Ogopa sana kifaa kinachoitwa “Wireless Speaker”

Ogopa sana kifaa kinachoitwa “Wireless Speaker”

Habalini Wanajanvi.

Zamani zile kabla Tekinolojia haijakua sana hakukua na hizi Wireless Spika zenu za sasa, yaani ili mziki usikike basi Mitambo ilikua ni lazima iunganishwe na Spika kwa kutumia Nyaya.

Sasa siku hizi Spika za kisasa Haziunganishwi kwa Nyaya tena, zinaunganishwa kwa mifumo ya Wireless kama vile mfumo wa Blutooth, au Wi-Fi n.k.

Tatizo la hizi Wireless Spika ni kua zinaweza kuingiliwa na Mitambo tofauti na hivyo Msikilizaji akajikuta anasikiliza mziki usio wa Mitambo yake. Kwa mfano, Spika inaweza kua Dodoma lakini ikaingiliwa ki Blutooth au Ki Wi-Fi na Mitambo iliyopo Dar na hivyo Msikilizaji akajikuta anacheza Mziki wa Dj wa Dar.
Zamani haikua hivyo yaani kama Spika ipo Dodoma basi Msikilizaji atausikia Mziki wa Mitambo ya Dodoma, maana hakukua na njia ya ki Wireless kuunga Mitambo ya Mbali kama ilivyo Leo.

Zamani ilikua Spika ya Dodoma, Mitambo ya Dodoma na Mziki wa Dodoma.

Leo hii ni Spika ya Dodoma, Mitambo ya Dar na Mziki wa Dar.

Kweli Tekinolojia inakuja na Mambo Mapya.
Dj jiwe on one and two, paired spika Dungai.
 
Daah’mkuu umetisha sana..


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
:p@Nyamsusa JB!! NIMEKUKUBALI KWA UANDISHI WAKO HUU WA "KIFASIHI" . NATHUBUTU KUSEMA NI AKILI KUBWA TUU ZITAKAZO KUELEWA. BIG UP


Habalini Wanajanvi.

Zamani zile kabla Tekinolojia haijakua sana hakukua na hizi Wireless Spika zenu za sasa, yaani ili mziki usikike basi Mitambo ilikua ni lazima iunganishwe na Spika kwa kutumia Nyaya.

Sasa siku hizi Spika za kisasa Haziunganishwi kwa Nyaya tena, zinaunganishwa kwa mifumo ya Wireless kama vile mfumo wa Blutooth, au Wi-Fi n.k.

Tatizo la hizi Wireless Spika ni kua zinaweza kuingiliwa na Mitambo tofauti na hivyo Msikilizaji akajikuta anasikiliza mziki usio wa Mitambo yake. Kwa mfano, Spika inaweza kua Dodoma lakini ikaingiliwa ki Blutooth au Ki Wi-Fi na Mitambo iliyopo Dar na hivyo Msikilizaji akajikuta anacheza Mziki wa Dj wa Dar.
Zamani haikua hivyo yaani kama Spika ipo Dodoma basi Msikilizaji atausikia Mziki wa Mitambo ya Dodoma, maana hakukua na njia ya ki Wireless kuunga Mitambo ya Mbali kama ilivyo Leo.

Zamani ilikua Spika ya Dodoma, Mitambo ya Dodoma na Mziki wa Dodoma.

Leo hii ni Spika ya Dodoma, Mitambo ya Dar na Mziki wa Dar.

Kweli Tekinolojia inakuja na Mambo Mapya.
 
Hahaha, Watanzania kila wafanyalo au watendalo lazima waweke siasa, sasa hapa mambo ya Lumumba yamekujaje??

Hizo zisizo kuwa na password zitatoa sauti ya kukujuilisha kuwa kuna kifaaa kinataka kuongea(comunicate) na kifaa chako, yote hayo ni kwasababu ya kuzuia mambo uliypyazyngumza yasitokee

Acha kuongopea watanzania..
Mkuu hapa tupo kwenye siasa 100% au umekosea njia!!?
Pili sio lazima iku alert sijuwi kama ulisha wahi kutumia microphone wireless !!?
 
Unamanisha magufuli ndio anasikilizwa dodoma? Kuhusu sakata la CAG?
 
Mkuu hapa tupo kwenye siasa 100% au umekosea njia!!?
Pili sio lazima iku alert sijuwi kama ulisha wahi kutumia microphone wireless !!?
Kweli mkuu nimekosea njia, nahau zimenipita, kumbe mnaomgelea. Spika zileee, dah!! Samahanini sana
 
Umegundua kila kinachofanywa na supika iliyoathirika kinatoka dar ,aisee wireless ni noma ,ila washamba na malimbukeni mbinu zao ni za kishamba sana na kiwango cha chini sana .
 
Habalini Wanajanvi.

Zamani zile kabla Tekinolojia haijakua sana hakukua na hizi Wireless Spika zenu za sasa, yaani ili mziki usikike basi Mitambo ilikua ni lazima iunganishwe na Spika kwa kutumia Nyaya.

Sasa siku hizi Spika za kisasa Haziunganishwi kwa Nyaya tena, zinaunganishwa kwa mifumo ya Wireless kama vile mfumo wa Blutooth, au Wi-Fi n.k.

Tatizo la hizi Wireless Spika ni kua zinaweza kuingiliwa na Mitambo tofauti na hivyo Msikilizaji akajikuta anasikiliza mziki usio wa Mitambo yake. Kwa mfano, Spika inaweza kua Dodoma lakini ikaingiliwa ki Blutooth au Ki Wi-Fi na Mitambo iliyopo Dar na hivyo Msikilizaji akajikuta anacheza Mziki wa Dj wa Dar.
Zamani haikua hivyo yaani kama Spika ipo Dodoma basi Msikilizaji atausikia Mziki wa Mitambo ya Dodoma, maana hakukua na njia ya ki Wireless kuunga Mitambo ya Mbali kama ilivyo Leo.

Zamani ilikua Spika ya Dodoma, Mitambo ya Dodoma na Mziki wa Dodoma.

Leo hii ni Spika ya Dodoma, Mitambo ya Dar na Mziki wa Dar.

Kweli Tekinolojia inakuja na Mambo Mapya.

Huu ujumbe unashabiana na mfumu wa uongozi katika nchi hii.
Unaweza ikawa polisi wanacheza muziki wa DJ ngazi za juu.
Mahakama pia inacheza muziki wa DJ toka LUMUMBA
Bunge na spika DJ huyo huyo
 
Back
Top Bottom