Ogopa sana kifaa kinachoitwa “Wireless Speaker”

Ogopa sana kifaa kinachoitwa “Wireless Speaker”

Mimi sijamuelewa kabisa, Spika ya Dodoma na muziki wa Dar!! Hahaahaaaaaaa yaani nimekaa sijalala, natafakari ya kamati ya mnyakyusa mnyamwezi sijapata jibu. Kweli ukaa na mwizi lazima utakuwa mwizi tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Rudi tena huenda ukawa umeshaelewa

Sent from my Redmi S2 using Tapatalk
 
Mkuu inahitaji utulivu..usikurupuke kudandia kuchangia..unaweza kuingia mtaroni.
Inawezekana kaelewa ila ni kujitia ujuba ili ionekane haelewi wireless speaker inayozungumziwa ili kuua soo
 
Habalini Wanajanvi.

Zamani zile kabla Tekinolojia haijakua sana hakukua na hizi Wireless Spika zenu za sasa, yaani ili mziki usikike basi Mitambo ilikua ni lazima iunganishwe na Spika kwa kutumia Nyaya.

Sasa siku hizi Spika za kisasa Haziunganishwi kwa Nyaya tena, zinaunganishwa kwa mifumo ya Wireless kama vile mfumo wa Blutooth, au Wi-Fi n.k.

Tatizo la hizi Wireless Spika ni kua zinaweza kuingiliwa na Mitambo tofauti na hivyo Msikilizaji akajikuta anasikiliza mziki usio wa Mitambo yake. Kwa mfano, Spika inaweza kua Dodoma lakini ikaingiliwa ki Blutooth au Ki Wi-Fi na Mitambo iliyopo Dar na hivyo Msikilizaji akajikuta anacheza Mziki wa Dj wa Dar.
Zamani haikua hivyo yaani kama Spika ipo Dodoma basi Msikilizaji atausikia Mziki wa Mitambo ya Dodoma, maana hakukua na njia ya ki Wireless kuunga Mitambo ya Mbali kama ilivyo Leo.

Zamani ilikua Spika ya Dodoma, Mitambo ya Dodoma na Mziki wa Dodoma.

Leo hii ni Spika ya Dodoma, Mitambo ya Dar na Mziki wa Dar.

Kweli Tekinolojia inakuja na Mambo Mapya.
Ukute mtambo ulioko Dar unatumia betri basi unakuwa na ukichaakichaa fulani hivi
 
Habalini Wanajanvi.

Zamani zile kabla Tekinolojia haijakua sana hakukua na hizi Wireless Spika zenu za sasa, yaani ili mziki usikike basi Mitambo ilikua ni lazima iunganishwe na Spika kwa kutumia Nyaya.

Sasa siku hizi Spika za kisasa Haziunganishwi kwa Nyaya tena, zinaunganishwa kwa mifumo ya Wireless kama vile mfumo wa Blutooth, au Wi-Fi n.k.

Tatizo la hizi Wireless Spika ni kua zinaweza kuingiliwa na Mitambo tofauti na hivyo Msikilizaji akajikuta anasikiliza mziki usio wa Mitambo yake. Kwa mfano, Spika inaweza kua Dodoma lakini ikaingiliwa ki Blutooth au Ki Wi-Fi na Mitambo iliyopo Dar na hivyo Msikilizaji akajikuta anacheza Mziki wa Dj wa Dar.
Zamani haikua hivyo yaani kama Spika ipo Dodoma basi Msikilizaji atausikia Mziki wa Mitambo ya Dodoma, maana hakukua na njia ya ki Wireless kuunga Mitambo ya Mbali kama ilivyo Leo.

Zamani ilikua Spika ya Dodoma, Mitambo ya Dodoma na Mziki wa Dodoma.

Leo hii ni Spika ya Dodoma, Mitambo ya Dar na Mziki wa Dar.

Kweli Tekinolojia inakuja na Mambo Mapya.

Hili halipo,.labda kama.umeshindwa ku set
 
Mheshimiwa Naiba Na Supika

You are strong than what you think...
 
Ambae hajaelewa anitafute Pm.... Nimpeleke kwa mganga flani akamboost uelewa wa ubongo wake
 
Speaker inaweza ikapewa onyo icheze mziki wa Dar
 
Hawa modes sijui vipi siku hizi, hili bandiko hili ni la jukwaa la mambo ya sayansi na technology maana haya mambo ya Spika za willless, wireless Spika iko Dodoma halafu wireless microphone iko Dar. Watu wanasikiliza Spika ya Dodoma wakidhani mtambo uko Dodoma kumbe ile Dodoma ni Spika tuu, mtambo wenyewe uko Dar.
Kiukweli haya mambo ya wireless ni shida. This is my true story kuhusu adha za wireless nyumbani kwangu.
Mimi na jirani yangu wote wawili tunatumia TV za Samsung Smart TV, za same model, hivyo remote control ambazo ni wireless zinaingiliana, unaweza kuwa unaangalia taarifa habari ya TBC, jirani akipress button ya smart feature kwenye remote yake, kwangu inabadilika.

This is true kabisa na sio fasihi za Wireless Spika ya Dodoma mtambo Dar.
P

Je wewe unaweza kupress smart feature kwenye remote yako na kwake kukabadilika? Au ni one way traffic meaning yeye tu ndiye anaweza badili yako japo ni model sawa.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom