikaji au wahanga wa vitendo hivyo wakaendelea kufuatilia, atafunguliwa mashitaka mengine bado.
Hakuna kitu hapo.Ivi hichi kitambulisho cha Sabaya kinachotembea mitaondaoni cha TISS, undercover, kazi maalum, ukweli wake ukoje hasa.
JESUS IS LORD!
Unaongelea baba yake mzazi? Dogo alifuata nyayo kiaina. FuatiliaIshi vizuri na watu wakubebe wakati wa shida.Baba yake akumfundisha falsafa hii.
Raia wengi ni masikini wa mali na fikra. Hali hiyo huwafanya wawe waoga na ukizingatia Sabaya alikuwa na nguvu ya madaraka yake kwa wakati huo.Hivi kumbe huwa ni kweli etiee!! Mbabe akishakamatiwa chini ndipo wanyonge wake huinuka ghafla ili walao wapigepo japo kakofi au hata wamtemee mate???😳 Teh-Teh Teh Khaaaaaaaaa.
We nae boya tu kama hufuatiliagi mamboHuyu kijana Sabaya kweli alikuwa na maadui wengi, mitandao yote watu wanafurahia adhabu aliyopata huyu jamaa najiuliza kawafanyia nini lakini, huo sio ubinadamu kabisa
Kumbe na nyie mnajua kua Mbowe Ni mkubwaHii kesi ya Mbowe sio ya kuichukulia poa. Maana kwenye criminal cases burden of proof lies na prosecution. Ni lazima wa proof beyond reasonable doubts all the allegations against him. Kwa jinsi international community in TZ inavyofatilia hii case....kama haitakuwa judged on merit....wakamfunga say like Sabaya (known criminal in society) inaweza kuleta hata sanctions. Ni jambo la ajabu sana kusema eti ku marinate aisee! Sielewi
inawezekana ikawa kweli.ila hyo sio kingaIvi hichi kitambulisho cha Sabaya kinachotembea mitaondaoni cha TISS, undercover, kazi maalum, ukweli wake ukoje hasa.
JESUS IS LORD!
Nope haijumlishwi Zina enda sambamba.Ndo inakuwa hivyo??sio inajumlishiwa?
Jitahidi kujua hayo wanayosema Kama kweli au si kweli utapata majibu then unaweza kuchagua upande wako!Huyu kijana Sabaya kweli alikuwa na maadui wengi, mitandao yote watu wanafurahia adhabu aliyopata huyu jamaa najiuliza kawafanyia nini lakini, huo sio ubinadamu kabisa
Mwendazake alikuwa dhalimu sana....Hicho kilishajulikana kuwa ni fake. Ilikua wakati akiwa UVCCM. Kabla hajafikishwa mahakamani kujibu kufoji hicho kitambulisho, Mwendakuzimu akamteua kuwa DC, kitu kilichompa kichwa kuanzia wakati huo.