Ogopa ma senior bachelor

Ogopa ma senior bachelor

bachelor rankings...

18 - 22 yrs - Bachelor I
23 - 26 yrs - Bachelor 2
27 - 29 yrs - Senior Bachelor
30 - 33 yrs - Principal Bachelor
34 - 37 yrs - Deputy Chief Bachelor
38 - 40 yrs - Chief Bachelor
41 - 48 yrs - Bachelor General
49 - 53 sponsor
54 yrs............Field Marshall.

C&P

Alaa kumbe! nilikua sijaijua hii duh akhsante sana
 
Hahaha, ndio kama hivi mpwa wangu KikulachoChako anaji-brendia zake juice ya embe, huku amepika ndizi nyama, anajisomea majarida ya upishi....
.... mpwa usiniue...
Mtu hata ukipatwa na homa kali wakukupa panadol huna au wakukupikia supu shaaa....fikira tu za upweke homa inazidi maradufu....we all need some companionship at the end wazungu wanakuwa japo mbwa lol akifa humo ndani jibwa laweza lipeleke ujumbe japo kwa jirani!
 
Mtu hata ukipatwa na homa kali wakukupa panadol huna au wakukupikia supu shaaa....fikira tu za upweke homa inazidi maradufu....we all need some companionship at the end wazungu wanakuwa japo mbwa lol akifa humo ndani jibwa laweza lipeleke ujumbe japo kwa jirani!

Ni kweli gorgeous! Maisha ya upweke ni magumu mno, we all need companionship. BTW...
 
Kuwa Bachelor ni vizuri sana kuliko kuwa na hizi ndoa za sikuhizi FULL STRESS.

I'm always proud to be a Bachelor.
 
Mtu hata ukipatwa na homa kali wakukupa panadol huna au wakukupikia supu shaaa....fikira tu za upweke homa inazidi maradufu....we all need some companionship at the end wazungu wanakuwa japo mbwa lol akifa humo ndani jibwa laweza lipeleke ujumbe japo kwa jirani!
Talking from experience upweke sio kiviile ingawa sometimes unatamani angekuwepo mtu. Ila kuumwa ni serious issue.
 
Mtu hata ukipatwa na homa kali wakukupa panadol huna au wakukupikia supu shaaa....fikira tu za upweke homa inazidi maradufu....we all need some companionship at the end wazungu wanakuwa japo mbwa lol akifa humo ndani jibwa laweza lipeleke ujumbe japo kwa jirani!

Ki ukweli kuishi katika hali ya upweke sio hali ya kawaida hasa kwa mwanadamu aliyekamilika.....lakini vile vile hali hii inatokana na hali ya mazingira yanayokuzunguka na mtazamo wako juu ya maisha ya mahusiano.........
Kwa kifupi nina historia mbaya kwenye mahusiano ......iliyojaa machungu na maumivu ya kila aina.....hali hiyo ikanifanya nikae nitafakari kwa kina na nikaona njia pekee ni kuwa nje ya mahusiano kwani songombingo za maisha yangu zilisababishwa hali ya mimi kuwa katika mahusiano.........

Kila muda unakuwa roho juu ya mwenzako maana uaminifu umekuwa ni msamiati mgumu sana kwenye mahusiano......hali inayokufanya uishi maisha ya wasi wasi muda wote.......hali hiyo ya wasi wasii inakuweka karibu na maradhi ya moyo.....maana kila ukipata habari mbaya kumhusu mpenzi wako wewe unakuwa kwenye mashaka.....

Nikaona nijia pekee ya mimi kuwa huru ni kuwa mbali na mahusiano.....kwa mwanzo ilikuwa ngumu kwa kuwa upweke ulinitafuna mpaka nikakonda sana......lakini baada ya upweke kuisha ukanijia ulimwengu wa ajabu wenye raha na starehe......unaishi ukiwa unafikiria na kujishughulisha na mambo yako yenye tija kwako tu........nimeshayazoea maisha hayo mpaka nawaonea huruma waliopo kwenye mahusiano maana najua kuwa wapo kwenye kifungo kikubwa ingawa wenyewe hawapo tayari kukiri.....lakini kupitia nyuzi mbali mbali zinazolalamikia masuala ya mapenzi ndio unapata picha jinsi gani maisha ya mahusiano yalivyojaa misuko suko......
 
Kwa kweli kila siku najivunia na naona fahari kukaa kando na pirika pirika za mapenzi....ni kama vile nimeutua mzigo mzito kichwan na moyoni.......
Kuishi kibachela ni raha sana.....kwani kila kitu kinakuwa under your control.......
Sikirii hata kuoa....na sijui kama tena nitaweza kuishi na mwanamke.........

Mwenyewe unapanga ule nini.....unapanga ndani kwako paweje......na mpangilio wa vitu vyako vinakuwa bora sana.....

Chumbani kwako kunakuwa kama paradiso ndogo.....ni mahali ambapo unatuliza moyo wako na pirika pirika za mji na maisha.....

Muda huu nipo zangu ndani kimya....huku nimeshika kitabu nikiongeza maarifa.....nikisindikizwa na mixing kali za wakina BOYZ II MEN.....Joe Thomas.....R Kelly.....bila ya mkuwasahau wakali blue....kama Ken G....na Bryan Adam.....mimi ni ndani tu......jikoni nikisubiri mchanganyiko wa ndizi na nyama viive nishushie na juice ya embe..........

Its lots of funny here......

Hahaaaa...vitu petty sana...eti chumba changu,sijui kujipikia,etc...ni vitu vidogo vidogo kwenye maisha...utaacha kufikiria majukumu makubwa ya kua kama Bill Gates unawaza leo nikanunue nyama duka gani?Au kuosha jikoni?

Nigga plzzzz....oa ,cheo hicho muachie mkeo...fanya yanayokuhusu kama baba...sio kuoa ni paradiso,no way,unaishi kwa maridhiano,na pia sio lazima uoe,ila kazi za jioni weka mtu,usafi weka mtu...bakia na jukumu moja la kusolve world problems
 
Hahaaaa...vitu petty sana...eti chumba changu,sijui kujipikia,etc...ni vitu vidogo vidogo kwenye maisha...utaacha kufikiria majukumu makubwa ya kua kama Bill Gates unawaza leo nikanunue nyama duka gani?Au kuosha jikoni?

Nigga plzzzz....oa ,cheo hicho muachie mkeo...fanya yanayokuhusu kama baba...sio kuoa ni paradiso,no way,unaishi kwa maridhiano,na pia sio lazima uoe,ila kazi za jioni weka mtu,usafi weka mtu...bakia na jukumu moja la kusolve world problems

Mkioa nyie inatosha....tutukuwa tunawapa ushauri wa jinsi ya kuishi na wake zenu......
 
Kwa ufupi ni wabinafsi ndio maana hawataki kuoa...
Ukivunja glass au kikombe utatolewa mimacho...

Labda wale ambao wanaishi na ndugu...
Lakini ukute mtu ana pesa na kila kitu afu anaishi mwenyewe kama mchawi..ni mchoyo bhaas...
Bora mara 100 kuitwa mchawi kuliko kupata stress kutoka kwa hawa wanawake wa sikuhizi.
 
Back
Top Bottom