Ogopa sana kifaa kinachoitwa “Wireless Speaker”

Ogopa sana kifaa kinachoitwa “Wireless Speaker”

Wanye akili zakungamua mafumbo tumekusoma mkuu. Hapa umewapiga wengi chenga ya mwili. Yaelekea wewe ni nguli wa mafumbo mkuu. Tumekuelewa hapa hata ukinaswa kwa makoso ya mtandao hata akim unampiga K.O
 
Habalini Wanajanvi.

Zamani zile kabla Tekinolojia haijakua sana hakukua na hizi Wireless Spika zenu za sasa, yaani ili mziki usikike basi Mitambo ilikua ni lazima iunganishwe na Spika kwa kutumia Nyaya.

Sasa siku hizi Spika za kisasa Haziunganishwi kwa Nyaya tena, zinaunganishwa kwa mifumo ya Wireless kama vile mfumo wa Blutooth, au Wi-Fi n.k.

Tatizo la hizi Wireless Spika ni kua zinaweza kuingiliwa na Mitambo tofauti na hivyo Msikilizaji akajikuta anasikiliza mziki usio wa Mitambo yake. Kwa mfano, Spika inaweza kua Dodoma lakini ikaingiliwa ki Blutooth au Ki Wi-Fi na Mitambo iliyopo Dar na hivyo Msikilizaji akajikuta anacheza Mziki wa Dj wa Dar.
Zamani haikua hivyo yaani kama Spika ipo Dodoma basi Msikilizaji atausikia Mziki wa Mitambo ya Dodoma, maana hakukua na njia ya ki Wireless kuunga Mitambo ya Mbali kama ilivyo Leo.

Zamani ilikua Spika ya Dodoma, Mitambo ya Dodoma na Mziki wa Dodoma.

Leo hii ni Spika ya Dodoma, Mitambo ya Dar na Mziki wa Dar.

Kweli Tekinolojia inakuja na Mambo Mapya.
Umetisha, hl n fumbo, ukikurupuka unaingia shimoni. Agiza togwa mtoa mada, nakuja kulipa fasta.
 
Habalini Wanajanvi.

Zamani zile kabla Tekinolojia haijakua sana hakukua na hizi Wireless Spika zenu za sasa, yaani ili mziki usikike basi Mitambo ilikua ni lazima iunganishwe na Spika kwa kutumia Nyaya.

Sasa siku hizi Spika za kisasa Haziunganishwi kwa Nyaya tena, zinaunganishwa kwa mifumo ya Wireless kama vile mfumo wa Blutooth, au Wi-Fi n.k.

Tatizo la hizi Wireless Spika ni kua zinaweza kuingiliwa na Mitambo tofauti na hivyo Msikilizaji akajikuta anasikiliza mziki usio wa Mitambo yake. Kwa mfano, Spika inaweza kua Dodoma lakini ikaingiliwa ki Blutooth au Ki Wi-Fi na Mitambo iliyopo Dar na hivyo Msikilizaji akajikuta anacheza Mziki wa Dj wa Dar.
Zamani haikua hivyo yaani kama Spika ipo Dodoma basi Msikilizaji atausikia Mziki wa Mitambo ya Dodoma, maana hakukua na njia ya ki Wireless kuunga Mitambo ya Mbali kama ilivyo Leo.

Zamani ilikua Spika ya Dodoma, Mitambo ya Dodoma na Mziki wa Dodoma.

Leo hii ni Spika ya Dodoma, Mitambo ya Dar na Mziki wa Dar.

Kweli Tekinolojia inakuja na Mambo Mapya.
Nikupongeze tu kwa fasihi yako nzuri. Nzuri sana kwa watakaoelewa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unanikumbusha mwaka flani nkiwa Dom nina TV yangu ya Samsung flat ina program ya FM TRANSIMITTER so nlikua naset nasikilizia mziki kwenye redio.

Sa si unajua kuna siku mejisahau meweka nyimbo kwenye redio nachek zangu "Blue" kwenye TV kumbe kuna jirani anatafuta frequency ya redio yake, si akanasa masauti ya Gemu akawa anajiuliza hio ni redio gani mara akaanza kuwaita majirani waje kusikiliza hio redio na mimi nikatoka kwenda kusikia nlijikausha nliporudi kwangu nikazima hicho kiprogram.

Kidogo niaibike.

Sent using Jamii Forums mobile app
we jamaa umeniabisha nimecheka kwenye daladala hadi abiria wote wananishangaa
 
Habalini Wanajanvi.

Zamani zile kabla Tekinolojia haijakua sana hakukua na hizi Wireless Spika zenu za sasa, yaani ili mziki usikike basi Mitambo ilikua ni lazima iunganishwe na Spika kwa kutumia Nyaya.

Sasa siku hizi Spika za kisasa Haziunganishwi kwa Nyaya tena, zinaunganishwa kwa mifumo ya Wireless kama vile mfumo wa Blutooth, au Wi-Fi n.k.

Tatizo la hizi Wireless Spika ni kua zinaweza kuingiliwa na Mitambo tofauti na hivyo Msikilizaji akajikuta anasikiliza mziki usio wa Mitambo yake. Kwa mfano, Spika inaweza kua Dodoma lakini ikaingiliwa ki Blutooth au Ki Wi-Fi na Mitambo iliyopo Dar na hivyo Msikilizaji akajikuta anacheza Mziki wa Dj wa Dar.
Zamani haikua hivyo yaani kama Spika ipo Dodoma basi Msikilizaji atausikia Mziki wa Mitambo ya Dodoma, maana hakukua na njia ya ki Wireless kuunga Mitambo ya Mbali kama ilivyo Leo.

Zamani ilikua Spika ya Dodoma, Mitambo ya Dodoma na Mziki wa Dodoma.

Leo hii ni Spika ya Dodoma, Mitambo ya Dar na Mziki wa Dar.

Kweli Tekinolojia inakuja na Mambo Mapya.
Imebidi nisome mara mbili ili nielewa hizi speaker!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ngoja tuendelee kula mtori, nyama tutazikuta chini........katiba ingekuwa kimya kuhusu sieiji saizi mtani wangu Msigwa angekuwa kwenye kiibodi
 
Back
Top Bottom