contagious
JF-Expert Member
- Jul 14, 2015
- 528
- 344
Ukute hutaki kuoa kwakuwa ulishajijua huwezi kuniridhisha kwanini niishi na majanga wakati mie mgegedo ndio kila kitu? Acha nitakuja tu kukutembelea nursing Home, ohh ooppss ulisema huendi huko basi ukishazeeka kabisa nitakulea.Kwa jinsi ulivyoonyeshwa kuguswa na suala langu la kutokuoa....sikudhani kama ungenikatalia ombi langu.....
